Gallery ya shule mbalimbali za Sekondari Tanzania

Gallery ya shule mbalimbali za Sekondari Tanzania

Kwako we lofa shule ni nini?
Kwani wewe unaona shule ni nini?

Asilimia kubwa hizo zingine mlizoziweka wanafunzi wanasoma tuition wanakuja hapo kufanya mitihani tu, hawawaandai wanafunzi wao.

Ni vituo hivyo vya kufanyia mitihani , mleta mada aombe moderators wambadilishie title ya uzi wake , usomeke "Gallery za vituo mbalimbali vya kufanyia mitihani".
 
Hahaha, lile lilikuwa ni la kibabe sana.

Sijui kama bado lipo lakini angalau Dom 6 & 7 yalifanyiwa maboresho baada ya kuharibiwa.
Kaka Dom 8 lilifanyiwa marekebisho walikua wanakaa wale innocents wa shule kule. Dom 7 ya juu ilikua ni kama uswahilini ya njoss, Kila aina ya uharifu shuleni ulikua kule na mabibo 😆😆😆
 
View attachment 3051241
Bihawana secondary school-Dodoma Tanzania
Hili jengo la utawala, majengo mengine yanatia huruma kwelikweli na vumbi hatari. Hiyo kijani ni ya kipindi cha mvua tu.

Nimekumbuka hii shule ilikuwa na mashine yake ya maji ila ilikuwa na tatizo sugu la kukosa maji iliyokuwa inatengenezwa kimakusudi na jamaa wa kufungulia mashine hiyo hadi tunafuata maji kule kwenye kituo cha kilimo lakini kwa jirani zao wa bihawana seminary, kanisani, kiwanda cha wine na kituo cha kilimo hawakuwa na shida.

Wananchi wanaozunguka hiyo shule tabu ya maji ilikuwa inawatesa kwelikweli hadi wanafika kwenye tenki la shule kuchota ambayo wanafunzi wameoshea vyombo. Sijui walikuwa wanawezaje kuyatumia.

Nilipenda utaratibu wao wa kujali afya za wanafunzi upande wa chakula na kuwachemshia maji ya kunywa kila siku unaenda kuchukua na kuhifadhi.

Hapa nilipiga form 5 kwa miezi 6 nikasepa zangu. Msalimie mzee wa bios Mr. Chiwanga (jamaa alikuwa hashiki kitabu ila anashusha madude ya kitabu cha Biological Science/BS kama anayasoma vile moja kwa moja), jamaa mmoja mhaya wa kuitwa Daniel Kehogo (a.k.a USA boy) na Ngusuru mzee wa watu asiyezeeka

Yote kwa yote ni shule nzuri ikipata walimu na wanafunzi wanaoelewa kilichowapeleka shule
 
Hili jengo la utawala, majengo mengine yanatia huruma kwelikweli na vumbi hatari. Hiyo kijani ni ya kipindi cha mvua tu.

Nimekumbuka hii shule ilikuwa na mashine yake ya maji ila ilikuwa na tatizo sugu la kukosa maji iliyokuwa inatengenezwa kimakusudi na jamaa wa kufungulia mashine hiyo hadi tunafuata maji kule kwenye kituo cha kilimo lakini kwa jirani zao wa bihawana seminary, kanisani, kiwanda cha wine na kituo cha kilimo hawakuwa na shida.

Wananchi wanaozunguka hiyo shule tabu ya maji ilikuwa inawatesa kwelikweli hadi wanafika kwenye tenki la shule kuchota ambayo wanafunzi wameoshea vyombo. Sijui walikuwa wanawezaje kuyatumia.

Nilipenda utaratibu wao wa kujali afya za wanafunzi upande wa chakula na kuwachemshia maji ya kunywa kila siku unaenda kuchukua na kuhifadhi.

Hapa nilipiga form 5 kwa miezi 6 nikasepa zangu. Msalimie mzee wa bios Mr. Chiwanga (jamaa alikuwa hashiki kitabu ila anashusha madude ya kitabu cha Biological Science/BS kama anayasoma vile moja kwa moja), jamaa mmoja mhaya wa kuitwa Daniel Kehogo (a.k.a USA boy) na Ngusuru mzee wa watu asiyezeeka

Yote kwa yote ni shule nzuri ikipata walimu na wanafunzi wanaoelewa kilichowapeleka shule
Ulikimbilia kwenye mserereko wa one (kut..f...niwa)
 
The Head of Tanzania wanapiga one kama wanavyopigaga uji
2023-09-21.jpg
 
Ahmes Secondary miongoni mwa shule binafsi zilizo serious sana hapa bongo kunako tasnia ya elimu
images (36).jpeg
images (37).jpeg
2020-10-26.jpg
 
Back
Top Bottom