Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila si umeelewa we kanyaboya wa kihadzabe😀😀Kilikuja na meli. Tumia kilugha chetu.
Tulioishi ilikozaliwa hii lugha tunaona aibu!
Please stick to your national language!
Naskia mchizi ndo zake huyo kulala chooniHao watakumbukana na ukumbuke kama walikuwa wanaruka ukuta
Aiseeee"" unaushahidi wowote ule dhidi ya hili " utupatie mkuu"...Hao watakumbukana na ukumbuke kama walikuwa wanaruka ukuta
Aiseee " don't tell me that "..gadner tundu la mbele halielewi kabisa,wale wadada pale 'nyumbani' kapitia wote..na haikua tundu la mbele..sasa sijui kama mchezo huo hakuufanya jwa 'dada'
haha hahagadner 'mariyoo' ni huyu kulia mbele mwa picha..hakuna marioo mwenye akili timamu
ha hahahahaao ndo wakina Mzee baba
Hahahaha acha utetezi mbona mm nilikuwa nakaa nyuma na milimskia vzr na kumwelewaMkuu, ili nitowe maoni....
Ebu kwanza weka ya kiswahili chake, maana wengine tulikuaga tunakaa dawati la mwisho nyuma huko..... Na mwalimu wa hii lugha tulikuaga hatumsikii vizuri
hiyo like niliyokupa ni ya avatar [HASHTAG]#utani[/HASHTAG]Hao watakumbukana na ukumbuke kama walikuwa wanaruka ukuta
Heh! We jamaaAiseeee"" unaushahidi wowote ule dhidi ya hili " utupatie mkuu"...
Jide kaolewa?nilivyoiona hiyo picha nilimuhurumia sana gadna....ila na yeye si aoe tu jamani
sasa Mkuu" bila ushahidi " tutaamini vipi " kama anachokiongea ni sahihi" ... maana Yale maneno hata wewe waweza kuyaongeaHeh! We jamaa
Mkuu, ebu naomba usiniabishe kwenye hizi mambo "totoz wote humu wanajua kwamba Yes and No hazinipigi ngeala.... tehteehhhHahahaha acha utetezi mbona mm nilikuwa nakaa nyuma na milimskia vzr na kumwelewa
Ni kama POLE POLEHivi kibonde ni kijana au mzee ?
HahahaNi kama POLE POLE