Gamondi aambiwe ukweli plan za klabu bingwa sio kama unaenda kucheza na Dodoma jiji

Mimi sijawahi kusikia timu ambayo haitaki kumiliki mpira
 
Hapana bhana Yanga Ni timu bora kuliko zote Africa na haifungiki. Unashindwa mahali popote.
 
Kwanini mnawshtua? Hawajui wanacheza mashindano ya klabu bingwa. Wanafikiri huku Kuna Club Africain, na Zalan.
 
Yanga haina mpira wa kwenda popote Kimataifa. Strikers Musonda na Mzize halafu uende kucheza Champions League. Ngoja akili ziwakae sawa. Wao kumfunga Simba yale magoli ya Kununua wakadhani wameahinda Makundi ya CAF sasa wameanza kukojozwa
Unaonaje huo ushauri mkautymia huko shirikisho?
 
Eti ohh yanga Kila mchezaji anafunga hatuhitaji namba tisa waliopo wanamaliza
Eti yule mzambia na mzizeee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Bado hamjazema mpaka mzeeemeee
Semeni sasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…