Gadner Habbash uso kwa uso na Jay Dee kwenye msiba wa mke wa Kibonde

Hapa ndo nyumbani kwa KIBONDE????
 

Mkuu, ili nitowe maoni....
Ebu kwanza weka ya kiswahili chake, maana wengine tulikuaga tunakaa dawati la mwisho nyuma huko..... Na mwalimu wa hii lugha tulikuaga hatumsikii vizuri
 
"...who where used...."

Jamani tukienzi kiswahili kuepuka kuharibu lugha za watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…