Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Mnaohoji eti kwanini Gambo hakujiuzuru kupinga yaliyokuwa yanafanyika wakati ule, mnajitoa ufahamu tu na 99.99% kati yenu msingekuwa na ujasiri wa kutoka hata huu tu wa kuja na kuyasema haya sasa hivi.
Gambo anachosema ni ukweli mtupu. Jiwe was something else na bila shaka Gambo anaelewa zaidi yenu ninyi nini kingempata wakati ule kama angefurukuta
Gambo anachosema ni ukweli mtupu. Jiwe was something else na bila shaka Gambo anaelewa zaidi yenu ninyi nini kingempata wakati ule kama angefurukuta