Gamondi: Tulitumia Kombe la Mapinduzi kujaribu wachezaji

Gamondi: Tulitumia Kombe la Mapinduzi kujaribu wachezaji

Huyo mwargentina namwaminia sana, anaijua kazi yake.

Caf champions league, wakwanza kutolewa kwenye shindano hilo ni Simba, mtakuja kuikumbuka hii comment.
 
Daha! Sasa kuwajaribu vijana ndiyo awachezeshe hata kwenye mechi za kuamua matokeo!!

Halafu ametumia kigezo gani kuwapa mapumziko baadhi ya wachezaji ambao hawako kwenye timu zao za Taifa wakati huu ambapo timu ina muda mchache wa kujiandaa na mashindano ya Ligi, na yale ya Kimataifa?
We babu huwa unazitumia vyema mvi zako, nikuambie ukweli hufai kukaa meza moja na Laban og asiye na mvi hata moja ya kupaka super white.

Hamia hata Azam babu achana na hao wahuni 😂
 
"Tunawapongeza APR ila kwa sisi kitu cha muhimu ni Ligi, Ligi ya Mabingwa na Kombe la FA. Michuano hii tuliichukulia kama sehemu ya kufanya uchambuzi wa kikosi chetu na ni wachezaji gani wanahitaji kuboresha mchezo wao" Miguel Garmondi, Kocha wa Yanga SC. #SRSportsUPDATES #MapinduziCu

Nadhani Sasa mmeelewa kuwa Gamondi hakuwa serious na hili kombe bali alihitaji kujua kama anakikosi kipana

Sio kama makolo [emoji23][emoji23] kwenye kombe la mapinduzi wameingiza Hadi wachezaji wenye mvi.

View attachment 2865298
Kwa hiyo mzee gamond hao vijana wako walikua hawataki kombe la mapinduzi? Au mngeshinda kombe mngelikataa?
Halafu mzee gamondi mbona wewe na ali komeine mlijutia sana kufungwa na timu "mbovu" ya aperee?
Mzee jiangalie kwa mwendo huu, hao uto hawachelewi kukutupia mabegi yako
 
Sisi wachambuzi tunajiua tu kuwa Yanga walikuwa wanawapa nafasi vijana zaidi

gamondi akua serious na lile bonanza wakati tushapigwa 3 ndio kwanza anafanya sub kuwaingiza watoto
Hapana labda mchambuzi wewe ila wenzako watamvaa Gamondi na Yanga yake ...na sio lengo la Gamondi ...nyie wachambuzi ndio mnatuvuruga
 
Daha! Sasa kuwajaribu vijana ndiyo awachezeshe hata kwenye mechi za kuamua matokeo!!

Halafu ametumia kigezo gani kuwapa mapumziko baadhi ya wachezaji ambao hawako kwenye timu zao za Taifa wakati huu ambapo timu ina muda mchache wa kujiandaa na mashindano ya Ligi, na yale ya Kimataifa?
Napenda hoja kama hizi za watu wa mpira
 
"Tunawapongeza APR ila kwa sisi kitu cha muhimu ni Ligi, Ligi ya Mabingwa na Kombe la FA. Michuano hii tuliichukulia kama sehemu ya kufanya uchambuzi wa kikosi chetu na ni wachezaji gani wanahitaji kuboresha mchezo wao" Miguel Garmondi, Kocha wa Yanga SC. #SRSportsUPDATES #MapinduziCu

Nadhani Sasa mmeelewa kuwa Gamondi hakuwa serious na hili kombe bali alihitaji kujua kama anakikosi kipana

Sio kama makolo [emoji23][emoji23] kwenye kombe la mapinduzi wameingiza Hadi wachezaji wenye mvi.

View attachment 2865298
Baada ya kukalia ndiyo mnaleta ngonjera.
Screenshot_20240108-133159.jpg
 
Huyo mwargentina namwaminia sana, anaijua kazi yake.

Caf champions league, wakwanza kutolewa kwenye shindano hilo ni Simba, mtakuja kuikumbuka hii comment.
Comment nyingine ninayoikumbuka ni ile ya "APR ni kibonde wa Yanga 😂😂

Naendelea kutunza makabrasha ya mihemko ya vyura
 

Attachments

  • IMG-20240107-WA0064.jpg
    IMG-20240107-WA0064.jpg
    66.9 KB · Views: 3
"Tunawapongeza APR ila kwa sisi kitu cha muhimu ni Ligi, Ligi ya Mabingwa na Kombe la FA. Michuano hii tuliichukulia kama sehemu ya kufanya uchambuzi wa kikosi chetu na ni wachezaji gani wanahitaji kuboresha mchezo wao" Miguel Garmondi, Kocha wa Yanga SC. #SRSportsUPDATES #MapinduziCu

Nadhani Sasa mmeelewa kuwa Gamondi hakuwa serious na hili kombe bali alihitaji kujua kama anakikosi kipana

Sio kama makolo [emoji23][emoji23] kwenye kombe la mapinduzi wameingiza Hadi wachezaji wenye mvi.

View attachment 2865298
Naona kuna tofauti kubwa kati ya Laban og na Miguel Gamondi 😂😂
 

Attachments

  • 1704732218203.jpg
    1704732218203.jpg
    326.8 KB · Views: 3
Back
Top Bottom