Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah sisi lazima tuseme na yetu...Achana na hyo ya zamani kipindi hicho hakuna sheria za offside
Nimemuuliza maana alivyomjibu mwanaume mwenzie pale juu sio vzr..[emoji23][emoji23] swali Gani hilo
Walikuwepo ni Kama wale wapaka bleach walivyokuwepo wakati mnara 5G unasimikwa pale kwa mkapaHivi wakat Ihefu anatulala
Hawa wachezaji hawakuwepo
Unataka kunipa?Ww unapenda matako?
Jibu swali...Unataka kunipa?
Kikowapi!Kocha Mkuu wa Young Africans Sports Club , Miguel Gamondi ameamua kuwaita nyota wake wa kikosi cha kwanza aliokuwa amewapa mapumziko mafupi akiwamo Khalid Aucho, Pacome Zouzoua na Yao Kouassi ili kuongeza nguvu katika Kikosi Kuelekea mchezo wa mtoano wa Mapinduzi cup.
Binafsi nimeshangaa maana tuliaminishwa yanga anatumia kikosi bNaona kuna baadhi ya watu wamenuna baada tu ya kusikia hii taarifa.
Jibu swali, unataka kunipa?Jibu swali...
[emoji1][emoji1]mkuu naona umeshindwa kuvumiliaWaliwalala wewe na nani? Kama wewe ni kijana wa kiume, basi unatakiwa ujitafakari sana. Maana sisi baba zako enzi tukiwa watoto kama nyinyi, mifano ya kike kama hii ilikuwa haipo.
Kumbe Ihefu alikulalaHivi wakat Ihefu anatulala
Hawa wachezaji hawakuwepo
Kuna watu watajifungisha makusudically ili wasikutane na PIRA GAMONDI.huwezi amini kuna watu wameumia sana hii habari