Gamondi ameondolewa kutokana na sababu muhimu, matokeo ya uwanjani ilikuwa ni nyongeza tu ya kumnyoa!

Gamondi ameondolewa kutokana na sababu muhimu, matokeo ya uwanjani ilikuwa ni nyongeza tu ya kumnyoa!

Mwenendo wa timu unasababishwa na vitu vingi ikiwemo wachezaji.

Wachezaji wamezidisha starehe sana kwasababu ya kujuana na boss wenu anakuwa hamuogopi kocha.
Tukiangalia kwa undani, Gamondi ndiyo factor moja wapo katika hili.
Kwanza aliwajaza wachezaji vichwa kuwa ni wachezaji bora kuliko wachezaji wote.
Pili aliamini yeye ndiye kocha bora na anayejua kuliko wote na hata ukimsikiliza kwenye press zake unaona kabisa anaona Yanga kama vile ni Barcelona. Hiyo yote hufanya wachezaji kuridhika na kukosa nidhamu.
 
Tukiangalia kwa undani, Gamondi ndiyo factor moja wapo katika hili.
Kwanza aliwajaza wachezaji vichwa kuwa ni wachezaji bora kuliko wachezaji wote.
Pili aliamini yeye ndiye kocha bora na anayejua kuliko wote na hata ukimsikiliza kwenye press zake unaona kabisa anaona Yanga kama vile ni Barcelona. Hiyo yote hufanya wachezaji kuridhika na kukosa nidhamu.
Hili sioni uhalisia wake

Ni mara kadhaa tumemsikia Gamondi akipingana na zile ishu za kuipa mechi jina la mchezaji kwa fact kuwa inawapa ukubwa ambao unaweza kuleta ulegevu.

Alisema pia hao wachezaji wengine ambao hawajapewa hizo mechi majina yao hawata feel vizuri kwasababu watajiona wao ni inferior dhidi ya hao wengine
 
kashaajiriwa Azam huko anaendesha boti ya saa kumi🤣🤣
1000277940.jpg
 
Kipigo cha tabora ndiyo sababu pekee
Kipigo icho kinaweza kuwa sababu kwa mbumbumbu lakini kwa waliofanya tathmini ya uhakika kaondolewa kwa sababu izo nilizozitaja
 
Kuna wengi wasiojua kiini kikuu kilichofanya gamond aondolewe na kufungashiwa virago, wengi wao wanadhani sababu kuu ni kufungwa na Azam na Tabora united, icho kitu akikuwa kipaumbele kwenye tathmini ya viongozi kwakuwa Mpira unayo matokeo matatu,,lakini kwa mujibu wa source ya ndani kabisa yafuatayo yamemuondoa gamond;

1) Ubaguzi wa

wachezaji,,Gamond alikuwa ana tabia ya kuwabagua wachezaji wale ambao alikuwa anaona awataki kwenye timu, jambo ambalo lilitengeneza mpasuko kwa wachezaji wenyewe, mfano mdogo ni kutopangwa kwa kibwana shomari wakati Yuko fit na badala yake akawa anatumia Denis nkane ambae ni winga, jambo ilo lilileta taharuki ata aliposhauriwa akutaka kumsikiliza mtu yoyote!

2) Alikuwa ashauriki,,kwenye eneo hili alikuwa aambiliki bali alikuwa na msimamo wake usioyumbishwa, daktari wa timu aliwai kumshauri juu ya kiwango cha Aziz ki wakamuomba ampumzishe kwakuwa anaonekana kashuka sana kiwango inawezekana labda ni uchovu unamuandama baada ya kutumika sana kwa misimu miwili Kila mechi lakini gamond aliziba pamba masikioni akawa anamng'ang'ania wakati anao wachezaji wengine wanaweza kucheza iyo nafasi vizuri tu kama duke abuya!

3) Mifumo yake kutobadilika,,katika hili lilikuwa linaonekana dhahiri shahiri kwamba makocha wengi walishamsoma aina ya mifumo anayotumia na alikuwa awezi kubadilika kulingana na mazingira, ndio maana timu nyingi zilikuwa zikipaki bus biashara inakuwa ngumu kwa Gamond kupata matokeo kitu kilichopelekea timu kupata ushindi wa kusuasua kwa mda mrefu!

4) Matokeo ya Azam na Tabora united,,,yale matokeo yalikuwa ni kama kuongeza petroli kwenye moto unaowaka, yaliongeza kasi ya kuondolewa kwa gamond na katu asingetoboa kwa maana tiyali viongozi walishamuweka kwenye tathmini ya kina juu ya mwenendo wake kiujumla!

5) Kupoteza uwezo wa kusimamia nidhamu ndani ya timu,,jambo hili lilikuwa linaonekana ata kwake yeye Gamond alikuwa anagombana ovyo mara na waamuzi mara na viongozi wa timu pinzani kitu ambacho kilienda mpaka kwa wachezaji ambao walikuwa wameanza kutoheshimu nidhamu kwenye benchi la ufundi na mpaka jana kspigwa faini ya milioni 2 na kukosa michezo 3 kwa kosa la kumpiga ngumi msaidizi wa singida black star!

Kiufupi mambo hayo yamemuondoa gamond na tunamtakia Kila la kheri uko aendako!
Yaani miaka yote mnamuimba leo mnaleta malalamiko kama ameanza kazi jana.
 
Kuna wengi wasiojua kiini kikuu kilichofanya gamond aondolewe na kufungashiwa virago, wengi wao wanadhani sababu kuu ni kufungwa na Azam na Tabora united, icho kitu akikuwa kipaumbele kwenye tathmini ya viongozi kwakuwa Mpira unayo matokeo matatu,,lakini kwa mujibu wa source ya ndani kabisa yafuatayo yamemuondoa gamond;

1) Ubaguzi wa

wachezaji,,Gamond alikuwa ana tabia ya kuwabagua wachezaji wale ambao alikuwa anaona awataki kwenye timu, jambo ambalo lilitengeneza mpasuko kwa wachezaji wenyewe, mfano mdogo ni kutopangwa kwa kibwana shomari wakati Yuko fit na badala yake akawa anatumia Denis nkane ambae ni winga, jambo ilo lilileta taharuki ata aliposhauriwa akutaka kumsikiliza mtu yoyote!

2) Alikuwa ashauriki,,kwenye eneo hili alikuwa aambiliki bali alikuwa na msimamo wake usioyumbishwa, daktari wa timu aliwai kumshauri juu ya kiwango cha Aziz ki wakamuomba ampumzishe kwakuwa anaonekana kashuka sana kiwango inawezekana labda ni uchovu unamuandama baada ya kutumika sana kwa misimu miwili Kila mechi lakini gamond aliziba pamba masikioni akawa anamng'ang'ania wakati anao wachezaji wengine wanaweza kucheza iyo nafasi vizuri tu kama duke abuya!

3) Mifumo yake kutobadilika,,katika hili lilikuwa linaonekana dhahiri shahiri kwamba makocha wengi walishamsoma aina ya mifumo anayotumia na alikuwa awezi kubadilika kulingana na mazingira, ndio maana timu nyingi zilikuwa zikipaki bus biashara inakuwa ngumu kwa Gamond kupata matokeo kitu kilichopelekea timu kupata ushindi wa kusuasua kwa mda mrefu!

4) Matokeo ya Azam na Tabora united,,,yale matokeo yalikuwa ni kama kuongeza petroli kwenye moto unaowaka, yaliongeza kasi ya kuondolewa kwa gamond na katu asingetoboa kwa maana tiyali viongozi walishamuweka kwenye tathmini ya kina juu ya mwenendo wake kiujumla!

5) Kupoteza uwezo wa kusimamia nidhamu ndani ya timu,,jambo hili lilikuwa linaonekana ata kwake yeye Gamond alikuwa anagombana ovyo mara na waamuzi mara na viongozi wa timu pinzani kitu ambacho kilienda mpaka kwa wachezaji ambao walikuwa wameanza kutoheshimu nidhamu kwenye benchi la ufundi na mpaka jana kspigwa faini ya milioni 2 na kukosa michezo 3 kwa kosa la kumpiga ngumi msaidizi wa singida black star!

Kiufupi mambo hayo yamemuondoa gamond na tunamtakia Kila la kheri uko aendako!
Sababu nyingine ni kuwatongoza wachezaji wa yanga, wale wanaokataa huwatupa benchi wanaompa hata kama wanaumwa huwapa nafasi, mfano chama, kibwana nk.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC. View attachment 3153061
Zezeta naona unajifariji
 
Kuna wengi wasiojua kiini kikuu kilichofanya gamond aondolewe na kufungashiwa virago, wengi wao wanadhani sababu kuu ni kufungwa na Azam na Tabora united, icho kitu akikuwa kipaumbele kwenye tathmini ya viongozi kwakuwa Mpira unayo matokeo matatu,,lakini kwa mujibu wa source ya ndani kabisa yafuatayo yamemuondoa gamond;

1) Ubaguzi wa

wachezaji,,Gamond alikuwa ana tabia ya kuwabagua wachezaji wale ambao alikuwa anaona awataki kwenye timu, jambo ambalo lilitengeneza mpasuko kwa wachezaji wenyewe, mfano mdogo ni kutopangwa kwa kibwana shomari wakati Yuko fit na badala yake akawa anatumia Denis nkane ambae ni winga, jambo ilo lilileta taharuki ata aliposhauriwa akutaka kumsikiliza mtu yoyote!

2) Alikuwa ashauriki,,kwenye eneo hili alikuwa aambiliki bali alikuwa na msimamo wake usioyumbishwa, daktari wa timu aliwai kumshauri juu ya kiwango cha Aziz ki wakamuomba ampumzishe kwakuwa anaonekana kashuka sana kiwango inawezekana labda ni uchovu unamuandama baada ya kutumika sana kwa misimu miwili Kila mechi lakini gamond aliziba pamba masikioni akawa anamng'ang'ania wakati anao wachezaji wengine wanaweza kucheza iyo nafasi vizuri tu kama duke abuya!

3) Mifumo yake kutobadilika,,katika hili lilikuwa linaonekana dhahiri shahiri kwamba makocha wengi walishamsoma aina ya mifumo anayotumia na alikuwa awezi kubadilika kulingana na mazingira, ndio maana timu nyingi zilikuwa zikipaki bus biashara inakuwa ngumu kwa Gamond kupata matokeo kitu kilichopelekea timu kupata ushindi wa kusuasua kwa mda mrefu!

4) Matokeo ya Azam na Tabora united,,,yale matokeo yalikuwa ni kama kuongeza petroli kwenye moto unaowaka, yaliongeza kasi ya kuondolewa kwa gamond na katu asingetoboa kwa maana tiyali viongozi walishamuweka kwenye tathmini ya kina juu ya mwenendo wake kiujumla!

5) Kupoteza uwezo wa kusimamia nidhamu ndani ya timu,,jambo hili lilikuwa linaonekana ata kwake yeye Gamond alikuwa anagombana ovyo mara na waamuzi mara na viongozi wa timu pinzani kitu ambacho kilienda mpaka kwa wachezaji ambao walikuwa wameanza kutoheshimu nidhamu kwenye benchi la ufundi na mpaka jana kspigwa faini ya milioni 2 na kukosa michezo 3 kwa kosa la kumpiga ngumi msaidizi wa singida black star!

Kiufupi mambo hayo yamemuondoa gamond na tunamtakia Kila la kheri uko aendako!
Sababu nyingine na ya msingi ni yeye Gamond kukataa viongozi wasinunue mechi na madawa/sindano za kusisimua misuli kwa wachezaji hasa pale timu inaposhambuliwa kwa sababu kocha alikataa hayo yote kwa sababu yanadhoofisha vipaji vya wachezaji
 
Sababu nyingine na ya msingi ni yeye Gamond kukataa viongozi wasinunue mechi na madawa/sindano za kusisimua misuli kwa wachezaji hasa pale timu inaposhambuliwa kwa sababu kocha alikataa hayo yote kwa sababu yanadhoofisha vipaji vya wachezaji
Rage akukosea alikuwa sahihi kuelezea mashabiki na wanachama wa timu yake walivyo weupe vichwani
 
Kocha mpya wa Yanga katoka TX Galaxy ya South Africa. TIMU ya 16 na ndio inayoburuza mkia kwenye ligi ya South Africa.
 
Kama mtaani kwako hakuna anaeshikilia nafasi ya uchizi basi nakuomba ichukue hiyo nafasi
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
JamiiForums-31645776.jpeg
 
Zezeta naona unajifariji
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
JamiiForums-31645776.jpeg
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC. View attachment 3153373
Halafu hili ni tatizo, kuna mahala haupo sawa
 
Halafu hili ni tatizo, kuna mahala haupo sawa
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC.
JamiiForums1683832807.jpeg
 
Back
Top Bottom