ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
tumeingia makundi bila MayeleKiufupi ni kwamba Mayele alikuwa anawabeba sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tumeingia makundi bila MayeleKiufupi ni kwamba Mayele alikuwa anawabeba sana.
Baada ya kuondoka Mayele timu imeshinda magoli mangapi hadi sasa?Kiufupi ni kwamba Mayele alikuwa anawabeba sana.
Sasa dodoma jiji ana ugumu ganiWe fala Dodoma jiji unaichukuliaje? Acha dharau
Metacha amna kitu mulePoor goal keeping and goal scoring technics, mashuti mengi yalikuwa yanamlenga kipa pia kipa wa yanga namba 2 Hana mazoezi yakutosha Bora watafute mwingine km hawezi kujituma
hivi wewe unaujua mpira kuliko gamandi?hakuna cha bahati haikuw upande wenu kiujumla mlikandwa vyema na ligi ya mabingwa sio kama unaenda kucheza na Mtibwa sugar badilikeni kocha abadilike na cha msingi kabisa tafuteni striker maan utopolo kule mbele mko uch......
Wanaweweseka na kipigo kitakatitfu cha November 5hivi wewe unaujua mpira kuliko gamandi?
Hii ni Club bingwa wala siyo shirikishoMkuu hiki ndicho nilichokiona, Yanga walikosa heshma kwenye hii game. Hawa waarabu ni wazuri ila wanafungika. Jana Yanga alifunguka sana, tungekuwa na nidhamu ya kulinda tungeweza pata hata draw. Timu inashambulia inasahau kujilinda, Yanga kafungwa magoli ya counter karibia yote. Lomalisa anapanda afu anachelewa kurudi, goli mbili zilipita humo.
Kwenye mechi kubwa Yanga wapunguze mbwembwe na wacheze mchezo wa kasi na pasi ndefu.
Kwa timu zinazolingana kiuwezo ni ngumu sana kuwafunga kwa njia hii ya kujenga mashambulizi ya taratibu kuanzia nyuma. Gamond atafute clips aangalie vile Nabi alikuwa anacheza hizi game.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Mngefanya kama ile timu waliyoifunga Argentina kombe la dunia. Wenzenu walifanya sherehe kwao na watu hawakwenda makazini kusherekea ushindi.Wanaweweseka na kipigo kitakatitfu cha November 5
AahaaaaHaya nyie wazoefu wa michuano hii ya CAF na wataalamu wa kujilinda zaidi, mmeshindwa nini leo kulinda hako ka gori kenu ka penalty ili kumaliza mchezo na 3 points ?
Acha boli litembee, Acha atembee na falsafa yake. Yeye kama kocha anajua akifanyacho.GAMONDI AAMBIWE UKWELI PLAN ZA KLABU BINGWA SIO KAMA UNAENDA KUCHEZA NA DODOMA JIJI.
Yanga ilikosa Heshima Kwa Mpinzani wake CR BELOUZDAD Jinsi ambavyo iliamua kuuendea Mchezo Huu Hali iliyopelekea Kuruhusu Magoli Matatu Kwa Mtungi Ugenini
Hakukuwa na Haja ya Kufunguka Katika Mchezo wa Ugenini Plan Kubwa Ambayo ingetumika Ingekuwa ni Counter Attack na Kuzuia
GAMONDI Aambiwe Ukweli kuwa hii ni Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na Sio Kombe la Shirikisho Wala NBC PREMIER LEAGUE
Ukweli Usemwe Huwezi Kucheza na Cr Belouzdad kama unaenda Kucheza na Dodoma jiji Yanga ilifeli kwenye Game Plan ya Ugenini
Mchezo unaofata Dhidi ya Al Ahly ni Mgumu Zaidi ya Huu waliocheza na CR BELOUZDAD Isipojipanga kisawasawa tutarajie ikienda Kupoteza Mchezo mwingine wa pili
Wewe ndio ujui mpira kwa style anagocheza kupata point 3 ugenini asahau kabisa ugenini lazima ucheze kwa tahadari yeye anafunguka tu...usituletee mipira ya kimazoea mbwa wewe heahima ndiyo kitu gani mpira mzuri unachezwa mnaleta uswahili wenu kuku maji wewe.
ingekuw kocha hakosolewi kungekuw hakuna wachambuzi duniani kote mtani acha makasirikohivi wewe unaujua mpira kuliko Gamond
ni ya kujadili mwenendo mbovu wa timu sio kifungwaYale maandamano jana yalikua ya nini?
Hio shirikisho mlicheza na huo mpira wenu wa champions League mlifika wapi?Hii ni Club bingwa wala siyo shirikisho
Shirikisho ukicheza ule mchezo wa Yanga kupata ushindi ni chap maana kule kuna wabovu wote kwahiyo anatafuta mbovu mwenye afadhali.
Champion league ni ligi ya mabingwa kwahiyo anayetafutwa ni bingwa zaidi yaani kadri unavyosonga mbele ndivyo unakutana na timu nzuri zaidi.
Acha ujinga ukiwa ugenini mnakua pungufu? Mamelodi sundowns wanacheza hivyo hivyo nyumbani na ugenini na wanapata matokeo,Wewe ndio ujui mpira kwa style anagocheza kupata point 3 ugenini asahau kabisa ugenini lazima ucheze kwa tahadari yeye anafunguka tu...
Huo ushauri upeleke kwenye timu yako yenye mwenendo mbovu sisi tumelizika na kufungwani ya kujadili mwenendo mbovu wa timu sio kifungwa
🤣🤣🤣mnaridhikaje n kufungwa mkuu chukuen hatua ku solve mistake zenuHuo ushauri upeleke kwenye timu yako yenye mwenendo mbovu sisi tumelizika na kufungwa
Acha ujinga!Yanga waliachiwa wacheze mpira kwa lengo la kuwahadaa, walipojaa kwenye plan hiyo wale jamaa wakawafunua kisha wakawachungulia mara tatu