Acha ujinga!
Hakuna timu duniani iliyowahi kufanya huo upuuzi wa kumwacha adui acheze,
Hicho kitu hakipo
Ukiona timu ipo nyuma ujue imezidiwa possession!
Timu gani inamuacha adui acheze na wakati huohuo wachezaji wanapambana kunyang'anya mpira?
Na wakiupata mpira wanapambana wasinyang'anywe?
Kauli hizi hua za kijinga Sana!
Possession ya mpira Ni uwezo wa timu, na husababisha timu ipande muda wote!
Kukaba na kushambulia kwa kaunta inawezekana tu pale ambapo unayecheza nae ana uwezo mkubwa wa kumiliki mpira
Possession ni factor ya kwanza ya ushindi!
Kwenye ligi zote duniani, timu zenye uwezo wa possession ndizo kwa kawaida zinazobeba ubingwa wa ligi
Yanga alifika fainali shirikisho sababu ya possession
Pamoja na kupigwa tatu, kwenye mchezo wake wa juzi, Ila technically Yanga ndiye alikuwa na nafasi ya ushindi
Unamwachaje mpinzani acheze ili upigwe 5?