Gamondi aambiwe ukweli plan za klabu bingwa sio kama unaenda kucheza na Dodoma jiji

Gamondi aambiwe ukweli plan za klabu bingwa sio kama unaenda kucheza na Dodoma jiji

Yanga haina mpira wa kwenda popote Kimataifa. Strikers Musonda na Mzize halafu uende kucheza Champions League. Ngoja akili ziwakae sawa. Wao kumfunga Simba yale magoli ya Kununua wakadhani wameahinda Makundi ya CAF sasa wameanza kukojozwa
 
GAMONDI AAMBIWE UKWELI PLAN ZA KLABU BINGWA SIO KAMA UNAENDA KUCHEZA NA DODOMA JIJI.

Yanga ilikosa Heshima Kwa Mpinzani wake CR BELOUZDAD Jinsi ambavyo iliamua kuuendea Mchezo Huu Hali iliyopelekea Kuruhusu Magoli Matatu Kwa Mtungi Ugenini

Hakukuwa na Haja ya Kufunguka Katika Mchezo wa Ugenini Plan Kubwa Ambayo ingetumika Ingekuwa ni Counter Attack na Kuzuia

GAMONDI Aambiwe Ukweli kuwa hii ni Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na Sio Kombe la Shirikisho Wala NBC PREMIER LEAGUE

Ukweli Usemwe Huwezi Kucheza na Cr Belouzdad kama unaenda Kucheza na Dodoma jiji Yanga ilifeli kwenye Game Plan ya Ugenini

Mchezo unaofata Dhidi ya Al Ahly ni Mgumu Zaidi ya Huu waliocheza na CR BELOUZDAD Isipojipanga kisawasawa tutarajie ikienda Kupoteza Mchezo mwingine wa pili
Al Ahly hatoki hapa Dar. Iwe mvua iwe jua. Yanga ni timu nzuri tofauti na timu yangu ya Simba.
 
Yanga haina mpira wa kwenda popote Kimataifa. Strikers Musonda na Mzize halafu uende kucheza Champions League. Ngoja akili ziwakae sawa. Wao kumfunga Simba yale magoli ya Kununua wakadhani wameahinda Makundi ya CAF sasa wameanza kukojozwa
Mimi ni simba ila haya ni maneno ya mkosaji. Tuwe wakqeli, wenzetu jana mpira umetembea. Na hilo ndilo linalotakiwa sio kucheza kama TP mazembe dhidi ya Akina Mayele
Mazembe alijilinda na kuwaogopa wale lakini wakishia kufungwa tu. Wacha boli itembee mzee.
 
Mimi ni simba ila haya ni maneno ya mkosaji. Tuwe wakqeli, wenzetu jana mpira umetembea. Na hilo ndilo linalotakiwa sio kucheza kama TP mazembe dhidi ya Akina Mayele
Mazembe alijilinda na kuwaogopa wale lakini wakishia kufungwa tu. Wacha boli itembee mzee.
Hizo plan za kiufundi au plan za ushabiki oya oya. Kwakuwa ushauri wako umelenga kuwafanya Utopolo waendelee kuchezea za uso sawa Acha Boli butua litembeee.
 
Hizo plan za kiufundi au plan za ushabiki oya oya. Kwakuwa ushauri wako umelenga kuwafanya Utopolo waendelee kuchezea za uso sawa Acha Boli butua litembeee.
Boli jana imetembea lakini bro tofauti na leo chama letu litakuja na boli papatu papatu. Boli 5G.
 
Mkuu hiki ndicho nilichokiona, Yanga walikosa heshma kwenye hii game. Hawa waarabu ni wazuri ila wanafungika. Jana Yanga alifunguka sana, tungekuwa na nidhamu ya kulinda tungeweza pata hata draw. Timu inashambulia inasahau kujilinda, Yanga kafungwa magoli ya counter karibia yote. Lomalisa anapanda afu anachelewa kurudi, goli mbili zilipita humo.
Kwenye mechi kubwa Yanga wapunguze mbwembwe na wacheze mchezo wa kasi na pasi ndefu.
Kwa timu zinazolingana kiuwezo ni ngumu sana kuwafunga kwa njia hii ya kujenga mashambulizi ya taratibu kuanzia nyuma. Gamond atafute clips aangalie vile Nabi alikuwa anacheza hizi game.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Utapoteza, nabi hakuwahi kucheza mechi za namna hiyo maana alitolewa hatua za awali na Al hilal
 
Group stage ushindi ndio unaotafutwa ,, idadi ya magoli ni hatua za mtoano.

Yanga haijawahi kutafuta Sare ugenini
Haijawahi kutafuta sare ugenini kwenye mashindano ambayo hajaingia kwa miaka 25. Msijiamini sana, mambo si mepesi. Unaposikia Simba inatafuta ushindi nyumbani sio kwamba haitaki kushinda ugenini ni kwamba inajua hatari ya kufunguka ugenini sababu inaheshimu wapinzani.
 
.Gamond atafute clips aangalie vile Nabi alikuwa anacheza hizi game.
Clip za mashindano ya Shirikisho ndo atumie hizo mbinu? Mnasahau kuwa Yanga ni wageni na ndo wanatengeneza uzoefu mpya. Timu ya Yanga ipo vizuri, jana wamecheza vizuri sana ila mashindano haya ni wageni mno.
 
GAMONDI AAMBIWE UKWELI PLAN ZA KLABU BINGWA SIO KAMA UNAENDA KUCHEZA NA DODOMA JIJI.

Yanga ilikosa Heshima Kwa Mpinzani wake CR BELOUZDAD Jinsi ambavyo iliamua kuuendea Mchezo Huu Hali iliyopelekea Kuruhusu Magoli Matatu Kwa Mtungi Ugenini

Hakukuwa na Haja ya Kufunguka Katika Mchezo wa Ugenini Plan Kubwa Ambayo ingetumika Ingekuwa ni Counter Attack na Kuzuia

GAMONDI Aambiwe Ukweli kuwa hii ni Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na Sio Kombe la Shirikisho Wala NBC PREMIER LEAGUE

Ukweli Usemwe Huwezi Kucheza na Cr Belouzdad kama unaenda Kucheza na Dodoma jiji Yanga ilifeli kwenye Game Plan ya Ugenini

Mchezo unaofata Dhidi ya Al Ahly ni Mgumu Zaidi ya Huu waliocheza na CR BELOUZDAD Isipojipanga kisawasawa tutarajie ikienda Kupoteza Mchezo mwingine wa pili
Ungemalizia na NENO

Wasalaam,
😊😊☺️☺️
 
GAMONDI AAMBIWE UKWELI PLAN ZA KLABU BINGWA SIO KAMA UNAENDA KUCHEZA NA DODOMA JIJI.

Yanga ilikosa Heshima Kwa Mpinzani wake CR BELOUZDAD Jinsi ambavyo iliamua kuuendea Mchezo Huu Hali iliyopelekea Kuruhusu Magoli Matatu Kwa Mtungi Ugenini

Hakukuwa na Haja ya Kufunguka Katika Mchezo wa Ugenini Plan Kubwa Ambayo ingetumika Ingekuwa ni Counter Attack na Kuzuia

GAMONDI Aambiwe Ukweli kuwa hii ni Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na Sio Kombe la Shirikisho Wala NBC PREMIER LEAGUE

Ukweli Usemwe Huwezi Kucheza na Cr Belouzdad kama unaenda Kucheza na Dodoma jiji Yanga ilifeli kwenye Game Plan ya Ugenini

Mchezo unaofata Dhidi ya Al Ahly ni Mgumu Zaidi ya Huu waliocheza na CR BELOUZDAD Isipojipanga kisawasawa tutarajie ikienda Kupoteza Mchezo mwingine wa pili
IMG_8795.jpeg
 
Wapigwe tu tena ninarudia wapigwe tu hadi wachakae.

Zile kelele sijui tunawataka Mamelod ndio level yetu ziko wapi?.

Karibu rafiki yetu kipenzi National Al Ahly uje uendeleze alipoishia ndugu yetu wa damu Cr Belouizad maana nyie wote ni wekundu wenzetu.
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
 
Eti ohh yanga Kila mchezaji anafunga hatuhitaji namba tisa waliopo wanamaliza
Eti yule mzambia na mzizeee 😂😂😂
Bado hamjazema mpaka mzeeemeee
 
Back
Top Bottom