Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Nitafika huko maana kila siku kuanzia saa 5 usiku hadi saa 6 usiku lazima nicheze angalau 10 hadi 20...
Tatizo la hili game ukipoteza simu unaanza upyaa
Link hiyo account na Facebook account yako ili kusecure informations zako.
Mimi kila siku natenga lisaa limoja pia.