Gamondi ameondolewa kutokana na sababu muhimu, matokeo ya uwanjani ilikuwa ni nyongeza tu ya kumnyoa!

Akili zimeanza kuwarudia kwa vipindi kama homa. Siku chache zilizopita mlikuwa mnamuunga mkono.Leo mnamkataa.Unafiki haujawahi kumuacha mtu bila kumuabisha.
Akili gani ww
Mimi sichambui unafiki fatilia tangu watu wameanza kuisema Yanga inashinda kwa tabu zile mechi 3 za mwanzoni nilishaitoa hoja hii mimi sio shabiki Oya oya na hilo bado sio tatizo timu lazima ipitie mabadiliko mkuu timu yoyote ile
 
Hayo mnaona nyinyi mashabiki wa Msimbazi na watu wameshaanza nyuzi za kumponda Hersi
Hersi yupo sana hata ukimpaka matope ndugu zangu na sajili zitaendelea
Angalia vizuri na fuatilia kwa umakini comments kwenye uzi wa taarifa ya kufukuzwa kocha wenu.

Utabaini kuwa wanaomtukana Hersi asilimia kubwa ni mashabiki wenzako wa Yanga.

Hata ambao hawajathubutu kumtukana bado hawajafurahishwa na aina hii ya maamuzi ambayo yeye kama Raisi wa Club ndio ame play part kubwa kuhusika.
 
Reactions: Tui
Wamechukulia kimhemko
Kwenye mpira skuizi mashabiki ni oya oya sana! Hawataki mabadiliko kabisa!
 
Maamuzi yaliyotolewa na uongozi wenu ndio yamefanyika kimhemko
Kimhemko kivipi?
Watu wanafanya tathimini juu ya mwenendo wa timu, tabia ya kocha na mambo mengine mengi. Hakuna shabiki wa Simba anayependa mambo yawe mazuri kwa jirani yake. Ukiona kitu kinawapa mapovu sana ujue hamjakipenda na mmeona kina madhara upande wenu. Mlitamani abakie Gamondi ili kusuasua kwa timu kuendelea
 
Mwenendo wa timu unasababishwa na vitu vingi ikiwemo wachezaji.

Wachezaji wamezidisha starehe sana kwasababu ya kujuana na boss wenu anakuwa hamuogopi kocha.
 
Vipi kuhusu zile sindano?
 
Sasa akiondoka iyo faini italipwaje?
 
Asante muitimu wa madrasa, uchambuzi umeujua sasa jifunze kuandika ukitumia "h".
 
Reactions: Tui
Mwenendo wa timu unasababishwa na vitu vingi ikiwemo wachezaji.

Wachezaji wamezidisha starehe sana kwasababu ya kujuana na boss wenu anakuwa hamuogopi kocha.
Nyie bwana akuna kitu mnaweza kuishauri yanga zaidi ya unafiki tu, Ni sahihi kabisa kuondoshwa kwa kocha alikuwa na makandokando mengi ndio yamemuondoa ivyo basi gurudumu linasonga mbele!
 
Yani mpaka wasemeèee..bado hawajasema
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
 
Kama mtaani kwako hakuna anaeshikilia nafasi ya uchizi basi nakuomba ichukue hiyo nafasi
 
Kipigo cha tabora ndiyo sababu pekee
 
Ungeongezea wazechaji wote anaowatumia ni esabu za Nabi yy kaka miaka2 atujaona tuleo lake Nabi tumeona Mzize Baka Job Kibabaje sasa gamond sijaona kamtengeneza nani yupo yupo tu tungi sana asepe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…