Gamondi aambiwe ukweli plan za klabu bingwa sio kama unaenda kucheza na Dodoma jiji

Gamondi aambiwe ukweli plan za klabu bingwa sio kama unaenda kucheza na Dodoma jiji

Clip za mashindano ya Shirikisho ndo atumie hizo mbinu? Mnasahau kuwa Yanga ni wageni na ndo wanatengeneza uzoefu mpya. Timu ya Yanga ipo vizuri, jana wamecheza vizuri sana ila mashindano haya ni wageni mno.
Kwahiyo game plan ya shirikisho haiwezi kutumika kwenye champion league hivi una akili timamu? Umesahau usm alger ambaye anaenda kucheza klabu bingwa ya dunia alichukua ubingwa wa shirikisho mbele ya yanga kwa sheria tu ya goli la ugenini? Halafu walipokutana bingwa wa champion league ambaye ni al ahly na bingwa wa shirikisho ambaye ni usm alger matokeo ni kwamba al ahly alipigika?
 
Kwahiyo game plan ya shirikisho haiwezi kutumika kwenye champion league hivi una akili timamu? Umesahau usm alger ambaye anaenda kucheza klabu bingwa ya dunia alichukua ubingwa wa shirikisho mbele ya yanga kwa sheria tu ya goli la ugenini? Halafu walipokutana bingwa wa champion league ambaye ni al ahly na bingwa wa shirikisho ambaye ni usm alger matokeo ni kwamba al ahly alipigika?
Ok, akachukue hizo clip.
 
Ata national al haly wenyewe ugenini awawezi cheza vile yani unafunguka mpaka ma gap yanaonekana..kingine yanga aina forward wa kuweza kuisaidia timu kimataifa
Hili swala la forward nilishaliongea sana ila kwakuwa mapenzi ni upofu anatokea mtu anakuambia yanga imejengwa kwa mfumo wa kila mchezaji kufunga... unawacheka simba kuwa na wazee halafu unafurahia kuwa na wachèzaji wa viwango vya kawaida kama musonda,mzize na konkon
 
GAMONDI AAMBIWE UKWELI PLAN ZA KLABU BINGWA SIO KAMA UNAENDA KUCHEZA NA DODOMA JIJI.

Yanga ilikosa Heshima Kwa Mpinzani wake CR BELOUZDAD Jinsi ambavyo iliamua kuuendea Mchezo Huu Hali iliyopelekea Kuruhusu Magoli Matatu Kwa Mtungi Ugenini

Hakukuwa na Haja ya Kufunguka Katika Mchezo wa Ugenini Plan Kubwa Ambayo ingetumika Ingekuwa ni Counter Attack na Kuzuia

GAMONDI Aambiwe Ukweli kuwa hii ni Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na Sio Kombe la Shirikisho Wala NBC PREMIER LEAGUE

Ukweli Usemwe Huwezi Kucheza na Cr Belouzdad kama unaenda Kucheza na Dodoma jiji Yanga ilifeli kwenye Game Plan ya Ugenini

Mchezo unaofata Dhidi ya Al Ahly ni Mgumu Zaidi ya Huu waliocheza na CR BELOUZDAD Isipojipanga kisawasawa tutarajie ikienda Kupoteza Mchezo mwingine wa pili
kwa akili yako unadhani kwamba wewe unamzidinakili na ufundi gamondi?
 
Mkuu hiki ndicho nilichokiona, Yanga walikosa heshma kwenye hii game. Hawa waarabu ni wazuri ila wanafungika. Jana Yanga alifunguka sana, tungekuwa na nidhamu ya kulinda tungeweza pata hata draw. Timu inashambulia inasahau kujilinda, Yanga kafungwa magoli ya counter karibia yote. Lomalisa anapanda afu anachelewa kurudi, goli mbili zilipita humo.
Kwenye mechi kubwa Yanga wapunguze mbwembwe na wacheze mchezo wa kasi na pasi ndefu.
Kwa timu zinazolingana kiuwezo ni ngumu sana kuwafunga kwa njia hii ya kujenga mashambulizi ya taratibu kuanzia nyuma. Gamond atafute clips aangalie vile Nabi alikuwa anacheza hizi game.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
mbwembwe zipi walionesha yanga,tuache makocha wafanye kazi yao
 
Hili swala la forward nilishaliongea sana ila kwakuwa mapenzi ni upofu anatokea mtu anakuambia yanga imejengwa kwa mfumo wa kila mchezaji kufunga... unawacheka simba kuwa na wazee halafu unafurahia kuwa na wachèzaji wa viwango vya kawaida kama musonda,mzize na konkon
Kesho Yanga ikishinda mtageuza maneno, kwani ni lazima magoli yafungwe na forward?
 
GAMONDI AAMBIWE UKWELI PLAN ZA KLABU BINGWA SIO KAMA UNAENDA KUCHEZA NA DODOMA JIJI.

Yanga ilikosa Heshima Kwa Mpinzani wake CR BELOUZDAD Jinsi ambavyo iliamua kuuendea Mchezo Huu Hali iliyopelekea Kuruhusu Magoli Matatu Kwa Mtungi Ugenini

Hakukuwa na Haja ya Kufunguka Katika Mchezo wa Ugenini Plan Kubwa Ambayo ingetumika Ingekuwa ni Counter Attack na Kuzuia

GAMONDI Aambiwe Ukweli kuwa hii ni Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na Sio Kombe la Shirikisho Wala NBC PREMIER LEAGUE

Ukweli Usemwe Huwezi Kucheza na Cr Belouzdad kama unaenda Kucheza na Dodoma jiji Yanga ilifeli kwenye Game Plan ya Ugenini

Mchezo unaofata Dhidi ya Al Ahly ni Mgumu Zaidi ya Huu waliocheza na CR BELOUZDAD Isipojipanga kisawasawa tutarajie ikienda Kupoteza Mchezo mwingine wa pili
We fala Dodoma jiji unaichukuliaje? Acha dharau
 
GAMONDI AAMBIWE UKWELI PLAN ZA KLABU BINGWA SIO KAMA UNAENDA KUCHEZA NA DODOMA JIJI.

Yanga ilikosa Heshima Kwa Mpinzani wake CR BELOUZDAD Jinsi ambavyo iliamua kuuendea Mchezo Huu Hali iliyopelekea Kuruhusu Magoli Matatu Kwa Mtungi Ugenini

Hakukuwa na Haja ya Kufunguka Katika Mchezo wa Ugenini Plan Kubwa Ambayo ingetumika Ingekuwa ni Counter Attack na Kuzuia

GAMONDI Aambiwe Ukweli kuwa hii ni Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na Sio Kombe la Shirikisho Wala NBC PREMIER LEAGUE

Ukweli Usemwe Huwezi Kucheza na Cr Belouzdad kama unaenda Kucheza na Dodoma jiji Yanga ilifeli kwenye Game Plan ya Ugenini

Mchezo unaofata Dhidi ya Al Ahly ni Mgumu Zaidi ya Huu waliocheza na CR BELOUZDAD Isipojipanga kisawasawa tutarajie ikienda Kupoteza Mchezo mwingine wa pili
Poor goal keeping and goal scoring technics, mashuti mengi yalikuwa yanamlenga kipa pia kipa wa yanga namba 2 Hana mazoezi yakutosha Bora watafute mwingine km hawezi kujituma
 
Back
Top Bottom