Kiungopunda
JF-Expert Member
- Oct 24, 2023
- 1,349
- 3,145
Wacha uoga, acha ball itembee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Al Ahly hatoki hapa Dar. Iwe mvua iwe jua. Yanga ni timu nzuri tofauti na timu yangu ya Simba.GAMONDI AAMBIWE UKWELI PLAN ZA KLABU BINGWA SIO KAMA UNAENDA KUCHEZA NA DODOMA JIJI.
Yanga ilikosa Heshima Kwa Mpinzani wake CR BELOUZDAD Jinsi ambavyo iliamua kuuendea Mchezo Huu Hali iliyopelekea Kuruhusu Magoli Matatu Kwa Mtungi Ugenini
Hakukuwa na Haja ya Kufunguka Katika Mchezo wa Ugenini Plan Kubwa Ambayo ingetumika Ingekuwa ni Counter Attack na Kuzuia
GAMONDI Aambiwe Ukweli kuwa hii ni Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na Sio Kombe la Shirikisho Wala NBC PREMIER LEAGUE
Ukweli Usemwe Huwezi Kucheza na Cr Belouzdad kama unaenda Kucheza na Dodoma jiji Yanga ilifeli kwenye Game Plan ya Ugenini
Mchezo unaofata Dhidi ya Al Ahly ni Mgumu Zaidi ya Huu waliocheza na CR BELOUZDAD Isipojipanga kisawasawa tutarajie ikienda Kupoteza Mchezo mwingine wa pili
Mimi ni simba ila haya ni maneno ya mkosaji. Tuwe wakqeli, wenzetu jana mpira umetembea. Na hilo ndilo linalotakiwa sio kucheza kama TP mazembe dhidi ya Akina MayeleYanga haina mpira wa kwenda popote Kimataifa. Strikers Musonda na Mzize halafu uende kucheza Champions League. Ngoja akili ziwakae sawa. Wao kumfunga Simba yale magoli ya Kununua wakadhani wameahinda Makundi ya CAF sasa wameanza kukojozwa
Hizo plan za kiufundi au plan za ushabiki oya oya. Kwakuwa ushauri wako umelenga kuwafanya Utopolo waendelee kuchezea za uso sawa Acha Boli butua litembeee.Mimi ni simba ila haya ni maneno ya mkosaji. Tuwe wakqeli, wenzetu jana mpira umetembea. Na hilo ndilo linalotakiwa sio kucheza kama TP mazembe dhidi ya Akina Mayele
Mazembe alijilinda na kuwaogopa wale lakini wakishia kufungwa tu. Wacha boli itembee mzee.
Walicheza vizuri sana boss.Mkuu yanga jana hajacheza vizuri bali waliachiwa wacheze mpira kwa makusudi ya kuwahadaa na mbinu ilifanikiwa.
Boli jana imetembea lakini bro tofauti na leo chama letu litakuja na boli papatu papatu. Boli 5G.Hizo plan za kiufundi au plan za ushabiki oya oya. Kwakuwa ushauri wako umelenga kuwafanya Utopolo waendelee kuchezea za uso sawa Acha Boli butua litembeee.
Utapoteza, nabi hakuwahi kucheza mechi za namna hiyo maana alitolewa hatua za awali na Al hilalMkuu hiki ndicho nilichokiona, Yanga walikosa heshma kwenye hii game. Hawa waarabu ni wazuri ila wanafungika. Jana Yanga alifunguka sana, tungekuwa na nidhamu ya kulinda tungeweza pata hata draw. Timu inashambulia inasahau kujilinda, Yanga kafungwa magoli ya counter karibia yote. Lomalisa anapanda afu anachelewa kurudi, goli mbili zilipita humo.
Kwenye mechi kubwa Yanga wapunguze mbwembwe na wacheze mchezo wa kasi na pasi ndefu.
Kwa timu zinazolingana kiuwezo ni ngumu sana kuwafunga kwa njia hii ya kujenga mashambulizi ya taratibu kuanzia nyuma. Gamond atafute clips aangalie vile Nabi alikuwa anacheza hizi game.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Haijawahi kutafuta sare ugenini kwenye mashindano ambayo hajaingia kwa miaka 25. Msijiamini sana, mambo si mepesi. Unaposikia Simba inatafuta ushindi nyumbani sio kwamba haitaki kushinda ugenini ni kwamba inajua hatari ya kufunguka ugenini sababu inaheshimu wapinzani.Group stage ushindi ndio unaotafutwa ,, idadi ya magoli ni hatua za mtoano.
Yanga haijawahi kutafuta Sare ugenini
Clip za mashindano ya Shirikisho ndo atumie hizo mbinu? Mnasahau kuwa Yanga ni wageni na ndo wanatengeneza uzoefu mpya. Timu ya Yanga ipo vizuri, jana wamecheza vizuri sana ila mashindano haya ni wageni mno..Gamond atafute clips aangalie vile Nabi alikuwa anacheza hizi game.
Mtasema tyuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa mpira wa Jana itoshe kusema tu bahati haikuwa upande wetu
Penalty ipii?Mm naangalia nafas ambazo hazikutumika vizuri.
Na penati tukanyimwa
Ungemalizia na NENOGAMONDI AAMBIWE UKWELI PLAN ZA KLABU BINGWA SIO KAMA UNAENDA KUCHEZA NA DODOMA JIJI.
Yanga ilikosa Heshima Kwa Mpinzani wake CR BELOUZDAD Jinsi ambavyo iliamua kuuendea Mchezo Huu Hali iliyopelekea Kuruhusu Magoli Matatu Kwa Mtungi Ugenini
Hakukuwa na Haja ya Kufunguka Katika Mchezo wa Ugenini Plan Kubwa Ambayo ingetumika Ingekuwa ni Counter Attack na Kuzuia
GAMONDI Aambiwe Ukweli kuwa hii ni Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na Sio Kombe la Shirikisho Wala NBC PREMIER LEAGUE
Ukweli Usemwe Huwezi Kucheza na Cr Belouzdad kama unaenda Kucheza na Dodoma jiji Yanga ilifeli kwenye Game Plan ya Ugenini
Mchezo unaofata Dhidi ya Al Ahly ni Mgumu Zaidi ya Huu waliocheza na CR BELOUZDAD Isipojipanga kisawasawa tutarajie ikienda Kupoteza Mchezo mwingine wa pili
Haya mawazo ni ya kijima ni kama enzi zile tunakua kua etiMm naangalia nafas ambazo hazikutumika vizuri.
Na penati tukanyimwa
GAMONDI AAMBIWE UKWELI PLAN ZA KLABU BINGWA SIO KAMA UNAENDA KUCHEZA NA DODOMA JIJI.
Yanga ilikosa Heshima Kwa Mpinzani wake CR BELOUZDAD Jinsi ambavyo iliamua kuuendea Mchezo Huu Hali iliyopelekea Kuruhusu Magoli Matatu Kwa Mtungi Ugenini
Hakukuwa na Haja ya Kufunguka Katika Mchezo wa Ugenini Plan Kubwa Ambayo ingetumika Ingekuwa ni Counter Attack na Kuzuia
GAMONDI Aambiwe Ukweli kuwa hii ni Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na Sio Kombe la Shirikisho Wala NBC PREMIER LEAGUE
Ukweli Usemwe Huwezi Kucheza na Cr Belouzdad kama unaenda Kucheza na Dodoma jiji Yanga ilifeli kwenye Game Plan ya Ugenini
Mchezo unaofata Dhidi ya Al Ahly ni Mgumu Zaidi ya Huu waliocheza na CR BELOUZDAD Isipojipanga kisawasawa tutarajie ikienda Kupoteza Mchezo mwingine wa pili
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣Wapigwe tu tena ninarudia wapigwe tu hadi wachakae.
Zile kelele sijui tunawataka Mamelod ndio level yetu ziko wapi?.
Karibu rafiki yetu kipenzi National Al Ahly uje uendeleze alipoishia ndugu yetu wa damu Cr Belouizad maana nyie wote ni wekundu wenzetu.
Nyie shukuruni tu. Mana Hilo ndilo linalowafariji kwa sasaHaya mawazo ni ya kijima ni kama enzi zile tunakua kua eti
""CHENGA TWAWALA MAGOLI MWATUFUNGA""
peace & Love
☺️☺️😊😊
Mpira uliangalia haukuona hiyo kes au?Penalty ipii?