Gambo: Twambieni Hifadhi ya Burigi Chato imeingiza kiasi gani?

Kitovu cha utalii a.k.a Kitovu cha wezi na majambawazi
 
Amka amka toka kwenye huo usingizi uokufanya unaota vitu usivyovijua.
 
Akishajia then inamsaidia nini wakuu. Hiyo sii ni mbuga ikiingiza hela au kutoingiza hela serikali inapungukiwa nini. Hili ndio tatizo la ukosefu wa elimu ya uelewa Tanzania.
Unaelewa kweli kinachozungumzwa hapa.Kwahiyo kwa akili zako unaona ni sawa uwe na kitu kinachochukua gharama kubwa kukiendesha bila faida wakati kimsingi kilipaswa kizalishe kwa faida na kijiendeshe.
 
Gambo mtoto wa tatu wa baba

1. Bashite
2. Saa mbaya
3. Gambo

Leo hii anamsaliti baba kwa kuhoji hifadhi ya baba? [emoji15][emoji848][emoji848]
Gambo ni mnafiki na hatoweza kupata madaraka huko mbele sababu alichofanya ilikuwa ni kutibu njaa yake.
 
Gambo anashangaa nini? Corona ni fursa ndiyo! Hivi mnadhani mabeberu wanatukomalia kupima corona na kuchanja unadhani wanatupenda sana au? Ni fursa, wanataka kupiga pesa!! Tena wanalazimisha!!
Mimi nashauri anayetaka kupima kwa hiari na hana safari ya lazima kwenda nje ya nchi atozwe dola 500. Ila yule anayelazimika kupima ili kutimiza masharti ya kusafiri je ya nchi alipe dola 50.
 
Unaelewa kweli kinachozungumzwa hapa.Kwahiyo kwa akili zako unaona ni sawa uwe na kitu kinachochukua gharama kubwa kukiendesha bila faida wakati kimsingi kilipaswa kizalishe kwa faida na kijiendeshe.
Wewe ndio huelewi ambaye unapenda kujadili vitu vyisivyo na msaada kwako.
 
Kuna mambo mengine ni ya ajabu sana...
 
Ni sahihi alivyouliza lakini pia kama lengo ni kukuza na kuongeza vivutio vya utalii ni lazima tubuni vipya, kuboresha vilivyopo na kuvitangaza kama ilivyo kwa Burigi chato.
Sasa sijui kivip hapo JPM alikosea kama comment za wengi zilivyo. Chuki tu
Vya sasa tuu vimekushinda hivyo vipya wewe vinakusaidia nini?
 
Gambo yuko very smart kichwani.

Kuna kipind siasa za chuki zilitakakuharibu kichwa chake

Ana hoja ya msingi
Wabunge wengi waliotokea kwenye utumishi wa umma huwa wapo vizuri,swma ile uchama ndio unawakaba akili zinakuwa 2.
 
Legasi inazidi kupukutishwa
 
Huyu ni Gambo Gani,
Ni Yule Ambae Aliagiza Pesa Za Lambi lambi kwenye Ajali Ya Luck Vicent School Zisiende Kwa Family Bali Sikarabati Hospital??.
Ni yule yule anaenda na upepo ili aambulie angalau uwazari wa mazingira kama siyo naibu,maana ukimponda Mwendazake unajiweka Pazuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…