Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama msuva mwenyewe hataki kucheza huku itakuwa huyo mhutu Gael kashaishaNimesema na nitaendelea kusema kuwa, hakuna mchezaji aliye kwenye kiwango chake(prime) huko ulaya anaeweza kuja kucheza bongo hapa.
Ni lazima tukubali kwanza kuwa huyo mchezaji hana soko kule kwahiyo anakuwaja bongo kutafuta nafasi.
Huku Africa anaweza kufanikiwa lakini bado ni probability, kwahiyo ondoeni vitisho vya kusema ni mchezaji HATARI.
Yuko wapi sasa kagere,huyo biringanya wenzake wote wameshakuwa makochaMbona Meddie Kagere tangu mwaka 2000 anacheza ligi kuu! Na bado alipokuja simba aling'ara! Itashindikana vipi kwa huyo Bigirimana?
Aliwahi kupita EPL...Kumbe ni Mrundi 😂😂🤣
Kuchambua usajili wa mtani inapendezaHivi ni kwa nini usajili wa Yanga unawauma zaidi nyinyi mashabiki wa simba, kuliko sisi wenye timu yetu? Kwani shida iko wapi hasa!
Si mnatakiwa kufurahia huu usajili wetu wa hovyo!
Kwa muafrika yoyote yule aliefanikiwa kucheza ulaya, hata kama akiwa na fursa ya kucheza daraja la tatu ulaya basi hawezi kuja huku.Kama msuva mwenyewe hataki kucheza huku itakuwa huyo mhutu Gael kashaisha
Aliprove lini huo uhatari wake kwenye ligi yetu (kwasasa)? Kwasasa acha tujadili yaliyopo (kuwa ni finished player), akija kufanya vizuri kwenye ligi tutampa sifa zake baadae.Umeandika kwa uchungu sana aisee.
Nadhan unachotaka tuseme wakawaida kitu ambacho hakiwezekani.. ukweli ni kwamba kwa ligi yetu ni mchezaj hatar na anapaswa kupewa sifa hizo
Huu NI ukweli mchungu Ila wanakaza fuvu Tu soon watakuelewaKwa muafrika yoyote yule aliefanikiwa kucheza ulaya, hata kama akiwa na fursa ya kucheza daraja la tatu ulaya basi hawezi kuja huku.
Akija huku ujue hatakiwi na kila team huko nje.
Halafu wanayo jifagilia utadhani wameokota dhahabu jangwae😁Aliwahi kupita EPL...
Uto...wameokota dodo chini ya mpera.
kweli hata kina Sunderland,Green forest ,Yeovil ,sportmouth hawajamwona ila wamemwona Yanga....achilia mbali EPL na championship hata daraja latu hawajamwona.Kwa muafrika yoyote yule aliefanikiwa kucheza ulaya, hata kama akiwa na fursa ya kucheza daraja la tatu ulaya basi hawezi kuja huku.
Akija huku ujue hatakiwi na kila team huko nje.
Wewe ni Muha?Aliprove lini huo uhatari wake kwenye ligi yetu (kwasasa)? Kwasasa acha tujadili yaliyopo (kuwa ni finished player), akija kufanya vizuri kwenye ligi tutampa sifa zake baadae.
Maswala ya kutaka tuamini kuwa hapa atafanikiwa kabla hatujamuona ni ushabiki wa kiboya, yaani tuamini tu😂.
Kipindi Rivaldo anacheza ligi kuu ya Angola hao unao wataja hawakumuona?kweli hata kina Sunderland,Green forest ,Yeovil ,sportmouth hawajamwona ila wamemwona Yanga....achilia mbali EPL na championship hata daraja latu hawajamwona.
Uliwahi kuangukia kichwa ulipokuwa na umri mdogo?Wewe ni Muha?
tusubiri mda ni mwalimu tutamwonaKipindi Rivaldo anacheza ligi kuu ya Angola hao unao wataja hawakumuona?
Kipindi Rivaldo anacheza ligi kuu ya Angola hao unao wataja hawakumuona?
Hamna mchezaji pale, yaleyale ya akina Ntibazonkiza.Kipindi Rivaldo anacheza ligi kuu ya Angola hao unao wataja hawakumuona?
Kipindi anacheza na arteta alikuwa na miaka 20Sasa kama alicheza enzi hizo na Arteta na mpaka sasa mwenzake ni kocha kwa miaka kazaa na kazeeka, yeye atakuwa bado na miaka 28 kama mnavyojaribu kuaminisha watu??
[emoji23][emoji23]
Hamna mchezaji pale, yaleyale ya akina Ntibazonkiza. Msimu huu Kuna mchezaji 5imba ana statistics za kumzidi Saido? Nitajie