Gamondi aambiwe ukweli plan za klabu bingwa sio kama unaenda kucheza na Dodoma jiji

Gamondi aambiwe ukweli plan za klabu bingwa sio kama unaenda kucheza na Dodoma jiji

GAMONDI AAMBIWE UKWELI PLAN ZA KLABU BINGWA SIO KAMA UNAENDA KUCHEZA NA DODOMA JIJI.

Yanga ilikosa Heshima Kwa Mpinzani wake CR BELOUZDAD Jinsi ambavyo iliamua kuuendea Mchezo Huu Hali iliyopelekea Kuruhusu Magoli Matatu Kwa Mtungi Ugenini

Hakukuwa na Haja ya Kufunguka Katika Mchezo wa Ugenini Plan Kubwa Ambayo ingetumika Ingekuwa ni Counter Attack na Kuzuia

GAMONDI Aambiwe Ukweli kuwa hii ni Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na Sio Kombe la Shirikisho Wala NBC PREMIER LEAGUE

Ukweli Usemwe Huwezi Kucheza na Cr Belouzdad kama unaenda Kucheza na Dodoma jiji Yanga ilifeli kwenye Game Plan ya Ugenini

Mchezo unaofata Dhidi ya Al Ahly ni Mgumu Zaidi ya Huu waliocheza na CR BELOUZDAD Isipojipanga kisawasawa tutarajie ikienda Kupoteza Mchezo mwingine wa pili

Yaani bado hamjasema,subiri tar 2
 
Mm naangalia nafas ambazo hazikutumika vizuri.
Na penati tukanyimwa
Kupoteza nafasi ni sehemu ya mchezo huwezi kitumia kila nafasi unayo ipata maana hata waarabu walipata nafasi nyingi ambazo na wao wangezitumia vizuri magoli yangekuwa mengi zaidi.

Waarabu walicho kifanya walicheza na saikolojia ya wachezaji wa yanga kwa kuwaachia mpira wacheze ili waaminishe kuwa wao ni dhahifu.
 
GAMONDI AAMBIWE UKWELI PLAN ZA KLABU BINGWA SIO KAMA UNAENDA KUCHEZA NA DODOMA JIJI.

Yanga ilikosa Heshima Kwa Mpinzani wake CR BELOUZDAD Jinsi ambavyo iliamua kuuendea Mchezo Huu Hali iliyopelekea Kuruhusu Magoli Matatu Kwa Mtungi Ugenini

Hakukuwa na Haja ya Kufunguka Katika Mchezo wa Ugenini Plan Kubwa Ambayo ingetumika Ingekuwa ni Counter Attack na Kuzuia

GAMONDI Aambiwe Ukweli kuwa hii ni Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na Sio Kombe la Shirikisho Wala NBC PREMIER LEAGUE

Ukweli Usemwe Huwezi Kucheza na Cr Belouzdad kama unaenda Kucheza na Dodoma jiji Yanga ilifeli kwenye Game Plan ya Ugenini

Mchezo unaofata Dhidi ya Al Ahly ni Mgumu Zaidi ya Huu waliocheza na CR BELOUZDAD Isipojipanga kisawasawa tutarajie ikienda Kupoteza Mchezo mwingine wa pili
Hapo umemkosea heshima huyo kocha.

Fuatilia cv yake. Kwshaifundisha hata CRB kama sikosei.

Kimataifa ana uzoefu kuliko timu ya Yanga kama unaelewa nachosema.
 
Halooo
IMG-20231125-WA0002.jpg
 
Kupoteza nafasi ni sehemu ya mchezo huwezi kitumia kila nafasi unayo ipata maana hata waarabu walipata nafasi nyingi ambazo na wao wangezitumia vizuri magoli yangekuwa mengi zaidi.

Waarabu walicho kifanya walicheza na saikolojia ya wachezaji wa yanga kwa kuwaachia mpira wacheze ili waaminishe kuwa wao ni dhahifu.
Au sio?. Saikolojia wakati walipigiwa mbungi laivu. Wale walipoteana mkuu. Nasema kuhus nafas mana tulitengeneza nafas nyingi zaidi Yao. Mm sioni haja ya kutoa kila neno hapa mana wewe umejiandaa kulenga matokeo zaidi. Ndo mana kila hoja lazima ilenge matokeo ya jumla.

Oke, na ukijichanbganya Tena tunakupiga Tena zilezile, palepale kwa nkapa
 
Hapo umemkosea heshima huyo kocha.

Fuatilia cv yake. Kwshaifundisha hata CRB kama sikosei.

Kimataifa ana uzoefu kuliko timu ya Yanga kama unaelewa nachosema.
Ata national al haly wenyewe ugenini awawezi cheza vile yani unafunguka mpaka ma gap yanaonekana..kingine yanga aina forward wa kuweza kuisaidia timu kimataifa
 
Mm naangalia nafas ambazo hazikutumika vizuri.
Na penati tukanyimwa
Penati hazitolewi kirahisi namna ile weewe. Halafu uliona ule mpira alipiga mchezaji wa Yanga ukawa unaelekea kwa mchezaji wa CRB ukamgonga refa, halafu refa akawapa Yanga?
 
Penati hazitolewi kirahisi namna ile weewe. Halafu uliona ule mpira alipiga mchezaji wa Yanga ukawa unaelekea kwa mchezaji wa CRB ukamgonga refa, halafu refa akawapa Yanga?
Ile tafsiri yake ni kwamba kaharibu direction ya pasi ya mchezaj wa yangaz whether ingempata yanga mweznie au ingetoka. Una hakika gan kama hiyo mchezaji Ea CRB angeicontrol vizur
 
Mkuu haya mashindano yanahitaji akili kuliko mbwembwe, unakumbuka kilicho mkuta Simba alipo jitia kucheza haya mashindano kwa pila biliani?
Kweli mkuu
 
Ile tafsiri yake ni kwamba kaharibu direction ya pasi ya mchezaj wa yangaz whether ingempata yanga mweznie au ingetoka. Una hakika gan kama hiyo mchezaji Ea CRB angeicontrol vizur
Aiseee. Yaani umeenda mbali hadi kuhoji kama angecontrol vizuri 🤣😂🤣

Refa hakuharibu direction ya mpira bali aliublock mpira uliokuwa unamkaribia mchezaji wa CRB na hakukuwa na mchezaji wa Yanga karibu. Kwenye hali kama zile refa hatakiwi kuangalia mpira umetoka kwa nani bali ulikuwa unakwenda kwa nani.

Kama umeshindwa kuwa mkweli kwenye hilo tutawezaji kuamini uko mkweli kwenye mengine?
 
Au sio?. Saikolojia wakati walipigiwa mbungi laivu. Wale walipoteana mkuu. Nasema kuhus nafas mana tulitengeneza nafas nyingi zaidi Yao. Mm sioni haja ya kutoa kila neno hapa mana wewe umejiandaa kulenga matokeo zaidi. Ndo mana kila hoja lazima ilenge matokeo ya jumla.

Oke, na ukijichanbganya Tena tunakupiga Tena zilezile, palepale kwa nkapa
Timu iliyo poteana ufunge mabao 3 alafu ww uliye wapoteza utoke kapa.

Acha ubishi mkuu yanga ikiendelea kucheza mchezo wa aina hii wataendelea kuambulia vipigo.
Haya mashindano yanahitaji akili na timeng na sio mbwembwe.
 
Timu iliyo poteana ufunge mabao 3 alafu ww uliye wapoteza utoke kapa.

Acha ubishi mkuu yanga ikiendelea kucheza mchezo wa aina hii wataendelea kuambulia vipigo.
Haya mashindano yanahitaji akili na timeng na sio mbwembwe.
Dua lako liwe lingi saaaasa. Maba yanga ikishinda uarabuni wanaumia watanzania Tandale
 
Mkuu hiki ndicho nilichokiona, Yanga walikosa heshma kwenye hii game. Hawa waarabu ni wazuri ila wanafungika. Jana Yanga alifunguka sana, tungekuwa na nidhamu ya kulinda tungeweza pata hata draw. Timu inashambulia inasahau kujilinda, Yanga kafungwa magoli ya counter karibia yote. Lomalisa anapanda afu anachelewa kurudi, goli mbili zilipita humo.
Kwenye mechi kubwa Yanga wapunguze mbwembwe na wacheze mchezo wa kasi na pasi ndefu.
Kwa timu zinazolingana kiuwezo ni ngumu sana kuwafunga kwa njia hii ya kujenga mashambulizi ya taratibu kuanzia nyuma. Gamond atafute clips aangalie vile Nabi alikuwa anacheza hizi game.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app

Mimi ni shabiki wa simba ila game ya jana mtani kweli kajisahau kaiisi anacheza na simba hii butu,, japo wale jamaa nao ni wazuri yani walikamata wale wachezaji wenu wote ambao ni tishio na shughuli ikaishia hapo!!!

Bado yanga hana uzoefu na hii club bingwa muwache mbwembwe!!!

Na sub ilitakiwa kufanyika niya musonda mudathir pale kati alipaweza..... all in all hii ndo football mrudi mjipange na huyu muhuni al ahly!!!! Hongereni kila mtu ashinde nyumbani kwake
 
Back
Top Bottom