Drifter
JF-Expert Member
- Jan 4, 2010
- 5,122
- 5,104
Comment ya mwaka hii. Hapo ndipo watu wataelewa kwamba dhana ya ufufuo kama ule wa Lazaro haikubaliki kiuhalisia.Nawaza yaan itokee tu mtukufu arudi eti anawaambia sjafa nlikuwa nawaskilizia nione🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hajajajahaaaaaaaa kila mtu atajikana
Kama kweli Askofu Rashidi angekuwa anafufua wafu, sipati picha ya mtafutano ambao ungetokea kwenye jamii. Bila shaka mwisho wa dunia ungewasili mapema.