Amesahau wakati akiwa RC alivyokuwa akimfanyia aliyekuwa Mbunge wa Arusha aliyepita? Anafikiri kuongoza ni mchezo wa kombolela?Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo amewaambia viongozi wa wilaya ya Arusha na mkurugenzi wa jiji la Arusha(DED) kuwa hatakubali kukwamishwa na viongozi wa jiji la Arusha wakati akitekeleza majukumu yake....