Gamondi hamna kocha, Yanga ligi hachukui, atapoteza mechi zote kubwa, today I have seen the light

Gamondi hamna kocha, Yanga ligi hachukui, atapoteza mechi zote kubwa, today I have seen the light

Huwezi kulinganisha aina ya ushindani kati ya msimu na msimu,
Mfano Msimu wa kwanza Nabi hakufungwa mechi hata moja lakini sare zilikuwa nyingi sana, lakini msimu wake wa pili kafungwa mechi mbili maanake alishindwa ku maintain unbeaten run sababu ya ushindani aliopata kwa timu kuimarika. Huyo Nabi huko aliko kwenye ligi ameshafungwa mechi mbili hadi sasa.

Onana anacheza winga, vipi mchango wake hauwezi kuonekana? Mchezaji yeyote anayecheza eneo la ushambuliaji lazima awe na takwimu zinazoonesha mchango wake
Onana huyu ana miss vitu simple
 
leo ndo siku yake. 🤌kocha wa mchongo utamuna leo akipigika
Taja thamani benchi la ufundi la Mamelodi, unajua kama benchi la ufundi la Mamelodi lina jopo la watu wasiopungua watano kazi yao ni kuisoma tu timu pinzani?
Linganisha ubora wa kikosi cha Yanga vs Mamelod.
Linganisha bajeti ya usajili wa Yanga vs Mamelod

Yanga akifungwa leo ni kwasababu wamekutana na timu iliyobora zaidi kwao na sio sababu ya kocha. Jifunze kuupenda mpira kuliko ushabiki
 
GAMONDI IS PATHETIC OF A MANAGER. #FACTS

Sababu ni hizi

1. AKILI ZA SUBSTITUTION HANA KABISA, leo nimejua hata ajui wachezaji wake completely ni kama he lost his mind adding to that, he has no tactics kabisa, nothing new. off position play kwa players is what he knows. useless manager to be precise.

2. Since Guede arrival, Gamondi kawa kama kichaa ajui kuwa he signed ana error anajaribu kutuprovia kuwa ni mchezaji mzuri. but big NO. subs zimekuwa worse , he is not the one. Ana mforce sana kwa MASHABIKI. we done with this. engineer asipo INTERFER. yanga itapotea. sundowns game is a lost course

3. Yupo inconstency sana. kama una bet don't give Yanga your money. huyu jamaa will lose a game or draw in wonders ways. yani ana depth of players lakin anamuona Guede tu. The moment guede yupo ndani. it's OVER. the player plays against the team kama yanga wapo 10 uwanjani.

4. Yanga achukui LIGI :: kwa staili yake hii amna kitu hapa, hana mipango kabisa . he will lose the Simba match. and 1 more match and lose to a 2 point lead. people use low block and he is done.

5. Yanga waingie sokoni kwa kocha mpya. huyu amna sehemu atawafikisha kama club. nope he is not the one. awezi fikisha club to the top. naona ndo maana he is always get fired in his 1st season.

6.AM DONE , mimi leo nimekuwa najiuliza sana. pacome sub ya guede. at that moment. shekhan . okra. musoda wapo nje.
nikaajua amna kitu humu.
max sub ya musonda 🤔. he has the depth. he cant use it. watch guede play against sundowns. tena more minutes than he deserves.

7. Leo nimeona mwanga. I can't respect him ever. iko hivyo nimevua vyeo vyote huyu gamondi wa mchongo. I think jamaa ajui anachofanya at times. sio emotionaly I have seen him do alot of sub mistakes leo. nimejua kuwa kweli akili hana. and he is not the one.

8. Anatembelea upepo wa Nabi. he was so tactical unajua kabisa anataka nini. Ana mipingo.
huyu gamondi amna kitu, akili imestack , useless after 1 season. fire him . amna progress hapa.

Note : Yanga mwaka huu bila bila amna kikombe mtachukua..
mamelodi atawapiga 5, mtatoka kwa aibu.
Simba atawapiga tena.
gamondi ataua depth ya kikosi
next season its over for your dominance. lastly don't watch the sundowns match utakuwa frustrated. atafanya sub ya guede kituko tena 🚮🚮.
pacome off - guede In 😂😂 kisa rushwa yake icheze tu..
Hauna hoja wewe
20240330_010210.jpg
 
Taja thamani benchi la ufundi la Mamelodi, unajua kama benchi la ufundi la Mamelodi lina jopo la watu wasiopungua watano kazi yao ni kuisoma tu timu pinzani?
Linganisha ubora wa kikosi cha Yanga vs Mamelod.
Linganisha bajeti ya usajili wa Yanga vs Mamelod

Yanga akifungwa leo ni kwasababu wamekutana na timu iliyobora zaidi kwao na sio sababu ya kocha. Jifunze kuupenda mpira kuliko ushabiki
Kama mpira ungekuwa bajeti basi hao mamelodi wangekuwa na vikombe vingi vya klabu bingwa kuliko Tp mazembe basi
 
Kama mpira ungekuwa bajeti basi hao mamelodi wangekuwa na vikombe vingi vya klabu bingwa kuliko Tp mazembe basi
Bajeti zinatofautiana kati ya timu na timu mpaka sasa Al Ahly ndio timu iliyowekeza pakubwa, vipi Al Ahly hana makombe mengi?

Kipindi Tp Mazembe inachukua makombe je unakumbuka uwekezaji uliofanywa na Katumbi? Umeona Tp Mazembe walivyokuja kuyumba baadae baada ya project yao kutoendelezwa?

Hivyo Mamelod wameshaanza project yao ya uwekezaji na tayari inaanza kuwalipa kwa kuchukua kombe la African football league.
 
Baada ya mechi ya Leo nitapata tadhmini ya mada yako .
 
Bajeti zinatofautiana kati ya timu na timu mpaka sasa Al Ahly ndio timu iliyowekeza pakubwa, vipi Al Ahly hana makombe mengi?

Kipindi Tp Mazembe inachukua makombe je unakumbuka uwekezaji uliofanywa na Katumbi? Umeona Tp Mazembe walivyokuja kuyumba baadae baada ya project yao kutoendelezwa?

Hivyo Mamelod wameshaanza project yao ya uwekezaji na tayari inaanza kuwalipa kwa kuchukua kombe la African football league.
Mkuu miaka hiyoo bajeti ya mazembe ilikuwa ni ya kawaida sana walikuwa wanavuna wachezaji wao kutoka mazembe b kama mpira ni project basi nyie mo dewji fc project yenu imefeli sasa
 
Mkuu miaka hiyoo bajeti ya mazembe ilikuwa ni ya kawaida sana walikuwa wanavuna wachezaji wao kutoka mazembe b kama mpira ni project basi nyie mo dewji fc project yenu imefeli sasa
Kumbe nilikuwa najadiliana na mtu ambaye amekaa kishabiki sio kiunamichezo. Uliposema tu nyie mo dewji fc project yenu imefeli ndipo ulipokuona upeo wako ulivyo. Yaani akili na mawazo yako yalikufikirisha kuwa mimi mtu wa Simba. Hivyo ukahitimisha ulivyosikia wewe wakati hakuna mahali nilipoizungumza habari za Simba.
 
Kumbe nilikuwa najadiliana na mtu ambaye amekaa kishabiki sio kiunamichezo. Uliposema tu nyie mo dewji fc project yenu imefeli ndipo ulipokuona upeo wako ulivyo. Yaani akili na mawazo yako yalikufikirisha kuwa mimi mtu wa Simba. Hivyo ukahitimisha ulivyosikia wewe wakati hakuna mahali nilipoizungumza habari za Simba.
Sio kishabiki nimeongea kiuhalisia na roho imekuuuma si ndio yaani unaniuliza maisha ya mazembe ambayo Kila saaa nakua naiona hadi maendeleo yake pale Lubumbashi mpira ni kujipanga uwanjani project waachie wana muziki liputa
 
Sio kishabiki nimeongea kiuhalisia na roho imekuuuma si ndio yaani unaniuliza maisha ya mazembe ambayo Kila saaa nakua naiona hadi maendeleo yake pale Lubumbashi mpira ni kujipanga uwanjani project waachie wana muziki liputa
Kama sio kishabiki niambie ni kipi kilichokufanya uniite mimi mo fc?
 
Sio kishabiki nimeongea kiuhalisia na roho imekuuuma si ndio yaani unaniuliza maisha ya mazembe ambayo Kila saaa nakua naiona hadi maendeleo yake pale Lubumbashi mpira ni kujipanga uwanjani project waachie wana muziki liputa
Unaweza kutofautisha kati ya kujipanga na project?
 
Back
Top Bottom