Comment ya mwaka hii. Hapo ndipo watu wataelewa kwamba dhana ya ufufuo kama ule wa Lazaro haikubaliki kiuhalisia.Nawaza yaan itokee tu mtukufu arudi eti anawaambia sjafa nlikuwa nawaskilizia nione🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hajajajahaaaaaaaa kila mtu atajikana
Na mie nashangaa hapa lolGambo mtoto wa tatu wa baba
1. Bashite
2. Saa mbaya
3. Gambo
Leo hii anamsaliti baba kwa kuhoji hifadhi ya baba? [emoji15][emoji848][emoji848]
Ajabu kwa kweli lol.Pale jamaa zako wa karibu wanapokusaliti ukitoweka duniani
[emoji23][emoji23][emoji23] tena mchana kweupeeeh.Nawaza yaan itokee tu mtukufu arudi eti anawaambia sjafa nlikuwa nawaskilizia nione[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hajajajahaaaaaaaa kila mtu atajikana
Mimi nawaona ACT wakikaa vizuri wanaweza chukua majimbo mengi sana mfano hilo la GamboYaani nimechoka, ina maana hawa jamaa wametudanganya sana,heeee. Hawa ndo walikuwa praise team leo ndo wanageuka namna hii. Unajua hawa ndo watasababisha CCM ipate tabu 2025. Hakuna kitu kibaya kama kudanganya watu na kuonyesha rangi za kujibadilisha badilisha kama vinyonga. Ujue wananchi tuna vichinjio. CHADEMA mtarudisha majimbo mengi sana na kuzidi kama mkicheza political game vyery smart. Hawa watu ni wa kupiga kweli kweli 2025.
Gharama za uendeshaji National Park ni kubwa sana kuliko gharama za kuendesha Game Reserve. Lile pori lilikuwa Game revserve hivyo linaweza kurejeshwa huko ili kusave pesa za uendeshaji kama National Park.Akishajia then inamsaidia nini wakuu. Hiyo sii ni mbuga ikiingiza hela au kutoingiza hela serikali inapungukiwa nini. Hili ndio tatizo la ukosefu wa elimu ya uelewa Tanzania.
Mtakalia majungu tu.Magufuli aliiharibu sana hii nchi.
Aisee. Ndio kama vile ndoa yao na Jiwe ikifungwa, mchungaji/padri akakomelea “…speak now or forever hold your peace”! 🤣Akae kimya hivyo hivyo
achana na mapoli waza mambo ya msingi kwa hiyo lengo lako ukawatoe wale wanyama au, achana na hizo mamboGharama za uendeshaji National Park ni kubwa sana kuliko gharama za kuendesha Game Reserve. Lile pori lilikuwa Game revserve hivyo linaweza kurejeshwa huko ili kusave pesa za uendeshaji kama National Park.
Unakubaliana na kauli ya Gambo kuhusu Burigi?Ni sahihi alivyouliza lakini pia kama lengo ni kukuza na kuongeza vivutio vya utalii ni lazima tubuni vipya, kuboresha vilivyopo na kuvitangaza kama ilivyo kwa Burigi chato.
Sasa sijui kivip hapo JPM alikosea kama comment za wengi zilivyo. Chuki tu
Hivi Dr.Magufuli na Dr.Shika nani alikua na IQ kubwa?