Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Upo sahihi mkuu yule ni mnafiki sntusimlaumu gambo, huyu bwana kaamua kua mnafiki ajili ya future yake, yeye mwenyewe aligombana na kila mtu kule bt kwa sasa anajitoa fahamu utadhani sio yeye.
Mbona RC wa Kilimanjaro alijihuzulu?Mzee enzi ya mwendazake kujiuzulu ilikuwa ni sawa na kujihukumu kifungo or kifo, kila mtu anapenda maisha yake
May be alipata ruhusa maalum, si unajua jamaa alivyokuwa double standards? Kumbuka ishu ya Bashite na vyeti feki or kuna watu aliwatisha wateule aliwatisha wasigombee ubunge atawakata, wakati wengine akawapa baraka zote! Alikuwa haelewekiMbona RC wa Kilimanjaro alijihuzulu?
DC alikuwa Mani kipindi chake,na yuko wapi sasahapo anajaribu kudondosha jumba bovu kwa DC wake ambaye walikua na beef balaa.
Watu 60M kwanini tulikubali kuendeshwa na akili ya mtu mmoja?May be alipata ruhusa maalum, si unajua jamaa alivyokuwa double standards? Kumbuka ishu ya Bashite na vyeti feki or kuna watu aliwatisha wateule aliwatisha wasigombee ubunge atawakata, wakati wengine akawapa baraka zote! Alikuwa haeleweki
Huyu GAMBO akapimwe akili.Kama aliyaona hayo kwanini hakujiuzulu mapema?Gambo ni mnafiki na punguani kabisa.Alipewa ukuu wa mkoa na JPM.Pia ubunge.Lakini bado anamlaumu.LILIBEBWA MGONGONI NA JPM NA BADO LINASEMA MGONGO WA JPM UNANUKA.PUMBAFU HILO.MAMA SAMIA ACHANA NA MANAFIKI KAMA HAYA.UKIYACHUKUA NA WW YATAKUSEMA TU.YAPO MENGI TU.NAYEENE.
Huyu GAMBO akapimwe akili.Kama aliyaona hayo kwanini hakujiuzulu mapema?Gambo ni mnafiki na punguani kabisa.Alipewa ukuu wa mkoa na JPM.Pia ubunge.Lakini bado anamlaumu.LILIBEBWA MGONGONI NA JPM NA BADO LINASEMA MGONGO WA JPM UNANUKA.PUMBAFU HILO.MAMA SAMIA ACHANA NA MANAFIKI KAMA HAYA.UKIYACHUKUA NA WW YATAKUSEMA TU.YAPO MENGI TU.NAYEENE.
Watu hawakumwogopa yeye, waliogopa vyombo vya dola alivyovishikilia, kama ulikuwa unamfuatilia kwa karibu alikuwa anajipendekeza sana kwa vyombo vya dolaWatu 60M kwanini tulikubali kuendeshwa na akili ya mtu mmoja?
Kama watu elfu 30 tu wangekuwa na msimamo kama wa Lissu sidhani kama angetupeleka kama alivyokuwa anafanya.Watu hawakumwogopa yeye, waliogopa vyombo vya dola alivyovishikilia, kama ulikuwa unamfuatilia kwa karibu alikuwa anajipendekeza sana kwa vyombo vya dola
Mbona akina Lissu walipigwa risasi na bado wakaendelea kuwa na misimamo yao? yule ni mjinga sn alimfanyia Lema unyama wa kijinga sn.Mnaohoji eti kwanini Gambo hakujiuzuru kupinga yaliyokuwa yanafanyika wakati ule, mnajitoa ufahamu tu na 99.99% kati yenu msingekuwa na ujasiri wa kutoka hata huu tu wa kuja na kuyasema haya sasa hivi.
Gambo anachosema ni ukweli mtupu. Jiwe was something else na bila shaka Gambo anaelewa zaidi yenu ninyi nini kingempata wakati ule kama angefurukuta
anaitwa Daquaro alihamishiwa Manyara baada ya ugomvi wake na Gambo, na akaenda kugombea ubunge kwao sijajua alifikia wapi.DC alikuwa Mani kipindi chake,na yuko wapi sasa
Hata maza awe makini na hawa watuVijana wa Mwendazake sasa wameamua kuweka gogo kabisa kwenye kaburi la baba yao!! Huwezi amini kabisa hii mambo... ni ngumu.
Walifutwa kazi wote wawili, aligombea akakosaanaitwa Daquaro alihamishiwa Manyara baada ya ugomvu wake na Gambo, na akaenda kugombea ubunge kwao sijajua alifikia wapi.
Wakina Nyerere wangefanya ujinga wa akina Gambo nchi isingepata uhuruEnzi za utawala wa mwendakuzimu DC wa kakonko kigoma alikuwa anaweza kwenda namtumbo ruvuma au Dodoma na kupiga paranja la kufa mtu na hakuna RC ambaye angeweza hata kukema.
Haya mambo ni kote mkuu, i dont know ukondoo huu unatoka wapi, China kuna watu 1.5b lakini wafanya maamuzi makubwa hawazidi 2000 wapo Beijing, hayajalishi hayo maamuzi yanaumiza watu or no lazima wayatekelezeKama watu elfu 30 tu wangekuwa na msimamo kama wa Lissu sidhani kama angetupeleka kama alivyokuwa anafanya.