Gambo amwambia DED na viongozi Arusha hatishiwi Nyau

Gambo amwambia DED na viongozi Arusha hatishiwi Nyau

Huyu lofa ameshakata pumzi round ya Kwanza ya ubunge wake hizi style zake za visingizio hazitamfika popote
 
Haya mambo yalitabiriwa baada ya kumaliza upinzani
 
Nakaona hako kaDC ka arusha kama kanaharajati flani hivi kajinga kasikojua la kufanya .kana dhani ofisi ya DC ni sawa na ile ya uvccm iringa
Hivi hayo nayoyanatoka moyoni mwenu kweli au maigizo tuu,au mbinu za kusafisha kashifa ya bakora.
 
Mbunge wa Arusha Mjini ,Mrisho Gambo amewaambia viongozi wa wilaya ya Arusha na mkurugenzi wa jiji la Arusha( DED ),kuwa hatakubali kukwamishwa na viongozi wa jiji la Arusha wakati akitekeleza majukumu yake.

Gambo ameyasema hayo wakati akiongea kwenye mkutano wa Baraza la wanawake wa uwt uliofanyika kwenye hotel ya Mount Meru jiji hapa nakusisitiza kwamba hata acha kuwatetea wananchi licha ya vikwazo vingi anavyopitia kwenye mikutano yake ya kutatua kero za wananchi.

"Nimesikia kwamba wamepanga kunikamata sitaogopa mtu Mimi ni mbunge ninayetimiza wajibu wangu sitishiwi Nyau na waache kufanya Mambo ya kishabiki"Alisema Gambo

Aliongeza kuwa Kuna mkakati unaoendeshwa na mkurugenzi wa jiji la Arusha Dkt John Pima wa kuwazuia watendaji kushiriki mikutano yake inayoendelea katika mitaa mbalimbali katika Jimbo la Arusha.

"Mkurugenzi amewahi kuwatoa watendaji wa halmashauri katika.kikao changu lakini kwa sababu ni mgeni naamini anaendelea kujifunza atazoea"alisema

Gambo anatuhumiwa kuwashawishi wafanyabiashara wa maduka wasilipe Kodi baada ya kuamuru maduka yaliyofungwa kwa sababu ya kutolipa Kodi yafunguliwe Jambo ambalo linaikosesha mapato serikali.

Mkurugenzi wa jiji haitwi DED ndugu
 
Mbunge wa Arusha Mjini ,Mrisho Gambo amewaambia viongozi wa wilaya ya Arusha na mkurugenzi wa jiji la Arusha( DED ),kuwa hatakubali kukwamishwa na viongozi wa jiji la Arusha wakati akitekeleza majukumu yake.

Gambo ameyasema hayo wakati akiongea kwenye mkutano wa Baraza la wanawake wa uwt uliofanyika kwenye hotel ya Mount Meru jiji hapa nakusisitiza kwamba hata acha kuwatetea wananchi licha ya vikwazo vingi anavyopitia kwenye mikutano yake ya kutatua kero za wananchi.

"Nimesikia kwamba wamepanga kunikamata sitaogopa mtu Mimi ni mbunge ninayetimiza wajibu wangu sitishiwi Nyau na waache kufanya Mambo ya kishabiki"Alisema Gambo

Aliongeza kuwa Kuna mkakati unaoendeshwa na mkurugenzi wa jiji la Arusha Dkt John Pima wa kuwazuia watendaji kushiriki mikutano yake inayoendelea katika mitaa mbalimbali katika Jimbo la Arusha.

"Mkurugenzi amewahi kuwatoa watendaji wa halmashauri katika.kikao changu lakini kwa sababu ni mgeni naamini anaendelea kujifunza atazoea"alisema

Gambo anatuhumiwa kuwashawishi wafanyabiashara wa maduka wasilipe Kodi baada ya kuamuru maduka yaliyofungwa kwa sababu ya kutolipa Kodi yafunguliwe Jambo ambalo linaikosesha mapato serikali.

Gambo anajiamini sana.

Ni kiongozi asiyeyumbishwa.

Aliwahi kusema vijana walioko UVCCM wakizeeka watakuwa wachawi!
 
Gambo unahitaji kujitathimini kabla hujapotea kabisa kwenye siasa. Wewe mtu ni mpenda mafarakano sana. Angalia kote ulikopita umesababisha mitafaruku isiyo ya msingi. DC Kenan ni kiongozi makini sana,am sure ameshakusoma kuwa unataka kumpanda kichwani na sasa atakushughulikia ipasavyo. Kumbuka maneno ya Bw. mkubwa ulipoanza mchakato wa kisiasa. Jirekwbishe otherwise utakuwa mbunge wa muhula mmoja tu.
 
Mbunge wa Arusha Mjini ,Mrisho Gambo amewaambia viongozi wa wilaya ya Arusha na mkurugenzi wa jiji la Arusha( DED ),kuwa hatakubali kukwamishwa na viongozi wa jiji la Arusha wakati akitekeleza majukumu yake.

Gambo ameyasema hayo wakati akiongea kwenye mkutano wa Baraza la wanawake wa uwt uliofanyika kwenye hotel ya Mount Meru jiji hapa nakusisitiza kwamba hata acha kuwatetea wananchi licha ya vikwazo vingi anavyopitia kwenye mikutano yake ya kutatua kero za wananchi.

"Nimesikia kwamba wamepanga kunikamata sitaogopa mtu Mimi ni mbunge ninayetimiza wajibu wangu sitishiwi Nyau na waache kufanya Mambo ya kishabiki"Alisema Gambo

Aliongeza kuwa Kuna mkakati unaoendeshwa na mkurugenzi wa jiji la Arusha Dkt John Pima wa kuwazuia watendaji kushiriki mikutano yake inayoendelea katika mitaa mbalimbali katika Jimbo la Arusha.

"Mkurugenzi amewahi kuwatoa watendaji wa halmashauri katika.kikao changu lakini kwa sababu ni mgeni naamini anaendelea kujifunza atazoea"alisema

Gambo anatuhumiwa kuwashawishi wafanyabiashara wa maduka wasilipe Kodi baada ya kuamuru maduka yaliyofungwa kwa sababu ya kutolipa Kodi yafunguliwe Jambo ambalo linaikosesha mapato serikali.

Gambo ana siasa za kishamba sana
 
Back
Top Bottom