Gadner Habbash uso kwa uso na Jay Dee kwenye msiba wa mke wa Kibonde

Gadner Habbash uso kwa uso na Jay Dee kwenye msiba wa mke wa Kibonde

Wanawake na wanaume ni tofauti.wanaume huchukulia poa ila wanawake utaangaliwa jicho la shika adabu yako au msonyo
 
Kilikuja na meli. Tumia kilugha chetu.
Tulioishi ilikozaliwa hii lugha tunaona aibu!
Please stick to your national language!
ila si umeelewa we kanyaboya wa kihadzabe😀😀
 
gadner tundu la mbele halielewi kabisa,wale wadada pale 'nyumbani' kapitia wote..na haikua tundu la mbele..sasa sijui kama mchezo huo hakuufanya jwa 'dada'
Aiseee " don't tell me that "..
 
Mkuu, ili nitowe maoni....
Ebu kwanza weka ya kiswahili chake, maana wengine tulikuaga tunakaa dawati la mwisho nyuma huko..... Na mwalimu wa hii lugha tulikuaga hatumsikii vizuri
Hahahaha acha utetezi mbona mm nilikuwa nakaa nyuma na milimskia vzr na kumwelewa
 
Hahahaha acha utetezi mbona mm nilikuwa nakaa nyuma na milimskia vzr na kumwelewa
Mkuu, ebu naomba usiniabishe kwenye hizi mambo "totoz wote humu wanajua kwamba Yes and No hazinipigi ngeala.... tehteehhh
 
Back
Top Bottom