Gamondi hamna kocha, Yanga ligi hachukui, atapoteza mechi zote kubwa, today I have seen the light

Gamondi hamna kocha, Yanga ligi hachukui, atapoteza mechi zote kubwa, today I have seen the light

Malipo hapa hapa duniani 🤣🤣🤣.2-1 na nyie mmekula 2-1
 
Ujuaji mwingi na ulichokiandika hapo na wewe unajiita unaujua mpira huyo gamondi unayemsema kakpoteza game mbili tu ni huyo huyo ambaye anendeleza kutuletea soka safi ..tatizo watz mkishiba maharage ya kuhongwa shemeji zenu basi mkapewa na kajero ka bando mnaleta ujuaji huku
 
sio kufungwa. ila kufungwa due to bad substitution, and good players are available ni a very bad sign. kocha ajui anachokifanya. in short gamondi should not be in yanga plans. he is not the one. Anafanya fans wawe frustrated with his decisions. means aamininiki hata na players
Kwani amebadilisha mchezaji ambaye sio mchezaji wa timu.
 
GAMONDI IS PATHETIC OF A MANAGER. #FACTS

Sababu ni hizi

1. AKILI ZA SUBSTITUTION HANA KABISA, leo nimejua hata ajui wachezaji wake completely ni kama he lost his mind adding to that, he has no tactics kabisa, nothing new. off position play kwa players is what he knows. useless manager to be precise.

2. Since Guede arrival, Gamondi kawa kama kichaa ajui kuwa he signed ana error anajaribu kutuprovia kuwa ni mchezaji mzuri. but big NO. subs zimekuwa worse , he is not the one. Ana mforce sana kwa MASHABIKI. we done with this. engineer asipo INTERFER. yanga itapotea. sundowns game is a lost course

3. Yupo inconstency sana. kama una bet don't give Yanga your money. huyu jamaa will lose a game or draw in wonders ways. yani ana depth of players lakin anamuona Guede tu. The moment guede yupo ndani. it's OVER. the player plays against the team kama yanga wapo 10 uwanjani.

4. Yanga achukui LIGI :: kwa staili yake hii amna kitu hapa, hana mipango kabisa . he will lose the Simba match. and 1 more match and lose to a 2 point lead. people use low block and he is done.

5. Yanga waingie sokoni kwa kocha mpya. huyu amna sehemu atawafikisha kama club. nope he is not the one. awezi fikisha club to the top. naona ndo maana he is always get fired in his 1st season.

6.AM DONE , mimi leo nimekuwa najiuliza sana. pacome sub ya guede. at that moment. shekhan . okra. musoda wapo nje.
nikaajua amna kitu humu.
max sub ya musonda 🤔. he has the depth. he cant use it. watch guede play against sundowns. tena more minutes than he deserves.

7. Leo nimeona mwanga. I can't respect him ever. iko hivyo nimevua vyeo vyote huyu gamondi wa mchongo. I think jamaa ajui anachofanya at times. sio emotionaly I have seen him do alot of sub mistakes leo. nimejua kuwa kweli akili hana. and he is not the one.

8. Anatembelea upepo wa Nabi. he was so tactical unajua kabisa anataka nini. Ana mipingo.
huyu gamondi amna kitu, akili imestack , useless after 1 season. fire him . amna progress hapa.

Note : Yanga mwaka huu bila bila amna kikombe mtachukua..
mamelodi atawapiga 5, mtatoka kwa aibu.
Simba atawapiga tena.
gamondi ataua depth ya kikosi
next season its over for your dominance. lastly don't watch the sundowns match utakuwa frustrated. atafanya sub ya guede kituko tena 🚮🚮.
pacome off - guede In 😂😂 kisa rushwa yake icheze tu..


Apply uwe kocha wewe
 
Ujuaji mwingi na ulichokiandika hapo na wewe unajiita unaujua mpira huyo gamondi unayemsema kakpoteza game mbili tu ni huyo huyo ambaye anendeleza kutuletea soka safi ..tatizo watz mkishiba maharage ya kuhongwa shemeji zenu basi mkapewa na kajero ka bando mnaleta ujuaji huku
mimi ni blogger mzuri tu. jana i was un impressed. leo nitashusha kitu in my blog
 
sio kweli. gamondi jana ameshow kabisa kuwa he is not a good tactical couch. last he is not smart at all. he doesn't know his players either. so I think he should leave. yanga should be looking for plan B
We jamaa ni zuzu aisee.
Gamondi unayemsema ndiye anayeongoza ligi sasa hivi.
Gamondi unayemsema ndiye aliyeipa Yanga magoli mengi kuliko misimu mingine kwa ushindi mnono.
Gamondi unayemsema katoka kuifunga ihefu 5 kabla hajafungwa na Azam.
Gamondi unayemsemea KAIFANYA YANGA IVUKE HATUA YA MAKUNDI CAFCL IKIWA KATIKA KUNDI GUMU NAWEZA SEMA KULIKO YOTE TENA KWA KUMFUNGA BELOUZDAD 4.
We jamaa kichwa chako hakipo sawa ukapimwe.
GAmondi huyo huyo mzunguko wa kwanza kaifunga Azam 3-2.
Yani hii ndio shida ya kila mtu kujiita mchambuzi wa mpira halafu kichwani sifuri.
 
We jamaa ni zuzu aisee.
Gamondi unayemsema ndiye anayeongoza ligi sasa hivi.
Gamondi unayemsema ndiye aliyeipa Yanga magoli mengi kuliko misimu mingine kwa ushindi mnono.
Gamondi unayemsema katoka kuifunga ihefu 5 kabla hajafungwa na Azam.
Gamondi unayemsemea KAIFANYA YANGA IVUKE HATUA YA MAKUNDI CAFCL IKIWA KATIKA KUNDI GUMU NAWEZA SEMA KULIKO YOTE TENA KWA KUMFUNGA BELOUZDAD 4.
We jamaa kichwa chako hakipo sawa ukapimwe.
GAmondi huyo huyo mzunguko wa kwanza kaifunga Azam 3-2.
Yani hii ndio shida ya kila mtu kujiita mchambuzi wa mpira halafu kichwani sifuri.

IT WAS ALL NABI ARCHIEVEMENT. THE PLAYER HE BROUGHT HIS GUEDE. and that is his legacy. yanga ata angekuja nani? ligi ange chukua na caf angeenda. HUYU ASIPO MTOA SUNDOWNS. Namfanyia figisu atatema bungo.
 
Jana naweza kusema wachezaji wengi walichoka , mechi 5 ndani ya siku 17

Lakini kuna makosa kadhaa yalifanyika;

Kuna wachezaji kadhaa wapo yanga lakini hawana msaada wowote mfano sureboy , nkane, mkude hawa sijui ni Nani anawabeba pale , Mbona kuna wachezaji wazuri tu wa kitanzania kina aweso, Samson nk .

Wachezaji senior Kama Pacome , Aucho wakiumia au kuchoka hakuna wa kujazia.

Gamondi jana alivurunda kwenye substitution, anatoa mchezaji mwenye ku press analeta mzubaifu .
Gamondi kuna makosa anarudia tangu mechi ya belouzidad Algeria kutosimama kila saa kuwakumbusha full backs wake wasipande kuzidi mstari wa Kati ,ili cost mechi za belouzidad Algeria , Al ahly Cairo na Jana , bila Shaka Hata mechi zote na mamelodi itai costs yanga .
Hata hao full backs wanapopanda hawaleti shambulizi lenye malengo mazuri .
Kwani huwa aangalii mechi zilizopita ?

Aziz ki Hana pumzi sio mchezaji wa kumaliza mechi ilipaswa ampishe Shehan au farid .
 
IT WAS ALL NABI ARCHIEVEMENT. THE PLAYER HE BROUGHT HIS GUEDE. and that is his legacy. yanga ata angekuja nani? ligi ange chukua na caf angeenda. HUYU ASIPO MTOA SUNDOWNS. Namfanyia figisu atatema bungo.
Kama kwenda CAF ni rahisi hivyo huyo Nabi kaenda Far Rabat huko ana kikosi cha mabioni ya pesa lakini hata hatua ya makundi kashindwa kufika.
 
IT WAS ALL NABI ARCHIEVEMENT. THE PLAYER HE BROUGHT HIS GUEDE. and that is his legacy. yanga ata angekuja nani? ligi ange chukua na caf angeenda. HUYU ASIPO MTOA SUNDOWNS. Namfanyia figisu atatema bungo.
Yanga ya Nabi ilikua inacheza mfumo wa tiktak.
Yanga ya Nabi hakukuwepo na Pacoume,Okrah,Yao kwasi,Mudathir,Max Nzengeli.
Yanga ya Nabi haikuwa na pressure on heavy touch aggressive playing.
We jamaa mpira umeanza kufuatilia juzi???
Gamondi anafika Yanga kikosi kimefumuka sana Feisal,Bangala,Djuma,Mayele n.k n.k wote hawapo.
Gamondi akaweka falsafa zake tofauti na za Nabi zile za tiktak style of playing yeye kaja na pressure on heavy touch.
KIla moja ina faida na hasara zake.
Mfumo wa tiktak ni mzuri kujilinda maana unamiliki mpira muda mrefu na kupooza mashambulizi ya mpinzani ila huu mfumo una ushindi mwembamba maana hauko too agressive.
Mfumo wa Pressure ni mzuri kufungua safu ya ulinzi ya mpinzani huweza ukakupa matokeo mengi ila shida unakua hauko vizuri kwenye kujilinda maana timu nzima hupanda juu wakati wa mashambulizi,na kama mabeki hawatawa chap kurudi counter attack zitawaadhibu.
Huo ndio udhaifu wa mfumo wa Gamondi.
TImu ya Nabi ilivunjika na Falsafa za Nabi zilivunjika.
Utakua mpira umeanza fuatilia juzi
Mbona unashangaza
 
Kama kwenda CAF ni rahisi hivyo huyo Nabi kaenda Far Rabat huko ana kikosi cha mabioni ya pesa lakini hata hatua ya makundi kashindwa kufika.
Hivi Nabi bado yupo Far Rabat??
 
Back
Top Bottom