Gambo amwambia DED na viongozi Arusha hatishiwi Nyau

Gambo amwambia DED na viongozi Arusha hatishiwi Nyau

Aliyefungua atupe story kidogo kilichotokea.
 
Gambo huwa ni zero brain since day one ndiyo maana kila move yake huambatana na ugomvi na majigambo.
 
Gambo ana shida ya kutaka kijiona mjuzi wa kila jambo, ndio maana mkuu alimtumbua ameshinda ubunge bado ameenda kuendeleza mambo yale yale aliyoyakataa mzee, Jamaa ajirekebishe
 
"Bado vita ni kubwa, sitakubali"- Gambo
-
Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo ( @mrisho_gambo ) amedai baadhi ya viongozi wa Wilaya na Mkoa huo was Arusha wametishia kumkamata na kumuweka ndani kwa sababu ya kutekeleza majukumu yake.

"Unamuweka mbunge ndani kwa kipi na kwa sababu gani ? bado vita ni kubwa.

"Zamani tulikuwa tunapigana vita na wapinzani, sasa tunapigana vita na viongozi wenzetu ambao kazi yao ni kuhakikidha mbunge wa jimbo hafanyi kazi yoyote kitu ambacho mimi naapa kwa Mungu siwezi kukubali," amesema Gambo.

Mbunge huyo amedai viongozi hao wamekuwa wakiwataka watendaji wa taasisi za Serikali kutokwenda katika shughuli anazozifanya.

Na Mimi All - Rounder leo nasema ( nakuambia ) hapa kuwa Siku zote Malipo huwa ni hapa hapa duniani Mheshimiwa. Tubu makosa yako mengi.

Taarifa: mtanzanianews
 
"Bado vita ni kubwa, sitakubali"- Gambo
-
Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo ( @mrisho_gambo ) amedai baadhi ya viongozi wa Wilaya na Mkoa huo was Arusha wametishia kumkamata na kumuweka ndani kwa sababu ya kutekeleza majukumu yake.

"Unamuweka mbunge ndani kwa kipi na kwa sababu gani ? bado vita ni kubwa.

"Zamani tulikuwa tunapigana vita na wapinzani, sasa tunapigana vita na viongozi wenzetu ambao kazi yao ni kuhakikidha mbunge wa jimbo hafanyi kazi yoyote kitu ambacho mimi naapa kwa Mungu siwezi kukubali," amesema Gambo.

Mbunge huyo amedai viongozi hao wamekuwa wakiwataka watendaji wa taasisi za Serikali kutokwenda katika shughuli anazozifanya.

Na Mimi All - Rounder leo nasema ( nakuambia ) hapa kuwa Siku zote Malipo huwa ni hapa hapa duniani Mheshimiwa. Tubu makosa yako mengi.

Taarifa: mtanzanianews
Karma inatenda kazi
 
Gambo hajui tofauti ya mbunge na mkuu wa mkoa..

Anataka kutoa amri Kwa watendaji wa wa mkoa wakati yeye ni mbunge Tu
 
Back
Top Bottom