Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Juzi tu hapa Nkane , Mdathir , Sureboy , Farid Mussa , Moloko , Kibwana , Walikuwa ni wachezaji hatari sana hata kama walikuwa wanatokea Sub , ukianza kuhesabu magoal ya ushindi au perfomnce zao bora hapa hutoacha kukumbuka
Nkane aliipatia Yanga goli la kuwapa Taji la ASFC 2021/22 , baada ya ku-level Score board 3-3 kisha mikwaju ya penalty ikaamua , Bado Nkane aliendelea kupata nafasi kwenye Kikosi cha Nabi na alikuwa anafanya vyema sana
Mdathir , Aliwapatia Yanga goal la Kuongoza dhidi ya Tp Mazembe CAFCC , na lile goli lilichukua goli bora la group stage CAFCC , bado alikuwa na kiwango bora sana majuzi juzi
Sureboy , Master , Atakumbwa kwa kiwango kizuri alichokionesha kwenye mchezo wa kufuzu Group stage dhidi ya Club African , ugenini lakini mwamba ile match aliwaka sana na bado alikuwa ni mchezaji mzuri sana
Farid Musa 🙌 Baller anayecheza namba nyingi pale Yanga , Beki wa kushoto , Winger wa kushoto , Middle aliwahi kuwapatia points 3 mhimu Yanga dhidi ya Tp Mazembe ugenini
Moloko , Moja ya winger nzuri kabisa na hatari sana , aliwahi kuwafungia goal la pili Yanga kwenye mchezo dhidi ya Real Bamako kwa mkapa
Kibwana Shomary , Si kulia si kushoto kote kote mdogo wangu anakaba na anashambulia ni kweli kazini kwake kuna kazi ila naye ni mzuri matches dhidi ya Dodoma Jiji , matches dhidi ya Al Merrikh ushashinda tayari na umefuzu naye anastahili kucheza
Ukiifuatilia Yanga , ilikuwa ni team ambayo kila mchezaji alikuwa ni hatari kulingana na Sub aliyokuwa anafanyiwa , lakini Yanga ya sasa et hawapati nafasi kinachoendelea ni niniii ? team ya taifa itarudi kule kule tulipo toka hakuna wachezaji wapya watakao itwa maana kibwana sasa hawezi kuitwa maana sub kila match
Coach wa Yanga ajitathmini na pengine anaweza asifike X-mas au hata mwaka mpya , mwenendo wa Kikosi cha Yanga sasa unafanya Pacome aje achoke sana ,
Japo ni coach wenu siwapangii majukumu ila huyu coach atatuulia vipaji vya hawa madogo ni vyema akasepa mapema , utaniambia nini nikuelewe kwamba Farid Musa hana kiwango cha kumpokea Max dakika za jioni ?
Tatizo hili COACH CHOYOOO SANA , Yanga ya msimu huu inaweza kuwa ndiyo Yanga nzuri kuishuhudia
@saniti
Nkane aliipatia Yanga goli la kuwapa Taji la ASFC 2021/22 , baada ya ku-level Score board 3-3 kisha mikwaju ya penalty ikaamua , Bado Nkane aliendelea kupata nafasi kwenye Kikosi cha Nabi na alikuwa anafanya vyema sana
Mdathir , Aliwapatia Yanga goal la Kuongoza dhidi ya Tp Mazembe CAFCC , na lile goli lilichukua goli bora la group stage CAFCC , bado alikuwa na kiwango bora sana majuzi juzi
Sureboy , Master , Atakumbwa kwa kiwango kizuri alichokionesha kwenye mchezo wa kufuzu Group stage dhidi ya Club African , ugenini lakini mwamba ile match aliwaka sana na bado alikuwa ni mchezaji mzuri sana
Farid Musa 🙌 Baller anayecheza namba nyingi pale Yanga , Beki wa kushoto , Winger wa kushoto , Middle aliwahi kuwapatia points 3 mhimu Yanga dhidi ya Tp Mazembe ugenini
Moloko , Moja ya winger nzuri kabisa na hatari sana , aliwahi kuwafungia goal la pili Yanga kwenye mchezo dhidi ya Real Bamako kwa mkapa
Kibwana Shomary , Si kulia si kushoto kote kote mdogo wangu anakaba na anashambulia ni kweli kazini kwake kuna kazi ila naye ni mzuri matches dhidi ya Dodoma Jiji , matches dhidi ya Al Merrikh ushashinda tayari na umefuzu naye anastahili kucheza
Ukiifuatilia Yanga , ilikuwa ni team ambayo kila mchezaji alikuwa ni hatari kulingana na Sub aliyokuwa anafanyiwa , lakini Yanga ya sasa et hawapati nafasi kinachoendelea ni niniii ? team ya taifa itarudi kule kule tulipo toka hakuna wachezaji wapya watakao itwa maana kibwana sasa hawezi kuitwa maana sub kila match
Coach wa Yanga ajitathmini na pengine anaweza asifike X-mas au hata mwaka mpya , mwenendo wa Kikosi cha Yanga sasa unafanya Pacome aje achoke sana ,
Japo ni coach wenu siwapangii majukumu ila huyu coach atatuulia vipaji vya hawa madogo ni vyema akasepa mapema , utaniambia nini nikuelewe kwamba Farid Musa hana kiwango cha kumpokea Max dakika za jioni ?
Tatizo hili COACH CHOYOOO SANA , Yanga ya msimu huu inaweza kuwa ndiyo Yanga nzuri kuishuhudia
@saniti