Gamondi hamna kocha, Yanga ligi hachukui, atapoteza mechi zote kubwa, today I have seen the light

Onana huyu ana miss vitu simple
 
leo ndo siku yake. 🤌kocha wa mchongo utamuna leo akipigika
Taja thamani benchi la ufundi la Mamelodi, unajua kama benchi la ufundi la Mamelodi lina jopo la watu wasiopungua watano kazi yao ni kuisoma tu timu pinzani?
Linganisha ubora wa kikosi cha Yanga vs Mamelod.
Linganisha bajeti ya usajili wa Yanga vs Mamelod

Yanga akifungwa leo ni kwasababu wamekutana na timu iliyobora zaidi kwao na sio sababu ya kocha. Jifunze kuupenda mpira kuliko ushabiki
 
Hauna hoja wewe
 
Kama mpira ungekuwa bajeti basi hao mamelodi wangekuwa na vikombe vingi vya klabu bingwa kuliko Tp mazembe basi
 
Kama mpira ungekuwa bajeti basi hao mamelodi wangekuwa na vikombe vingi vya klabu bingwa kuliko Tp mazembe basi
Bajeti zinatofautiana kati ya timu na timu mpaka sasa Al Ahly ndio timu iliyowekeza pakubwa, vipi Al Ahly hana makombe mengi?

Kipindi Tp Mazembe inachukua makombe je unakumbuka uwekezaji uliofanywa na Katumbi? Umeona Tp Mazembe walivyokuja kuyumba baadae baada ya project yao kutoendelezwa?

Hivyo Mamelod wameshaanza project yao ya uwekezaji na tayari inaanza kuwalipa kwa kuchukua kombe la African football league.
 
Baada ya mechi ya Leo nitapata tadhmini ya mada yako .
 
Mkuu miaka hiyoo bajeti ya mazembe ilikuwa ni ya kawaida sana walikuwa wanavuna wachezaji wao kutoka mazembe b kama mpira ni project basi nyie mo dewji fc project yenu imefeli sasa
 
Mkuu miaka hiyoo bajeti ya mazembe ilikuwa ni ya kawaida sana walikuwa wanavuna wachezaji wao kutoka mazembe b kama mpira ni project basi nyie mo dewji fc project yenu imefeli sasa
Kumbe nilikuwa najadiliana na mtu ambaye amekaa kishabiki sio kiunamichezo. Uliposema tu nyie mo dewji fc project yenu imefeli ndipo ulipokuona upeo wako ulivyo. Yaani akili na mawazo yako yalikufikirisha kuwa mimi mtu wa Simba. Hivyo ukahitimisha ulivyosikia wewe wakati hakuna mahali nilipoizungumza habari za Simba.
 
Sio kishabiki nimeongea kiuhalisia na roho imekuuuma si ndio yaani unaniuliza maisha ya mazembe ambayo Kila saaa nakua naiona hadi maendeleo yake pale Lubumbashi mpira ni kujipanga uwanjani project waachie wana muziki liputa
 
Sio kishabiki nimeongea kiuhalisia na roho imekuuuma si ndio yaani unaniuliza maisha ya mazembe ambayo Kila saaa nakua naiona hadi maendeleo yake pale Lubumbashi mpira ni kujipanga uwanjani project waachie wana muziki liputa
Kama sio kishabiki niambie ni kipi kilichokufanya uniite mimi mo fc?
 
Sio kishabiki nimeongea kiuhalisia na roho imekuuuma si ndio yaani unaniuliza maisha ya mazembe ambayo Kila saaa nakua naiona hadi maendeleo yake pale Lubumbashi mpira ni kujipanga uwanjani project waachie wana muziki liputa
Unaweza kutofautisha kati ya kujipanga na project?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…