Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye kuchokonolewa tu.
Gambo amuonya Mkuu wa wilaya mbele ya Makonda, asema ameshindwa kazi
Kuna kiongozi mmoja, alisema eti mambo hayaendi kwasababu ya mgogogro wa mbunge, Baraza la Madiwani na kila kona ya nchi, lakini wanaosimamia haki mlinzi wao huwa ni Mungu na wala siyo binadamu.
Nimeipenda hii!, haswa hiyo ya kutaka kumchonganisha baba na mwana, kwa kuichonganisha record label ya baba na mwana, Columbia Records ya Michael Mauldin ambaye ni baba mtu, na Def Jam Records ya Jermaine Dupri ambaye ni mwanae!. Thanks for this, I didn't know this!.DC anatakiwa afahamu mkuu wa mkoa na mmbunge ni washikaji kitambo toka wanajitafuta wakiwa CCM.
Mmwakamwambia huyo president Columbia records ‘Michael Mauldin’ ndio baba yake mzazi Jermaine Dupri kama umempondo hivyo mtoto wake sahau ilo deal.
Makonda na Gambo ni ndugu wa kufikia.Nimeipenda hii!, haswa hiyo ya kutaka kumchonganisha baba na mwana, kwa kuichonganisha record label ya baba na mwana, Columbia Records ya Michael Mauldin ambaye ni baba mtu, na Def Jam Records ya Jermaine Dupri ambaye ni mwanae!. Thanks for this, I didn't know this!.
!.
P
Naunga mkono hoja,Gambo amekuwa anafichua Ufisadi Arusha mara Kwa mara kuanzia Bungeni na kwingine lakini Serikali haichukui hatua.
Gambo amuonya Mkuu wa wilaya mbele ya Makonda, asema ameshindwa kazi
Kuna kiongozi mmoja, alisema eti mambo hayaendi kwasababu ya mgogogro wa mbunge, Baraza la Madiwani na Wataalamu, haya mlioyaona kuna sehemu mbunge anaingia hapo? Mkuu wa Mkoa kwa kuridhika na kazi yako nimetulia naomba wasinikchokonoe wasinifatefate na watimize wajibu wao.
Mkuu wa Wilaya alitakiwa akwambie kwa nini kwake mambo hayaendi, asimsingizie mbunge mimi siyomtendaji wa serikali mimi ni mwakilishi wa wananchi, hiyo ni ishara kuwa ameshindwa kuwasimimamia wataalamu ndio maana mkuu wa mkoa leo unafanya kazi kwenye wilaya mambo yote anatakiwa yeye awe ameyamaliza.
Kwa hiyo naomba Mkuu wa wilaya mimi namuheshimu sana na nimejitahidi kumkwepa kwenye kazi zake kwa sababu nataka amani kwenye jimbo letu nataka maendeleo asinichokonoe kwa sababu sina mpango wa kugombana naye. na asinilazimishe kugombana naye.
Mkuu wa Mkoa nakuunga mkono kwenye kazi unayofanya ya kupambana na wezi kupambana na mafisadi, kazi ya kupambanan na wavivu tunaopata hasara ni sisi mimi na madiwani na wenyekiti wa serikali za mtaa na Maraisi mambo yasipokwenda haya tutakaopata hasara ni sisi tutawenda kuomba kura kwa wananchi.
Nilipokuwa nasema Arusha kuna wizi, Arusha ni shamba la bibi, Arusha mambo haaendi walikuwa wanasema gambo ni mbaya, sasa leo amekaja kiboko yao. Nami naungana na kabisa na wewe unaposimamia haki, unaposimamia ukweli utapigwa vita na majungu kwenye kila kona ya nchi, lakini wanaosimamia haki mlinzi wao huwa ni Mungu na wala siyo binadamu.
Pia soma: Mkuu wa Wilaa Arusha: Migogoro baina a Baraza, menejimenti na mbunge inadhoofisha utoaji huduma au miradi ya maendeleo kwa wananchi
Nadhani ilikuwa ni story tuu, suti ya Gambo ni mwembamba haiwezi kumtosha Makonda ana kifua kipana!.Makonda na Gambo ni ndugu wa kufikia.
Gambo ndio alimuazima suti yake Makonda siku ya harusi yake.
Sio Makonda huyu wa leo, ndoa yake Makonda kafanyia Arusha ghafla ghafla tu, ilibidi aende kwa Gambo zama hizo.Nadhani ilikuwa ni story tuu, suti ya Gambo ni mwembamba haiwezi kumtosha Makonda ana kifua kipana!.
P
Na hii ni toka juu hadi chini.Hii nchi imegeuka kuwa ya wasanii na wapenda maigizo.
Tatizo ni mfumo mbovu kila mtu anataka aibe kivyakeGambo nae hana akili. Kugombana na kila mtu hakuna maana
Nyie chadema nao hamna akili, mfumo mbovu mbona hata kwenye chama chenu upo.Tatizo ni mfumo mbovu kila mtu anataka aibe kivyake