Gamondi aambiwe ukweli plan za klabu bingwa sio kama unaenda kucheza na Dodoma jiji

Gamondi aambiwe ukweli plan za klabu bingwa sio kama unaenda kucheza na Dodoma jiji

Acha ujinga!
Hakuna timu duniani iliyowahi kufanya huo upuuzi wa kumwacha adui acheze,
Hicho kitu hakipo
Ukiona timu ipo nyuma ujue imezidiwa possession!
Timu gani inamuacha adui acheze na wakati huohuo wachezaji wanapambana kunyang'anya mpira?
Na wakiupata mpira wanapambana wasinyang'anywe?
Kauli hizi hua za kijinga Sana!
Possession ya mpira Ni uwezo wa timu, na husababisha timu ipande muda wote!
Kukaba na kushambulia kwa kaunta inawezekana tu pale ambapo unayecheza nae ana uwezo mkubwa wa kumiliki mpira

Possession ni factor ya kwanza ya ushindi!
Kwenye ligi zote duniani, timu zenye uwezo wa possession ndizo kwa kawaida zinazobeba ubingwa wa ligi
Yanga alifika fainali shirikisho sababu ya possession
Pamoja na kupigwa tatu, kwenye mchezo wake wa juzi, Ila technically Yanga ndiye alikuwa na nafasi ya ushindi
Unamwachaje mpinzani acheze ili upigwe 5?
Mimi sijawahi kusikia timu ambayo haitaki kumiliki mpira
 
GAMONDI AAMBIWE UKWELI PLAN ZA KLABU BINGWA SIO KAMA UNAENDA KUCHEZA NA DODOMA JIJI.

Yanga ilikosa Heshima Kwa Mpinzani wake CR BELOUZDAD Jinsi ambavyo iliamua kuuendea Mchezo Huu Hali iliyopelekea Kuruhusu Magoli Matatu Kwa Mtungi Ugenini

Hakukuwa na Haja ya Kufunguka Katika Mchezo wa Ugenini Plan Kubwa Ambayo ingetumika Ingekuwa ni Counter Attack na Kuzuia

GAMONDI Aambiwe Ukweli kuwa hii ni Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na Sio Kombe la Shirikisho Wala NBC PREMIER LEAGUE

Ukweli Usemwe Huwezi Kucheza na Cr Belouzdad kama unaenda Kucheza na Dodoma jiji Yanga ilifeli kwenye Game Plan ya Ugenini

Mchezo unaofata Dhidi ya Al Ahly ni Mgumu Zaidi ya Huu waliocheza na CR BELOUZDAD Isipojipanga kisawasawa tutarajie ikienda Kupoteza Mchezo mwingine wa pili
Hapana bhana Yanga Ni timu bora kuliko zote Africa na haifungiki. Unashindwa mahali popote.
 
Kwanini mnawshtua? Hawajui wanacheza mashindano ya klabu bingwa. Wanafikiri huku Kuna Club Africain, na Zalan.
 
Yanga haina mpira wa kwenda popote Kimataifa. Strikers Musonda na Mzize halafu uende kucheza Champions League. Ngoja akili ziwakae sawa. Wao kumfunga Simba yale magoli ya Kununua wakadhani wameahinda Makundi ya CAF sasa wameanza kukojozwa
Unaonaje huo ushauri mkautymia huko shirikisho?
 
Back
Top Bottom