Gambo amwambia DED na viongozi Arusha hatishiwi Nyau

Gambo amwambia DED na viongozi Arusha hatishiwi Nyau

Lissu alipataka kusema "Wakitumaliza sisi" (wapinzani) wataanza na nyie (CCM) naona utabiri umeanza kutimia mapema sana.

Sasa ni wakati wao kukinywea kikombe, na hakiwaepuki watulie dawa iwaingie
View attachment 1680022View attachment 1680023
CCM msituchoshe bana ... mnajitekenya wenyewe mnacheka wenyewe ... mnalazimisha hamasa wala watu hawana time na nyinyi ... serekali yenu na watendaji wake haina mvuto sikwambii hao wabunge ndio kabisaaaaa!

Mnatengeneza malumbano ili ionekane kuna amsha-amsha ya kukimbiza maendeleo ndio mnazidi kuharibu kabisaaaaaa mnaonekana kabisa mnacheza sinema za mzee yombayomba

Mlituahidi Tanzania tutaishi kama ulaya na mkasema wapinzani ndio walikua wanachelewesha maendeleo haya sasa tunasubiri msituletee mapichapicha ya kutengeneza hapa hamna amsha-amsha yeyote Hovyooooo ... !!!
 
......Majivu yarushwapo mara nyingi hupeperukia usoni mwa mrushaji....
 
Naona huwafahamu vizuri mabeberu wewe. Wakitoka huko lazima watakuwa wameharibika kwenye ubongo wao kwa ubaguzi watakaokuwa wanatendewa. Tembea uone mwanasaccos!!

Ubaguzi uko kila mahali dunia hii, isipokuwa unatofautiana sehemu na sehemu.
 
Yule DC amekaa bibabe ukikaa vibaya anakulamba makofi maana ni mtu wa mazoezi
 
Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo amewaambia viongozi wa wilaya ya Arusha na mkurugenzi wa jiji la Arusha(DED) kuwa hatakubali kukwamishwa na viongozi wa jiji la Arusha wakati akitekeleza majukumu yake.

Gambo ameyasema hayo wakati akiongea kwenye mkutano wa Baraza la wanawake wa UWT uliofanyika kwenye hotel ya Mount Meru jiji hapa na kusisitiza kwamba hataacha kuwatetea wananchi licha ya vikwazo vingi anavyopitia kwenye mikutano yake ya kutatua kero za wananchi.

"Nimesikia kwamba wamepanga kunikamata, sitaogopa mtu Mimi ni mbunge ninayetimiza wajibu wangu sitishiwi Nyau na waache kufanya Mambo ya kishabiki" Alisema Gambo

Aliongeza kuwa Kuna mkakati unaoendeshwa na mkurugenzi wa jiji la Arusha, Dkt. John Pima wa kuwazuia watendaji kushiriki mikutano yake inayoendelea katika mitaa mbalimbali katika Jimbo la Arusha.

"Mkurugenzi amewahi kuwatoa watendaji wa halmashauri katika kikao changu lakini kwa sababu ni mgeni naamini anaendelea kujifunza atazoea" Alisema

Gambo anatuhumiwa kuwashawishi wafanyabiashara wa maduka wasilipe Kodi baada ya kuamuru maduka yaliyofungwa kwa sababu ya kutolipa Kodi yafunguliwe Jambo ambalo linaikosesha mapato serikali.

Ila huyu pumb*** anapenda sana vijineno neno na migogoro isiyokuwa na kichwa wala miguu.
 
[emoji41] kaa kwa kutulia

Kama unapokea Sakramenti

This double edged sword

Whats comes around goes around
IMG-20210121-WA0006.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom