Uchaguzi 2020 Gambo ashiriki Shughuli za Kijamii; aonesha ustadi wa kuchagua mchele

alafu Chuga kwa wagumu na mwanaume kuchagua mchele wapi na wapi??
kampeni burudani sana! jamaa si mjinga! akimaliza kuchagua mchele na kujichotea kura za kina mama yoyoo kwa kuwaunga mkono sasa ataingia vijiwe vya boda boda na vibanda umiza kushabikia mpira na machalii za Ara akombe kura zao!
 
kampeni burudani sana! jamaa si mjinga! akimaliza kuchagua mchele na kujichotea kura za kina mama yoyoo kwa kuwaunga mkono sasa ataingia vijiwe vya boda boda na vibanda umiza kushabikia mpira na machalii za Ara akombe kura zao!
Aisee bado hujawajua wamaza wa hicho kipande.

Monabani alikua akimaliza kuwasaidia kuwachagulia mchele alikua anawapimia na kuwawagawia Unga debe kwa kila mmoja ila bado wakamfanya kama yale ya wajumbe.
 
.huu sasa ni UJINGA.
..sitashangaa kusikia Mrisho Gambo amekwenda kwenye kitchen party.
Kwa nini ushangae ndugu yangu...wanaanzia mbali hawa!



Labda cha ajabu ni kwamba bungeni wanataka waende wao tu...wakuna nazi, wachambua mchele kama Gambo na matapeli kama Gwajima!​
 
Duh! Madaraka haya, kuna watu wengine wapo tayali hata kuliwa kiboga alimradi ayapate.
Ha haha! Sijui kwa nini baada ya kusoma post yako hii picha ya Kitila Mkumbo na Mwita Waitara zikanijia kichwani!
 
Ni muda muafaka sasa kuachana na matapeli ya kisiasa Chadema na kwenda na watu makini kabisa toka chama makini CCM.
 
kampeni burudani sana! jamaa si mjinga! akimaliza kuchagua mchele na kujichotea kura za kina mama yoyoo kwa kuwaunga mkono sasa ataingia vijiwe vya boda boda na vibanda umiza kushabikia mpira na machalii za Ara akombe kura zao!
Mwache aburudike!Next time aende viwanja vya madada poa, avae dera na kushiriki shughuli yao, uone kama atabaki na Malinda. Endeleeni kumdanganya
 

Photo Op; kama hii hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…