Hao nazani ni wa huko kwenu zenjiDuh! Madaraka haya, kuna watu wengine wapo tayali hata kuliwa kiboga alimradi ayapate.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao nazani ni wa huko kwenu zenjiDuh! Madaraka haya, kuna watu wengine wapo tayali hata kuliwa kiboga alimradi ayapate.
View attachment 1576151
Hakika uchaguzi huu tutaona mengi,sio kwa mgombea urais tu hata kwa wabunge. Huyo ni Mrisho Gambo akijipendekeza kwa wajumbe
kampeni burudani sana! jamaa si mjinga! akimaliza kuchagua mchele na kujichotea kura za kina mama yoyoo kwa kuwaunga mkono sasa ataingia vijiwe vya boda boda na vibanda umiza kushabikia mpira na machalii za Ara akombe kura zao!alafu Chuga kwa wagumu na mwanaume kuchagua mchele wapi na wapi??
Aisee bado hujawajua wamaza wa hicho kipande.kampeni burudani sana! jamaa si mjinga! akimaliza kuchagua mchele na kujichotea kura za kina mama yoyoo kwa kuwaunga mkono sasa ataingia vijiwe vya boda boda na vibanda umiza kushabikia mpira na machalii za Ara akombe kura zao!
Kwa nini ushangae ndugu yangu...wanaanzia mbali hawa!.huu sasa ni UJINGA.
..sitashangaa kusikia Mrisho Gambo amekwenda kwenye kitchen party.
Taha Kota atotaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nyakati hizi hata alipewa kibao cha nazi akune nazi atafanya hivyo
😆😆😆[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nyakati hizi hata alipewa kibao cha nazi akune nazi atafanya hivyo
Ha haha! Sijui kwa nini baada ya kusoma post yako hii picha ya Kitila Mkumbo na Mwita Waitara zikanijia kichwani!Duh! Madaraka haya, kuna watu wengine wapo tayali hata kuliwa kiboga alimradi ayapate.
Mwache aburudike!Next time aende viwanja vya madada poa, avae dera na kushiriki shughuli yao, uone kama atabaki na Malinda. Endeleeni kumdanganyakampeni burudani sana! jamaa si mjinga! akimaliza kuchagua mchele na kujichotea kura za kina mama yoyoo kwa kuwaunga mkono sasa ataingia vijiwe vya boda boda na vibanda umiza kushabikia mpira na machalii za Ara akombe kura zao!
Ujinga huu. Mvikeni kanga bwege huyo, beki tatu.Mtoto wa Muuza uji ashiriki Shughuli ya Kijamii
Ni Kwenye Arobaini ya Marehemu Mzee James Kilangisa Mtaa wa Milongoine kata ya Olmot ArushaView attachment 1574838View attachment 1574839View attachment 1574840View attachment 1574841
Hakika wakati wa kampeini tutayaona mengi sana ya kufurahisha na ya kusikitisha.
Kutoka mkuu wa mkoa hadi kwenda kumsaidia kuchagua mchere mama nitilie kisa upate kurani zaidi ya kituko.
Gambo akubali tu kuwa kwa Arusha amesha chemka mapeema sana akawaulize watangulizi wake walichokipata Arusha. View attachment 1576041
Natamani siku akipata ubunge akiends kwenye shughuli wamama wamuite kuna mchele wa kuchambua huku nyuma muheshimiwa njoo. Tuone km ataendaMtoto wa Muuza uji ashiriki Shughuli ya Kijamii
Ni Kwenye Arobaini ya Marehemu Mzee James Kilangisa Mtaa wa Milongoine kata ya Olmot ArushaView attachment 1574838View attachment 1574839View attachment 1574840View attachment 1574841