Gamondi hamna kocha, Yanga ligi hachukui, atapoteza mechi zote kubwa, today I have seen the light

Gamondi hamna kocha, Yanga ligi hachukui, atapoteza mechi zote kubwa, today I have seen the light

From my inner heart ninakuunga mkono kabisa. Mimi nilipoona Mzize kaanza badala ya Musonda nikajua Leo kazi ipo. Pamoja na Mzize kufunga goli lakini tayari alikuwa amekosa magoli mawili ya wazi kabisa. Pacome alipoumia mtu sahihi wa kuingia alikuwa ni Okra lakini dah, akaingizwa Guede ! Hapo hapo nikajua Yanga haiwezi shinda hii mechi kwa sababu Mzize na huyo Guede wote ni wazito. Kwa kweli Kocha Gamond anaferi katika sub ! Tofauti na mtangulizi wake Nabi ambaye alikuwa mtalaamu wa Sub. Suala la Yanga kufungwa na Simba mechi ijayo Hilo sina hakika nalo sana maana Simba nao Bado wanajitafuta tu na wanategemea zaidi marefa.
Musonda huwa anaanza mechi ngapi na afanyi cha maana? Lete takwimu za Musonda kwenye NBC. Yanga hakuna mshambuliaji aliyekamilika, akianza Musonda tunaona bora ya Mzize au Guede, akianza Mzize tunaona bora ya Msonda au Guede. Akicheza Guede ni yale yale. Hakuna straika wa maana Yanga mpaka sasa.
Huyo Musonda kacheza mechi nyingi sana za ligi kuu na anavulunda akianza
 
Musonda huwa anaanza mechi ngapi na afanyi cha maana? Lete takwimu za Musonda kwenye NBC. Yanga hakuna mshambuliaji aliyekamilika, akianza Musonda tunaona bora ya Mzize au Guede, akianza Mzize tunaona bora ya Msonda au Guede. Akicheza Guede ni yale yale. Hakuna straika wa maana Yanga mpaka sasa.
Huyo Musonda kacheza mechi nyingi sana za ligi kuu na anavulunda akianza
Mzize anatakiwa aingie dk 20 au 30 za mwisho
 
From my inner heart ninakuunga mkono kabisa. Mimi nilipoona Mzize kaanza badala ya Musonda nikajua Leo kazi ipo. Pamoja na Mzize kufunga goli lakini tayari alikuwa amekosa magoli mawili ya wazi kabisa. Pacome alipoumia mtu sahihi wa kuingia alikuwa ni Okra lakini dah, akaingizwa Guede ! Hapo hapo nikajua Yanga haiwezi shinda hii mechi kwa sababu Mzize na huyo Guede wote ni wazito. Kwa kweli Kocha Gamond anaferi katika sub ! Tofauti na mtangulizi wake Nabi ambaye alikuwa mtalaamu wa Sub. Suala la Yanga kufungwa na Simba mechi ijayo Hilo sina hakika nalo sana maana Simba nao Bado wanajitafuta tu na wanategemea zaidi marefa.
he will lose the match. 🤌 amini. he lost the confidence kabisa in that azam match. and it's obviously watu wamejua kuwa akili mpya hana.
 
Simba atawapiga tena? How? Last game Simba 1 Yanga 5, unavyosema atawapiga tena una maanisha nini?
 
Musonda huwa anaanza mechi ngapi na afanyi cha maana? Lete takwimu za Musonda kwenye NBC. Yanga hakuna mshambuliaji aliyekamilika, akianza Musonda tunaona bora ya Mzize au Guede, akianza Mzize tunaona bora ya Msonda au Guede. Akicheza Guede ni yale yale. Hakuna straika wa maana Yanga mpaka sasa.
Huyo Musonda kacheza mechi nyingi sana za ligi kuu na anavulunda akianza
guede offers nothing. ni kama he is playing against the team. akiwa ndani ni kama mpo 10 instead of 11 . that's why wengine awasemwi ni yeye tu. imagine
 
Simba atawapiga tena? How? Last game Simba 1 Yanga 5, unavyosema atawapiga tena una maanisha nini?
previous season. second round yanga tends to lose the match. despite it all. if they qualify they will lose that simba game
 
GAMONDI IS PATHETIC OF A MANAGER. #FACTS

Sababu ni hizi

1. AKILI ZA SUBSTITUTION HANA KABISA, leo nimejua hata ajui wachezaji wake completely ni kama he lost his mind adding to that, he has no tactics kabisa, nothing new. off position play kwa players is what he knows. useless manager to be precise.

2. Since Guede arrival, Gamondi kawa kama kichaa ajui kuwa he signed ana error anajaribu kutuprovia kuwa ni mchezaji mzuri. but big NO. subs zimekuwa worse , he is not the one. Ana mforce sana kwa MASHABIKI. we done with this. engineer asipo INTERFER. yanga itapotea. sundowns game is a lost course

3. Yupo inconstency sana. kama una bet don't give Yanga your money. huyu jamaa will lose a game or draw in wonders ways. yani ana depth of players lakin anamuona Guede tu. The moment guede yupo ndani. it's OVER. the player plays against the team kama yanga wapo 10 uwanjani.

4. Yanga achukui LIGI :: kwa staili yake hii amna kitu hapa, hana mipango kabisa . he will lose the Simba match. and 1 more match and lose to a 2 point lead. people use low block and he is done.

5. Yanga waingie sokoni kwa kocha mpya. huyu amna sehemu atawafikisha kama club. nope he is not the one. awezi fikisha club to the top. naona ndo maana he is always get fired in his 1st season.

6.AM DONE , mimi leo nimekuwa najiuliza sana. pacome sub ya guede. at that moment. shekhan . okra. musoda wapo nje.
nikaajua amna kitu humu.
max sub ya musonda 🤔. he has the depth. he cant use it. watch guede play against sundowns. tena more minutes than he deserves.

7. Leo nimeona mwanga. I can't respect him ever. iko hivyo nimevua vyeo vyote huyu gamondi wa mchongo. I think jamaa ajui anachofanya at times. sio emotionaly I have seen him do alot of sub mistakes leo. nimejua kuwa kweli akili hana. and he is not the one.

8. Anatembelea upepo wa Nabi. he was so tactical unajua kabisa anataka nini. Ana mipingo.
huyu gamondi amna kitu, akili imestack , useless after 1 season. fire him . amna progress hapa.

Note : Yanga mwaka huu bila bila amna kikombe mtachukua..
mamelodi atawapiga 5, mtatoka kwa aibu.
Simba atawapiga tena.
gamondi ataua depth ya kikosi
next season its over for your dominance. lastly don't watch the sundowns match utakuwa frustrated. atafanya sub ya guede kituko tena 🚮🚮.
pacome off - guede In 😂😂 kisa rushwa yake icheze tu..
Mechi imeleta kamusi nzima kingereza!
 
guede offers nothing. ni kama he is playing against the team. akiwa ndani ni kama mpo 10 instead of 11 . that's why wengine awasemwi ni yeye tu. imagine
Aliyewapeleka Yanga robo fainali ya klabu bingwa ni nani kama sio goli la Guede?
 
musoda always
Lete takwimu za NBC alizoanza Musonda ali offer kitu gani zaidi ya ile mechi dhidi ya Simba pekee. Musonda ndiye alikuwa anaanza na Mzize alikuwa anaingiaga sub lakini ni useless vilevile. Hakuna straika wa maana na ndio maana magoli mengi yanafungwa na viungo.
 
Lete takwimu za NBC alizoanza Musonda ali offer kitu gani zaidi ya ile mechi dhidi ya Simba pekee. Musonda ndiye alikuwa anaanza na Mzize alikuwa anaingiaga sub lakini ni useless vilevile. Hakuna straika wa maana na ndio maana magoli mengi yanafungwa na viungo.
musoda had more minutes this season. also ni attacking midfielder mzuri tu. he offers alot. assists. pressing . speed. good passing. and more ila guede offers nothing in the team. slow, can't press, poor positioning, had to tell what he does in the field. azam match 10 mins ajulikani yupo wapi
 
musoda had more minutes this season. also ni attacking midfielder mzuri tu. he offers alot. assists. pressing . speed. good passing. and more ila guede offers nothing in the team. slow, can't press, poor positioning, had to tell what he does in the field. azam match 10 mins ajulikani yupo wapi
Nimeomba uje na takwimu za Musonda kwenye NBC mimi sitaki tujadili hisia binafsi twende kwa namba. Kule juu comment yangu kuhusu takwimu ya Nabi na Gamondi ukaikimbia kwasababu unaonekana unapenda sana porojo kuliko uhalisia. Ili tuone impact ya Musonda kwenye ligi kuu njoo na takwimu zinazomuonesha kafanya kitu.
Assist ngapi?
Goli ngapi?
Kacheza mechi ngapi?
Swala la pasi Guede ni mpiga pasi mzuri tu ila swala la spidi nakubaliana na wewe hana spidi.
Sasa njoo na takwimu za huyo Musonda, huu mjadala tuuweke kwa namba badala ya blah blah.
 
Nimeomba uje na takwimu za Musonda kwenye NBC mimi sitaki tujadili hisia binafsi twende kwa namba. Kule juu comment yangu kuhusu takwimu ya Nabi na Gamondi ukaikimbia kwasababu unaonekana unapenda sana porojo kuliko uhalisia. Ili tuone impact ya Musonda kwenye ligi kuu njoo na takwimu zinazomuonesha kafanya kitu.
Assist ngapi?
Goli ngapi?
Kacheza mechi ngapi?
Swala la pasi Guede ni mpiga pasi mzuri tu ila swala la spidi nakubaliana na wewe hana spidi.
Sasa njoo na takwimu za huyo Musonda, huu mjadala tuuweke kwa namba badala ya blah blah.
NABI IS BETTER I SAID IT. tactical wise he is better 49 games unbeaten, 3 games loss in 2 seasons .
gamondi lost 2 games in his 1st season alone. worse he has a better squad and more support. than nabi

musoda is more than a player. he plays wings in nbc that's why it's hard to see his contributions. also gamondi doesn't use him as attack options other than a wing option. lastly nbc doesn't give great statistics and rating scale well.

guede is not even half of musonda. not even ngushi level. ngushi is better than him.
 
you know ball. ni kama ajui what he wants. he dominates the game ila ana decisions of a toddler. he needs to study the games. and see how to do better subs. 🚮 gamondi sio wa kukaa yanga kwa muda mrefu. they should be recruiting a next manager.
Ila dogo kama kweli wewe ni blogger jitahidi ujifunze lugha na kuandika. Kiswahili shida na Kingereza shida.
 
NABI IS BETTER I SAID IT. tactical wise he is better 49 games unbeaten, 3 games loss in 2 seasons .
gamondi lost 2 games in his 1st season alone. worse he has a better squad and more support. than nabi

musoda is more than a player. he plays wings in nbc that's why it's hard to see his contributions. also gamondi doesn't use him as attack options other than a wing option. lastly nbc doesn't give great statistics and rating scale well.

guede is not even half of musonda. not even ngushi level. ngushi is better than him.
Huwezi kulinganisha aina ya ushindani kati ya msimu na msimu,
Mfano Msimu wa kwanza Nabi hakufungwa mechi hata moja lakini sare zilikuwa nyingi sana, lakini msimu wake wa pili kafungwa mechi mbili maanake alishindwa ku maintain unbeaten run sababu ya ushindani aliopata kwa timu kuimarika. Huyo Nabi huko aliko kwenye ligi ameshafungwa mechi mbili hadi sasa.

Onana anacheza winga, vipi mchango wake hauwezi kuonekana? Mchezaji yeyote anayecheza eneo la ushambuliaji lazima awe na takwimu zinazoonesha mchango wake
 
well nitoe comment yangu mapema. saa 5 usiku mbali sana. gamondi ni kichwa panzi
 
Back
Top Bottom