Gambo amwambia DED na viongozi Arusha hatishiwi Nyau

Gambo amwambia DED na viongozi Arusha hatishiwi Nyau

Yes, yuko mahali pa ukweli yeye na familia yake, na watoto wake wanasoma shule za ukweli, sio hizi za kwenda na ufagio na dumu la maji. Na kisha watoto wake wakirudi hapa wanakuwa maboss huko ofisini kwa watoto wa Makada wa ccm.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa nguvu.[emoji23][emoji23]
 
Alichopanda ndicho anachovuna leo. Huyu si ndie alikuwa anaweka ndani watumishi ovyo alipokuwa DC Korogwe?
Ukiachilia mbali Korogwe alikutukana mwanasheria wa halmashauri, pale Arusha alimweka ndani Lema kwa muda mrefu sana. Ningekua mie ndio DC wa Arusha, namweka ndani saa 24 kabisa.
 
Kweli Mungu hadhihakiwi, alipanda chuki anataka avune Upendo. Gambo anajulikana mtaalamu wa majungu na fitina leo analia lia kwa wamama, tena ana bahati RC wa Arusha ni mtu mzima sana na hana makuu
 
Huyu inabidii acharazwe viboko na DC kama wale wezi.
 
Back
Top Bottom