T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Walioongea si unajua walipo hadi sasa. Sandarusi, risasi mchana kweupe, wasiojulikana, uhujumu uchumi, etcHuyu mjinga enzi ya marehemu angeongea au wakati inaanzishwa alikuwa magereza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walioongea si unajua walipo hadi sasa. Sandarusi, risasi mchana kweupe, wasiojulikana, uhujumu uchumi, etcHuyu mjinga enzi ya marehemu angeongea au wakati inaanzishwa alikuwa magereza?
Unafikiri angekuwepo Gambo angepata jeuri ya kuhojiMagufuli aliiharibu sana hii nchi.
Usiwasahau Alli Happy na Mnyeti
Angehoji wakati inaanzishwa aoneGambo kahoji jambo la msingi, nampongeza
Akae kimya hivyo hivyoWalioongea si unajua walipo hadi sasa. Sandarusi, risasi mchana kweupe, wasiojulikana, uhujumu uchumi, etc
Hii ni ajabu unafiki+unafiki.Gambo mtoto wa tatu wa baba
1. Bashite
2. Sabaya
3. Gambo
Leo hii anamsaliti baba kwa kuhoji hifadhi ya baba? [emoji15][emoji848][emoji848]
Yote hayo ni majangiliPia bashiri, chakubanga bila kumsahau yule wa Ruangwa.
Which ni illusion na story za kusadikikaNawaza yaan itokee tu mtukufu arudi eti anawaambia sjafa nlikuwa nawaskilizia nione[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hajajajahaaaaaaaa kila mtu atajikana
Hapa napasubiri vibaya sana mkuu, kazi ipo [emoji16]hii nchi tulipofikia inabidi tumkodi Obama aje awe rais wetu kwa muda,nchi kila mabadiliko ya rais inaanza upya ki fikra, mtazamo na miradi ya maendeleo! machinga wa mwanza mjini walioziba barabara na maduka makubwa ya walipa kodi watatokaje? ngoja tuone
Ndio maana kila mtu ana mawazo yakewhich ni illusion na story za kusadikika