Wachezaji wa YANGA Wana shida ya kutetemeka miguu,pasi nyingi wanampa adui. Ukitaka kumuweza mwarabu lazima uwe na lijitu mbele lenye miguvu na mbio zaidi ya bolt. Lakini hivi vipas vya Moja Moja wajamaa wanajua kuziba nafasi hutoboi
Gamondi ignore this threadLeo wachezaji wa Yanga hawakucheza kitimu kama mechi na mtani, wakiendelea hivi makundi tutaumaliza mwendo,
Wao waliamua kutumia fursa kuonesha uwezo binafsi, kwa vile klabu bingwa inaoneshwa Dunia nzima, walikuwa anao anao tu hawaangalii pembeni wala kutoa pasi, Leo wamepoteza mipira mingi sana kila mmoja anataka sifa za kufunga hasa Max, Pakome, Mzize na Aziz Ki walitaka tu kuonekana na Ahly kuwa wanajua mpira!
Gamondi weka chini wachezaji wako waambie Leo hawakutenda haki kwa mashabiki wa Yanga, Uzi tayari.
Hii ni game ya Aziz Ki. Akiwa na game nzuri Yanga ina nafasi ya kufanya vizuri ila Al Ahly wakimbana vilivyo akapotea, itakuwa game ngumu sana kwa Yanga
Nadhani walijitahidi sana uongozi uache ubahiri wanasajili na 9 mwenye weledi wa kutoshaLeo wachezaji wa Yanga hawakucheza kitimu kama mechi na mtani, wakiendelea hivi makundi tutaumaliza mwendo,
Wao waliamua kutumia fursa kuonesha uwezo binafsi, kwa vile klabu bingwa inaoneshwa Dunia nzima, walikuwa anao anao tu hawaangalii pembeni wala kutoa pasi, Leo wamepoteza mipira mingi sana kila mmoja anataka sifa za kufunga hasa Max, Pakome, Mzize na Aziz Ki walitaka tu kuonekana na Ahly kuwa wanajua mpira!
Gamondi weka chini wachezaji wako waambie Leo hawakutenda haki kwa mashabiki wa Yanga, Uzi tayari.
Hii ni kweli kabisa, Aucho kwenye dk za nyongeza alikuwa kwenye nafasi nzuri ya kushoot na kufunga yeye akatoa pasi kwa mchezaji aliekuwa aliekuwa amekabwa.Upo sahihi kuna matukio machache walifanya hivyo Ila Kwenye takwimu za mwisho yanga waliizidi al ahly Kwenye asilimia za usahihi .
Kosa kubwa ni kuto kushuti wakifika karibu na goli ,walifika sana golini kuliko al ahly wakata kupiga chenga bila malengo .
Kuna umuhimu wa kufanya mazoezi maalumu ya kushuti kwa mbali kama ya penalti
Konkoni jeKila nikisema yanga hawana stiker na hilo ndo tatizo lao huwa naishia kutukanwa... Ok sawa
Brother km huna mke nina dada yangu pisikali sn, uje uoe na harusi nagaramia.Mna ushauri mzuri, tumeni maombi ya kuwa makocha, Ma zombie nyinyi.
Brother km huna mke nina dada yangu pisikali sn, uje uoe na harusi nagaramia.
Bongo mdomo mdomo sana.
Kocha, wachezaji, viongozi hakuna mwenye kosa, tujipange game ijayo bado tuna nafasi
We utakuwa kolo tu, punguza ujuaji, mpira ni mchezo wa wazi kila mtu ameona kama mimi nikiwa nimekaa kwenye kochi na soda yangu ya bardiiiii!Tanzania kila mtu anajua mpira na ni mchambuzi !! Ooh nchi yangu
Tulikubaliana sare ni za Simba tuMakolo shida yenu ni nini haswa?
dada amepima?Brother km huna mke nina dada yangu pisikali sn, uje uoe na harusi nagaramia.
We ndio mbwiga kweli wakuachie goli. Kwani nini wavuje jasho na damu kutafuta point 3 kama nia yao ni kukuachia kagoli kamoja? . Pole sanaAhly wamewaachia tu hako goli
Jokes mzee baba😄We ndio mbwiga kweli wakuachie goli. Kwani nini wavuje jasho na damu kutafuta point 3 kama nia yao ni kukuachia kagoli kamoja? . Pole sana
hivi wewe unamjua gamondi? kwa akili yako unadhani gamandi kaanza kuwa kocha hapa tanzania? gamondi kafundisha aljeria,mortocco na sauth africa pia,ana ujuzi wa zaidi ya miaka 30 anafunfisha mpira,penye dosari anajua sana,usimfundishe kazi wewe ambae hata ukocha ni nini,hujuiLeo wachezaji wa Yanga hawakucheza kitimu kama mechi na mtani ya 5G, wakiendelea hivi na ubinafsi, makundi tu tutaumaliza mwendo,
Wao waliamua kutumia fursa kuonesha uwezo binafsi, kwa vile klabu bingwa inaoneshwa Dunia nzima, walikuwa anao anao tu mbwembwe kibao kulazimisha kupiga chenga za kijinga kijiji kizima , hawaangalii pembeni wala kutoa pasi.
Leo wamepoteza mipira mingi sana kila mmoja anataka sifa za kijinga za kufunga hasa Max, Pakome, Mzize na Aziz Ki walitaka tu kuonekana na Ahly kuwa wanajua mpira! Ili labda iwakumbuke kwenye ufalme wao.
Gamondi tafadhali weka chini wachezaji wako waambie Leo hawakutenda haki kwa mashabiki wa Yanga, waache ubinafsi wacheze kama timu!
Uzi tayari.