Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Basi ile hoja yenu "tumesajili mchezaji hatari kutoka ulaya' inamaana gani??Kwani ligi yetu Ina ubora wa ligi ya uingereza mpaka aje mchezaji mwenyewe ubora wa kugombaniwa na timu za ligi ya uingereza .hao tulio nao katika ligi wangekuwa na nusu ya ubora huo tusingekuwa nao.