Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Mkuu lkn na wew umeona ....Yanga walikuwa wanachezesha kikosi na c
We babu huwa unazitumia vyema mvi zako, nikuambie ukweli hufai kukaa meza moja na Laban og asiye na mvi hata moja ya kupaka super white.Daha! Sasa kuwajaribu vijana ndiyo awachezeshe hata kwenye mechi za kuamua matokeo!!
Halafu ametumia kigezo gani kuwapa mapumziko baadhi ya wachezaji ambao hawako kwenye timu zao za Taifa wakati huu ambapo timu ina muda mchache wa kujiandaa na mashindano ya Ligi, na yale ya Kimataifa?
Kwa hiyo mzee gamond hao vijana wako walikua hawataki kombe la mapinduzi? Au mngeshinda kombe mngelikataa?"Tunawapongeza APR ila kwa sisi kitu cha muhimu ni Ligi, Ligi ya Mabingwa na Kombe la FA. Michuano hii tuliichukulia kama sehemu ya kufanya uchambuzi wa kikosi chetu na ni wachezaji gani wanahitaji kuboresha mchezo wao" Miguel Garmondi, Kocha wa Yanga SC. #SRSportsUPDATES #MapinduziCu
Nadhani Sasa mmeelewa kuwa Gamondi hakuwa serious na hili kombe bali alihitaji kujua kama anakikosi kipana
Sio kama makolo [emoji23][emoji23] kwenye kombe la mapinduzi wameingiza Hadi wachezaji wenye mvi.
View attachment 2865298
Hapana labda mchambuzi wewe ila wenzako watamvaa Gamondi na Yanga yake ...na sio lengo la Gamondi ...nyie wachambuzi ndio mnatuvurugaSisi wachambuzi tunajiua tu kuwa Yanga walikuwa wanawapa nafasi vijana zaidi
gamondi akua serious na lile bonanza wakati tushapigwa 3 ndio kwanza anafanya sub kuwaingiza watoto
Napenda hoja kama hizi za watu wa mpiraDaha! Sasa kuwajaribu vijana ndiyo awachezeshe hata kwenye mechi za kuamua matokeo!!
Halafu ametumia kigezo gani kuwapa mapumziko baadhi ya wachezaji ambao hawako kwenye timu zao za Taifa wakati huu ambapo timu ina muda mchache wa kujiandaa na mashindano ya Ligi, na yale ya Kimataifa?
Hahahahaha, mtani unajua kuujua mpira na falsafa zake kazi sana ndio maana kuna kozi kabisa kwa anayehitaji kujua zaidiπππ inabidi tuzoweane tu mtani.
Baada ya kukalia ndiyo mnaleta ngonjera."Tunawapongeza APR ila kwa sisi kitu cha muhimu ni Ligi, Ligi ya Mabingwa na Kombe la FA. Michuano hii tuliichukulia kama sehemu ya kufanya uchambuzi wa kikosi chetu na ni wachezaji gani wanahitaji kuboresha mchezo wao" Miguel Garmondi, Kocha wa Yanga SC. #SRSportsUPDATES #MapinduziCu
Nadhani Sasa mmeelewa kuwa Gamondi hakuwa serious na hili kombe bali alihitaji kujua kama anakikosi kipana
Sio kama makolo [emoji23][emoji23] kwenye kombe la mapinduzi wameingiza Hadi wachezaji wenye mvi.
View attachment 2865298
[emoji23][emoji23]Baada ya kukalia ndiyo mnaleta ngonjera. View attachment 2865528
Comment nyingine ninayoikumbuka ni ile ya "APR ni kibonde wa Yanga ππHuyo mwargentina namwaminia sana, anaijua kazi yake.
Caf champions league, wakwanza kutolewa kwenye shindano hilo ni Simba, mtakuja kuikumbuka hii comment.
Naona kuna tofauti kubwa kati ya Laban og na Miguel Gamondi ππ"Tunawapongeza APR ila kwa sisi kitu cha muhimu ni Ligi, Ligi ya Mabingwa na Kombe la FA. Michuano hii tuliichukulia kama sehemu ya kufanya uchambuzi wa kikosi chetu na ni wachezaji gani wanahitaji kuboresha mchezo wao" Miguel Garmondi, Kocha wa Yanga SC. #SRSportsUPDATES #MapinduziCu
Nadhani Sasa mmeelewa kuwa Gamondi hakuwa serious na hili kombe bali alihitaji kujua kama anakikosi kipana
Sio kama makolo [emoji23][emoji23] kwenye kombe la mapinduzi wameingiza Hadi wachezaji wenye mvi.
View attachment 2865298
Kwamba anaitaka fainali na kombe πNaona kuna tofauti kubwa kati ya Laban og na Miguel Gamondi ππ
Lomalisa? Huyu panga pangua 1st 11 ya Yanga yumo.Farid Musa,lomalisa, ngushi yaani Hawa ndo wamejiharibia kwenye hii michuano
Hapana kwa kweli, kwa trend ya kibabage huyu jamaa atasugua sana.... Ntakua nafukua makaburi kukukumbusha... Tupo hapaLomalisa? Huyu panga pangua 1st 11 ya Yanga yumo.
Kimepanukia wapi....Nadhani ndio ilikuwa target ya gamondi....kujua kama ana kikosi kipana
Aah! Ndo mwendage mje mtupe darasa la bure humu Mtani. πHahahahaha, mtani unajua kuujua mpira na falsafa zake kazi sana ndio maana kuna kozi kabisa kwa anayehitaji kujua zaidi
Hahahaha, mie ni mdau sana tu pale karume na bmt na nishaenda lkn ya uongozi, ila siezi andika kitu , nasoma tu maoni yenuAah! Ndo mwendage mje mtupe darasa la bure humu Mtani. π