Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo game plan ya shirikisho haiwezi kutumika kwenye champion league hivi una akili timamu? Umesahau usm alger ambaye anaenda kucheza klabu bingwa ya dunia alichukua ubingwa wa shirikisho mbele ya yanga kwa sheria tu ya goli la ugenini? Halafu walipokutana bingwa wa champion league ambaye ni al ahly na bingwa wa shirikisho ambaye ni usm alger matokeo ni kwamba al ahly alipigika?Clip za mashindano ya Shirikisho ndo atumie hizo mbinu? Mnasahau kuwa Yanga ni wageni na ndo wanatengeneza uzoefu mpya. Timu ya Yanga ipo vizuri, jana wamecheza vizuri sana ila mashindano haya ni wageni mno.
Ok, akachukue hizo clip.Kwahiyo game plan ya shirikisho haiwezi kutumika kwenye champion league hivi una akili timamu? Umesahau usm alger ambaye anaenda kucheza klabu bingwa ya dunia alichukua ubingwa wa shirikisho mbele ya yanga kwa sheria tu ya goli la ugenini? Halafu walipokutana bingwa wa champion league ambaye ni al ahly na bingwa wa shirikisho ambaye ni usm alger matokeo ni kwamba al ahly alipigika?
Hili swala la forward nilishaliongea sana ila kwakuwa mapenzi ni upofu anatokea mtu anakuambia yanga imejengwa kwa mfumo wa kila mchezaji kufunga... unawacheka simba kuwa na wazee halafu unafurahia kuwa na wachèzaji wa viwango vya kawaida kama musonda,mzize na konkonAta national al haly wenyewe ugenini awawezi cheza vile yani unafunguka mpaka ma gap yanaonekana..kingine yanga aina forward wa kuweza kuisaidia timu kimataifa
kwa akili yako unadhani kwamba wewe unamzidinakili na ufundi gamondi?GAMONDI AAMBIWE UKWELI PLAN ZA KLABU BINGWA SIO KAMA UNAENDA KUCHEZA NA DODOMA JIJI.
Yanga ilikosa Heshima Kwa Mpinzani wake CR BELOUZDAD Jinsi ambavyo iliamua kuuendea Mchezo Huu Hali iliyopelekea Kuruhusu Magoli Matatu Kwa Mtungi Ugenini
Hakukuwa na Haja ya Kufunguka Katika Mchezo wa Ugenini Plan Kubwa Ambayo ingetumika Ingekuwa ni Counter Attack na Kuzuia
GAMONDI Aambiwe Ukweli kuwa hii ni Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na Sio Kombe la Shirikisho Wala NBC PREMIER LEAGUE
Ukweli Usemwe Huwezi Kucheza na Cr Belouzdad kama unaenda Kucheza na Dodoma jiji Yanga ilifeli kwenye Game Plan ya Ugenini
Mchezo unaofata Dhidi ya Al Ahly ni Mgumu Zaidi ya Huu waliocheza na CR BELOUZDAD Isipojipanga kisawasawa tutarajie ikienda Kupoteza Mchezo mwingine wa pili
mbwembwe zipi walionesha yanga,tuache makocha wafanye kazi yaoMkuu hiki ndicho nilichokiona, Yanga walikosa heshma kwenye hii game. Hawa waarabu ni wazuri ila wanafungika. Jana Yanga alifunguka sana, tungekuwa na nidhamu ya kulinda tungeweza pata hata draw. Timu inashambulia inasahau kujilinda, Yanga kafungwa magoli ya counter karibia yote. Lomalisa anapanda afu anachelewa kurudi, goli mbili zilipita humo.
Kwenye mechi kubwa Yanga wapunguze mbwembwe na wacheze mchezo wa kasi na pasi ndefu.
Kwa timu zinazolingana kiuwezo ni ngumu sana kuwafunga kwa njia hii ya kujenga mashambulizi ya taratibu kuanzia nyuma. Gamond atafute clips aangalie vile Nabi alikuwa anacheza hizi game.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Clip huwa hazisaaidii chechote kile kwa mtazamo wanguOk, akachukue hizo clip.
Okey bossClip huwa hazisaaidii chechote kile kwa mtazamo wangu
hakuna cha bahati haikuw upande wenu kiujumla mlikandwa vyema na ligi ya mabingwa sio kama unaenda kucheza na Mtibwa sugar badilikeni kocha abadilike na cha msingi kabisa tafuteni striker maan utopolo kule mbele mko uch......Kwa mpira wa Jana itoshe kusema tu bahati haikuwa upande wetu
🤣🤣🤣ni kama naona kabisa mkienda kudondosha point tenaaa na mkidondosha point tenaa sahauni kuhusu kuvuka group stageAl Ahly hatoki hapa Dar. Iwe mvua iwe jua. Yanga ni timu nzuri tofauti na timu yangu ya Simba.
Kesho Yanga ikishinda mtageuza maneno, kwani ni lazima magoli yafungwe na forward?Hili swala la forward nilishaliongea sana ila kwakuwa mapenzi ni upofu anatokea mtu anakuambia yanga imejengwa kwa mfumo wa kila mchezaji kufunga... unawacheka simba kuwa na wazee halafu unafurahia kuwa na wachèzaji wa viwango vya kawaida kama musonda,mzize na konkon
Haya nyie wenye ma forward hatari mmeshinda mechi gani ya CAF msimu huu?hakuna cha bahati haikuw upande wenu kiujumla mlikandwa vyema na ligi ya mabingwa sio kama unaenda kucheza na Mtibwa sugar badilikeni kocha abadilike na cha msingi kabisa tafuteni striker maan utopolo kule mbele mko uch......
ni lazima wafunge wao ndio maana hakuna siku utakayoona baka anacheza namba 9 au job anacheza namba 10Kesho Yanga ikishinda mtageuza maneno, kwani ni lazima magoli yafungwe na forward?
We fala Dodoma jiji unaichukuliaje? Acha dharauGAMONDI AAMBIWE UKWELI PLAN ZA KLABU BINGWA SIO KAMA UNAENDA KUCHEZA NA DODOMA JIJI.
Yanga ilikosa Heshima Kwa Mpinzani wake CR BELOUZDAD Jinsi ambavyo iliamua kuuendea Mchezo Huu Hali iliyopelekea Kuruhusu Magoli Matatu Kwa Mtungi Ugenini
Hakukuwa na Haja ya Kufunguka Katika Mchezo wa Ugenini Plan Kubwa Ambayo ingetumika Ingekuwa ni Counter Attack na Kuzuia
GAMONDI Aambiwe Ukweli kuwa hii ni Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na Sio Kombe la Shirikisho Wala NBC PREMIER LEAGUE
Ukweli Usemwe Huwezi Kucheza na Cr Belouzdad kama unaenda Kucheza na Dodoma jiji Yanga ilifeli kwenye Game Plan ya Ugenini
Mchezo unaofata Dhidi ya Al Ahly ni Mgumu Zaidi ya Huu waliocheza na CR BELOUZDAD Isipojipanga kisawasawa tutarajie ikienda Kupoteza Mchezo mwingine wa pili
Poor goal keeping and goal scoring technics, mashuti mengi yalikuwa yanamlenga kipa pia kipa wa yanga namba 2 Hana mazoezi yakutosha Bora watafute mwingine km hawezi kujitumaGAMONDI AAMBIWE UKWELI PLAN ZA KLABU BINGWA SIO KAMA UNAENDA KUCHEZA NA DODOMA JIJI.
Yanga ilikosa Heshima Kwa Mpinzani wake CR BELOUZDAD Jinsi ambavyo iliamua kuuendea Mchezo Huu Hali iliyopelekea Kuruhusu Magoli Matatu Kwa Mtungi Ugenini
Hakukuwa na Haja ya Kufunguka Katika Mchezo wa Ugenini Plan Kubwa Ambayo ingetumika Ingekuwa ni Counter Attack na Kuzuia
GAMONDI Aambiwe Ukweli kuwa hii ni Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na Sio Kombe la Shirikisho Wala NBC PREMIER LEAGUE
Ukweli Usemwe Huwezi Kucheza na Cr Belouzdad kama unaenda Kucheza na Dodoma jiji Yanga ilifeli kwenye Game Plan ya Ugenini
Mchezo unaofata Dhidi ya Al Ahly ni Mgumu Zaidi ya Huu waliocheza na CR BELOUZDAD Isipojipanga kisawasawa tutarajie ikienda Kupoteza Mchezo mwingine wa pili
sisi hatujashinda mechi yoyote ila hatujafungwa pia uijisahaulisheHaya nyie wenye ma forward hatari mmeshinda mechi gani ya CAF msimu huu?
Beki akifunga linakua sio goli?ni lazima wafunge wao ndio maana hakuna siku utakayoona baka anacheza namba 9 au job anacheza namba 10
Yale maandamano jana yalikua ya nini?sisi hatujashinda mechi yoyote ila hatujafungwa pia uijisahaulishe