Gaidi lililokua na bendera ya magaidi wa dola la kiislamu lafanya ugaidi Marekani

Gaidi lililokua na bendera ya magaidi wa dola la kiislamu lafanya ugaidi Marekani

Mnatanguliza mihemko kwenye mambo changamani. Pimeni jambo kabla ya kutukana
Bila chuki wala uhasama wowote, kwa kweli, kwa vyovyotr vile, kuna mafundisho ndani ya uislam ni hatari kwa usalama wa Dunia.

Wanazuoni wa kiislam wajitafakari. Mauaji yanaweza kufanywa na mhalifu yeyote, na tunayahesabu ni ushetani, lakini mauaji yanayofantwa na waislam magaidi, wanayahusisha na Allah, wakiamini wanatimiza maagizo yake!!
 
Bila chuki wala uhasama wowote, kwa kweli, kwa vyovyotr vile, kuna mafundisho ndani ya uislam ni hatari kwa usalama wa Dunia.

Wanazuoni wa kiislam wajitafakari. Mauaji yanaweza kufanywa na mhalifu yeyote, na tunayahesabu ni ushetani, lakini mauaji yanayofantwa na waislam magaidi, wanayahusisha na Allah, wakiamini wanatimiza maagizo yake!!
Akuna Dini imefundisha kuuwa mtu pasi na Sababu ila zinakataza unyonge pambana kutetea kutokuonewa. Leo Wazungu wamepeleka vita ktk nchi za Waislam Waislam wengi Wameuwawa kila kona kulikopelekwa vita na Wazungu Waislam wakijitetea wanaitwa Magaid au Dini yao ndio inafundisha ivyo akili kama izi ana mtu makini zaid mnunua udongo au wale jamaa walitaka kwenda Ulaya lkn awana passport awana Visa lkn ukiwauliza wanakwambia wanataka kupeleka injili Ulaya na wanajua watainuliwa na kwenda ukimuuliza zaid kwann sasa mmekuja uku airport Badala ukouko mlikokuwa mngeinuliwa!!!! Apo sasa unapigwa na andiko!!!!! Unaona ujiondokee waandelee kula kande uku wakiona ndege zikipaa na kutua. Mwisho walijiondokea kwaiyo kuna wajinga awataki anaeonewa asijipiganie propaganda kibao sijui GAID kwani UGAID kabla Wazungu kuvamia nchi za kislamu ulikuwepo jibu apana Uislam aujafundisha upole kwa mtu mkatili kwako. Kauwa watoto wako mke wako ukiweza naww nafuta mtutu kamfate kamfraishe nayy ona Palestine miguvu yote kapewa Israel kutoka marekani kutoka NATO lkn Palestine inapigania haki yake leo hii Waisrael au IDF 1000 wamekufa vitani nao wanalia ndugu zao akuna unyonge. Pambana mwanaume. wacha waite Ww Gaid au chochote lkn ww pambania haki yako. Kifo peleka kifo kwake pia mizwazwa aitawai isha kila kona imejaa Uganda waliuwawa na kibwetele mombasa kilifi makenzi jamaa aliwazimisha kibao kwetu ndio ivo police wetu wapo macho sana kuyalinda mazwazwa yetu lkn Udongo Maji Kukanyagana adi vifo kugombea Mafuta yanakokotwa mala kawe mala sijui wapi police yetu ipo vizuli nanawaombeya wasichoke kuwalinda adi siku Wadhinduke!! Watanzania wenzetu ila ndio ivyo.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Gaidi lenyewe linaitwa Shamsud-Din Jabbar limegonga watu na gari huku likiwa na bendera ya magaidi wa dola la kiislamu, na humo kwenye gari kulikua na mabomu na silaha zingine.
Aisei Marekani wavune tu walichokipanda kwa kuruhusu haya mazombi yahamie huko na kuanza kuzaliana. Mimi kwa kweli hata ndugu yangu akijiunga huu uzombi kuanzia hapo namuona gaidi tu, simtaki, namuepuka muda wote.
=====================

At least 15 killed, 30 injured; assailant identified as 42-year-old US citizen Shamsud-Din Jabbar; FBI says he likely was not acting alone, explosives found in area​

NEW ORLEANS — Two Israeli citizens were among the injured in an attack in New Orleans where a suspected terrorist carrying an Islamic State flag steered around a police blockade and rammed a pickup truck into a crowd before being shot to death by police, authorities said Wednesday.

At least 15 people were killed and 30 wounded in the New Year’s Eve attack that struck revelers at around 3:15 a.m. Wednesday and turned festive Bourbon Street into macabre mayhem.

The FBI is investigating the attack as an act of terrorism and said it does not believe the driver acted alone. An Islamic State group flag was found on the vehicle’s trailer hitch, the FBI said.
Uislamu ni dini ya amani, msihusishe magaidi na dini ya kiislamu.
 
Back
Top Bottom