MAGEMBE 4REAL
Member
- Mar 10, 2022
- 61
- 99
Nilikuwa nakaa Kijiji Cha miramboMzumbeni nyumbani kwa wazumbe ulikua unakaa kijiji gani kipindi upo hapo s 0140
View attachment 3046723
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa nakaa Kijiji Cha miramboMzumbeni nyumbani kwa wazumbe ulikua unakaa kijiji gani kipindi upo hapo s 0140
View attachment 3046723
"Kibiti shule yangu nakupenda" wimbo wa shule.Shule ya wavulana Kibiti PwaniView attachment 3047299
Boss,kwanini umelia?Dah nimelia sana kuliona hili jengo
Babangu alikuwa Headmaster hapa Bihawana Sec.
Mimi kipindi hicho nilikua nasoma S/M Mwenge, nimepanda sana hizo ngazi kwenda juu ofisini kwa Headmaster kila siku nikifuata funguo za nyumbani😭😭
Hilo paa wameshindwa hata kupiga rangi ya bati kuzuia kutu?!Loleza girls high school -Mbeya
View attachment 3046714
I wonder why? Hiyo shule ni mojawapo ya shule kongwe na maarufu hapa nchini na imekuza na kulea watu wengi na waheshimiwa kibao.Hilo paa wameshindwa hata kupiga rangi ya bati kuzuia kutu?!
Inasikitisha, maana gharama ya kupiga rangi ni ndogo kuliko ya kuja kubadili bati baada ya kuliwa na kutu!I wonder why? Hiyo shule ni mojawapo ya shule kongwe na maarufu hapa nchini na imekuza na kulea watu wengi na waheshimiwa kibao.
Nchi yanguInasikitisha, maana gharama ya kupiga rangi ni ndogo kuliko ya kuja kubadili bati baada ya kuliwa na kutu!
Sijuwi kwanini haikupata fungu kwenye ule mgao wa kukarabati shule kongwe za.serikali,ngoja tusubiri labda iko kwenye awamu itayofuatia.Inasikitisha, maana gharama ya kupiga rangi ni ndogo kuliko ya kuja kubadili bati baada ya kuliwa na kutu!
Mlikuwa na hostel zenu pale City Centre. Wana Galanos tulikuwa tunawaonea wivu so tukawa tunawachokoza na kuwafanyia vurugu makusudi wakati tunakimbia mchakamchaka asubuhi.Usagara Secondary school-Tanga