Ni sahihi alivyouliza lakini pia kama lengo ni kukuza na kuongeza vivutio vya utalii ni lazima tubuni vipya, kuboresha vilivyopo na kuvitangaza kama ilivyo kwa Burigi chato.
Sasa sijui kivip hapo JPM alikosea kama comment za wengi zilivyo. Chuki tu
Swali langu kwa mh Gambo ni kwamba? Laiti hayati JPM angekuwepe, angeweza kuuliza hili swali?.
Inashangaza sanaBaada ya Magu kutangulia mbele za haki, kuna wabunge kadhaa kama akina Gambo wameamua sasa kurusha madongo bila kupepesa macho.
Musiba Mjomba wao na hao watotoGambo mtoto wa tatu wa baba
1. Bashite
2. Sabaya
3. Gambo
Leo hii anamsaliti baba kwa kuhoji hifadhi ya baba? [emoji15][emoji848][emoji848]
Sema Kimeumana!!!Ngoja tuone...
Hao DAIMA HANAGA AKILI KABISA MAANA AKIONDOKA NA HUYU WATASEMA KILE HAKIKUWA KIZURIAkili zimeanza kurudi baada ya Jiwe kuondoka.
Attacking FormationBaada ya Magu kutangulia mbele za haki, kuna wabunge kadhaa kama akina Gambo wameamua sasa kurusha madongo bila kupepesa macho.
Ndiyo Ukweli WenyeweGambo kahoji jambo la msingi, nampongeza
S kesha kufaGambo mtoto wa tatu wa baba
1. Bashite
2. Saa mbaya
3. Gambo
Leo hii anamsaliti baba kwa kuhoji hifadhi ya baba? [emoji15][emoji848][emoji848]
Legasii demolishenii?Attacking Formation