Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kwani Gambo kujiuzulu ni kupigana? Kuwa na akili kidogo basi.Nyerere hakupigana vita aliyojua atashindwa ewe babati. Tulipigana kwa makaratasi na tulijua tutashinda maana hata hao waimgereza hawakuhitaji sana koloni liendelee.
Mbona sasahivi police mmoja anaweza kulinda watu 20 na mkatii?Mkuu nikiangalia picha za utumwa najiuliza maswali mengi mno eti katoto ka kizungu kamoja kanalindwa na watu wenye miguvu yao
Aliharibu sana mifumo ya utawala. Kutokana na kuharibu mifumo ya utawala, alifukuza wawekezaji na kuharibu ajira.Kitu gani hizo kwenye nchi kitajengwa kwa zaidi ya miaka mitano na hapo nyuma kwani kilikuwaje?
Tuwe realistic, wewe ungejiuzulu?Why hakujiuzulu
Akili ww ndo hutumii. Gambo kasema kuna wenye nguvu kuliko yeye waliokuwa chini yake maana yake ni kuwa alikwamishwa kwenye kupigania anachoamini na wenye nguvu walio chini yake. BABATIKwani Gambo kujihuzulu ni kupigana? kuwa na akili kidogo basi
Wewe ukiwemo!Kwani watumwa waliweza vipi kuchungwa na wazungu wawili,watu 200?
Mwanafrika hanaga akili,,
Kazi kutoa visingizio tu, wakiambiwa suala la kuleta katiba mpya ili kuondoa mamlaka makubwa ya kikatiba yaliyolimbikizwa kwa mtu mmoja, ambaye anaweza kufanya jambo lolote lile vile ambavyo atakavyo yeye bila hata kuhojiwa, bado wao wanashupaza shingo zao wakifikiri wanawakomoa wapinzani. Kalaghabao!"Watu wanasema mbona Gambo alikuwa m/kiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa lakini task force wakafanya unyang'anyi? Hawaelewi kuwa uongozi uliopita Ungeweza kuwa RC Ila kiongozi wa ngazi ya chini akawa na nguvu kutokana na anayemtuma kufanya mambo bila hata RC kujua" - Mh Mrisho Gambo
No kuna option nyingi ya namna ya kuachana na kazi unayoona hustahili,mojawapo ni kutafuta kaxi ingine kama alivyofanya Gambo,unamuachia boss akufukuze ,,sasa ukiacha ghafla eti najiuzulu juu siridhiki na amri nazopewa,usiku kina Sabaya hawa hapa,,,unaishia ndani ya salfetAlifukuzwa hakujihuzulu
Hiyo avatar yako uwa unanifanya nihisi we ndiyo mwenye ile akaunt ya bia yetu.Alijiuzulu,akagombea ubunge
Ndo picha yangu halisi..Hiyo avatar yako uwa unanifanya nihisi we ndiyo mwenye ile akaunt ya bia yetu.
Acha Mkuu ..Wazungu Walikuwa Wakuja....Na Nyerere alitambua hiloKwa mawazo ya kipumbafu kama haya akina Nyerere wasingekomboa nchi mpaka leo. Over
Anawaongoza huku mkiwa mmembeba kwa machera toka Kigoma hadi Bagamoyo.Ukweli mchungu,mtu mmoja na gobole lenye risasi moja anawaongoza maelfu kupanda meli bila hata kufahamu wanaelekea wapi.
"Watu wanasema mbona Gambo alikuwa m/kiti wa kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa lakini task force wakafanya unyang'anyi? Hawaelewi kuwa uongozi uliopita Ungeweza kuwa RC Ila kiongozi wa ngazi ya chini akawa na nguvu kutokana na anayemtuma kufanya mambo bila hata RC kujua" - Mh Mrisho Gambo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwa hiyo sura uko jeshini ungekataliwa(joke)Ndo picha yangu halisi..
Wajaluo sura zetu ni za kazi kazi..🤗🤗[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwa hiyo sura uko jeshini ungekataliwa(joke)
Hata mimi nashangaaNa sisi ni wajinga sn kwanini mtu mmoja atuzidi akili watu 60M?