Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃😃😃 sikuelewa tittle ya thread. hizo ndo PC games zangu pendwa all the timeEuro Truck Simulator 2 mbona lipo mwake
Hapo sawa😃😃😃 sikuelewa tittle ya thread. hizo ndo PC games zangu pendwa all the time
Jaribu snow runner unaweza futa ets 2😃😃😃 sikuelewa tittle ya thread. hizo ndo PC games zangu pendwa all the time
Kumbe ushakua Asas kwenye PC mkuu😃Euro truck simulator humo nilishakua tajiri nikimiliki trucks kama 50 hivi na garage kibao nilizimiliki karibia nchi zote za europe nilikua namiliki garage,dah pc ikaja kuzingua nikakosa muendelezo 😀,now natumia pc ndogo ambayo naionea huruma hata kucheza super mario 😀
Aisee noma mkuu 😂😂,yan kama ya ukweli kweli nikimbizane na waarabu na mimi 😂Kumbe ushakua Asas kwenye PC mkuu😃
Java...Assassins creed revelations lakini nilitumia simuView attachment 3095972
Utoto how???Video game most of the time ni utoto ukiweka concetration kubwa sasaivi nacheza for pleausure tu ,ila ile game ya kivita maarufu ya warussia,hitman pia ya kwenda kumuokoa general nchi nyingine
Ndo hapo sasa huyu jamaa nae vipiUtoto how???
Wakati nyingi zinahitaji akili sana hata ukimpa huyo mtoto hawezi kucheza na nyingi rating ni 17+
Eeeh game za java hizo mkuu sahivi nacheza kwenye smartJava...
Ps5 kushuka itaanza fat kwasababu tayari pro imetoka ila tutegemee mwakani bei zitashuka ila napo inaweza isiwe kivile now ni mil 1.5 hata ikishuka sana labda inaweza kwenda mil 1.Game nililofita Prince Persia kuna sehemu kila nikijaribu kuvuka nashindwa, nikaingia mtandaoni nikakuta kweli kile kipengele mtiti ila kuna solution yake
Nikaamua kufuata yale maelekezo lakini wapi
Nikalifutilia mbali. . .
Game niliyotaka kabisa kufuta kutokana na kushindwa mission ni GTA San Andreas kila kipengele cha mafunzo ya ndege
Dah nilisota sana, ila nikakomaa na kumaliza bila kutumia cheat hata moja mwanzo mwisho
Nimecheki PS5 ninekuta bei bado mtiti, hivyo naingia PS4 mdogo mdogo naendeleza jaramba
Nahisi hata nikiwa Babu sitoacha gaming labda macho yayumbe🤣
Ilinimalizia sana hela enzi za internet cafe sitoacha kufaidi sasa natumia hela zangu mwenyewe
Ikifika hapo najilipua kwa kweli hata 1 sio mbaya, mchawi ni huyo nusu mzima kwa kweliPs5 kushuka itaanza fat kwasababu tayari pro imetoka ila tutegemee mwakani bei zitashuka ila napo inaweza isiwe kivile now ni mil 1.5 hata ikishuka sana labda inaweza kwenda mil 1.
Yaah kununua mil 1.5 ps5Ikifika hapo najilipua kwa kweli hata 1 sio mbaya, mchawi ni huyo nusu mzima kwa kweli
Ukiwaza na games kadhaa zilizokwenda shule tayari unagusa 1.8
Naunga mkono hojaYaah kununua mil 1.5 ps5
Ni bora ubuild gaming pc.
Coz hiyo ps5 bado itakuumiza kwenye kupata games maana ni hela pia zitakutoka sana.
Gaming PC tayari ipo kwenye bajeti maana kazi nazosukuma day to day ili mkono uende kinywani zinahitaji PC ya kibabe vinginevyo sitoboiYaah kununua mil 1.5 ps5
Ni bora ubuild gaming pc.
Coz hiyo ps5 bado itakuumiza kwenye kupata games maana ni hela pia zitakutoka sana.