Game ya Yanga vs Simba itakuwa ngumu Sana

Game ya Yanga vs Simba itakuwa ngumu Sana

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Mashabiki wengi wa Simba wameshatengeneza mentality ya wao kushinda dhidi ya Yanga Tena kwa magoal mengi kwa kuamini Yanga ni mbovu.Me ni mshabiki wa Simba lakini kwenye derby chochote kinaweza kutokea kwa team zote mbili kitendo Cha Yanga kuaidiwa mil 200 na uongozi wao Kama wakishinda kitafanya wachezaji wao watajitoa kwel kwel.Na ipo wazi physically Yanga ni Bora kuliko Simba Sawa tunawaimba Chama, Luis unaweza ukashangaa Hawa wote wakawa chini ya kiwango au wakabanwa na ukitaka uiue Simba mzuie Mkude asiwe na madhara huyu ndio anayofanya Simba icheze ndomaana game ya kwanza alivyopotezwa Mkude Simba ilizidiwa especially kipindi Cha pili.

Ushauri wangu kwa mashabiki wenzangu wa Simba wasiingie na matokeo yao uwanjani matokeo yanapokuwa tofauti ndo tunaona matukio ya watu kufa kwa pressure wengine kuzimia Cha msingi tusubili dk 90 ndo zitakazo amua.
 
Mashabiki wengi wa Simba wameshatengeneza mentality ya wao kushinda dhidi ya Yanga Tena kwa magoal mengi kwa kuamini Yanga ni mbovu.Me ni mshabiki wa Simba lakini kwenye derby chochote kinaweza kutokea kwa team zote mbili kitendo Cha Yanga kuaidiwa mil 200 na uongozi wao Kama wakishinda kitafanya wachezaji wao watajitoa kwel kwel.Na ipo wazi physically Yanga ni Bora kuliko Simba Sawa tunawaimba Chama, Luis unaweza ukashangaa Hawa wote wakawa chini ya kiwango au wakabanwa na ukitaka uiue Simba mzuie Mkude asiwe na madhara huyu ndio anayofanya Simba icheze ndomaana game ya kwanza alivyopotezwa Mkude Simba ilizidiwa especially kipindi Cha pili.

Ushauri wangu kwa mashabiki wenzangu wa Simba wasiingie na matokeo yao uwanjani matokeo yanapokuwa tofauti ndo tunaona matukio ya watu kufa kwa pressure wengine kuzimia Cha msingi tusubili dk 90 ndo zitakazo amua.
Mh! Mbona mechi hii wanaojitapa kuwa watashinda ni yanga,wiki ya pili sasa wanaotrend kwa wingi mitandaoni ni yanga fans kuwa watamla mnyama.game ya Kwanza Simba fans walitrend sana kuwa watamfunga yanga kwa goli nyingi wakiongozwa na msemaji wao manara,lakini mechi hii imekuwa tofauti ingia you tube utaona ni mashabiki gani kwa wingi wanaosema watashinda game
 
Mashabiki wengi wa Simba wameshatengeneza mentality ya wao kushinda dhidi ya Yanga Tena kwa magoal mengi kwa kuamini Yanga ni mbovu.Me ni mshabiki wa Simba lakini kwenye derby chochote kinaweza kutokea kwa team zote mbili kitendo Cha Yanga kuaidiwa mil 200 na uongozi wao Kama wakishinda kitafanya wachezaji wao watajitoa kwel kwel.Na ipo wazi physically Yanga ni Bora kuliko Simba Sawa tunawaimba Chama, Luis unaweza ukashangaa Hawa wote wakawa chini ya kiwango au wakabanwa na ukitaka uiue Simba mzuie Mkude asiwe na madhara huyu ndio anayofanya Simba icheze ndomaana game ya kwanza alivyopotezwa Mkude Simba ilizidiwa especially kipindi Cha pili.

Ushauri wangu kwa mashabiki wenzangu wa Simba wasiingie na matokeo yao uwanjani matokeo yanapokuwa tofauti ndo tunaona matukio ya watu kufa kwa pressure wengine kuzimia Cha msingi tusubili dk 90 ndo zitakazo amua.
Hivi kuingia na matokeo uwanjani manake nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ulivyosema yanga ni bora kuliko simba hapo lugha yako imenipiga chenga kidogo... sijakuelewa bado!
Kwenye eneo la kutumia nguvu Yanga wapo very tough kuliko Simba nazani utakuwa umenielewa
 
Back
Top Bottom