VyoteeWakuu nyie gamers mnatumia PS au PC.
Game nalikubali sana hili ngoja nitafute storage yakueleweka nianze kucheza gameHi?
DAYS GONE ni game ambalo liliniteka kihisia na kiakili mpaka nikajihisi na mimi ni moja ya character wa mule ndani ya game mpaka siku ile namaliza mission ya mwisho najihisi kama naenda kupoteza marafiki zangu niliodumu nao kwa muda mrefu
Warning Mission za Horde ni za kuepuka kama hauna uvumilivu unaweza usimalize mission wale wadudu ukiwaona tu kwanza vidole vinajaa Jasho ghafla pili mapigo ya moyo yanaenda mbio mpaka unamaliza kuwauwa unakuta baadhi ya vitu vyako vilivyokua mezani vimedondoka chini mpaka unafikili kama ulikua unapambana nao liveView attachment 3196996View attachment 3196997View attachment 3196998View attachment 3197000
Kucheza game ni DNA siwezi acha hta nifike age ya 50 tuombe uzima tu na afya nzuriBack in the day Call of duty modern wa fare II & III , advanced war fare. Ili bamba sana. Sikuizi utu uzima nimewaachia madogo
Then wich things for adultsUtoto Raha ila nashukuru I play all 4 generations of ps ps 5 siwezi cheza is just childish stuff ku concentrate na video games labda in the future nifanye kama biashara
Horde wote kwenye ramani niliwamaliza.Hi?
DAYS GONE ni game ambalo liliniteka kihisia na kiakili mpaka nikajihisi na mimi ni moja ya character wa mule ndani ya game mpaka siku ile namaliza mission ya mwisho najihisi kama naenda kupoteza marafiki zangu niliodumu nao kwa muda mrefu
Warning Mission za Horde ni za kuepuka kama hauna uvumilivu unaweza usimalize mission wale wadudu ukiwaona tu kwanza vidole vinajaa Jasho ghafla pili mapigo ya moyo yanaenda mbio mpaka unamaliza kuwauwa unakuta baadhi ya vitu vyako vilivyokua mezani vimedondoka chini mpaka unafikili kama ulikua unapambana nao liveView attachment 3196996View attachment 3196997View attachment 3196998View attachment 3197000
Si kweliHuu ni uzi wa watoto wa mboga saba
Nimeendesha hilo...Scania zile...nikawa na Garage kila kona...nikaajiri sana ππππSisi wa eur track tunacoment wap
Black ops ipi? Mule ndani Alex Mason ni mtu saana, hasa Black ops 1 na 2. Mzungu hatari sana.CAll of duty black ops