Gardner achakazwa baada ya kumkuwadia mwanae

Gardner achakazwa baada ya kumkuwadia mwanae

Na hapo dogo atakuwa kashakula heart breaks kibao...baba ndio mfariji; pengine mtoto alitaka hata kujiua


Nadhan mjadala ungewa what are likely scenarios ambazo baba anaweza sema hayo??

Hajakurupuka
Yap..!
 
Gardner mwenyewe ana akili za utegemezi kupitia mapenzi, amekwishafanya hivyo kupitia Lady Jaydee

Sijashangaa kutamani mtoto wake aishi maisha mazuri kupitia papuchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ile interview nimeiona inasikitisha sana kwa mtu anayejiita baba kuzungumza maneno yale na akaenda mbali zaidi akasema ana mpenzi zaidi ya mmoja yaani mbele ya binti yake, kama ndio uhuru wa kuzungumza huyu baba anautumia vibaya na anamuweka binti katika position mbaya sana.
 
Hata hivyo vijana wa siku hizi mnakera! Khaaa! Hamjui kutafuta hela! Mnataka mabinti warembo ambao hamuwezi kuwagharamia! Hakuna mzazi anapenda binti yake aolewe na mwanaume suruali ukamkondesha binti yake! Mwisho wa yote kwenye kuou au kuolewa ni 'pesa'. Mwenye pesa bila kujali umri ana nafasi kubwa ya kufanya ndoa idumu na kumpa binti yako maana halisi ya ndoa! Vijana acheni povu! Tafuteni hela ili tuwaamini kuwapa mabinti zetu! Mimi mwenyewe kama huna hela hugusi binti yangu!
Mkali?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenye pesa bila kujali umri ana nafasi kubwa ya kufanya ndoa idumu na kumpa binti yako maana halisi ya ndoa! X
Tafuta maana halisi ya NDOA lakini jifunze kuhusu mahusiano kwa wanandoa.
Hakuna kitu kama ulichoandika hapo juu.
 
Tafuta maana halisi ya NDOA lakini jifunze kuhusu mahusiano kwa wanandoa.
Hakuna kitu kama ulichoandika hapo juu.
Wewe ndo mwanaume suruali nini? Unataka mabinti wazuri wakati hela una!
 
skendo za kina amberruty,meninah,nk kuna watu wazima kama gadner

wanatamani zile skendo zingekua za watoto zao.

Kwani wale wavulana ni sugar daddy?

Umeamua kuleta theory yako

Wazee wasingefanya upuuzi wote
Hauna akili kuelewa kinachojadiliwa?
 
Kwani wale wavulana ni sugar daddy?

Umeamua kuleta theory yako

Wazee wasingefanya upuuzi wote
Hauna akili kuelewa kinachojadiliwa?
wewe una akili au matope huko kichwani mwako?

mzazi anaetaka mwanae avamiwe na sugar daddy,tukio la kina amberrutty lingemkuta mwanae unafkiri linge muumiza? hao kina meninah wanafanya yale yote sababu ni pesa hakuna kingine.

wewe kubwa jinga ulieshindwa jiongeza kufahamu kuwa Gadner ni type ya wazazi ya wafurahiao ushenzi kwa watoto zao,narudia tena wewe ni andazi tena la mama ntilie wa kwa mtogole anaekanda unga huku akipenga kamasi na mkono huo huo anao kandia unga.

Andazi linalotoka ndio wewe hapo,Jinga La mwisho kitumbua wewe.
 
wewe una akili au matope huko kichwani mwako?

mzazi anaetaka mwanae avamiwe na sugar daddy,tukio la kina amberrutty lingemkuta mwanae unafkiri linge muumiza? hao kina meninah wanafanya yale yote sababu ni pesa hakuna kingine.

wewe kubwa jinga ulieshindwa jiongeza kufahamu kuwa Gadner ni type ya wazazi ya wafurahiao ushenzi kwa watoto zao,narudia tena wewe ni andazi tena la mama ntilie wa kwa mtogole anaekanda unga huku akipenga kamasi na mkono huo huo anao kandia unga.

Andazi linalotoka ndio wewe hapo,Jinga La mwisho kitumbua wewe.
Hahahahahah, nimecheka sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe una akili au matope huko kichwani mwako?

mzazi anaetaka mwanae avamiwe na sugar daddy,tukio la kina amberrutty lingemkuta mwanae unafkiri linge muumiza? hao kina meninah wanafanya yale yote sababu ni pesa hakuna kingine.

wewe kubwa jinga ulieshindwa jiongeza kufahamu kuwa Gadner ni type ya wazazi ya wafurahiao ushenzi kwa watoto zao,narudia tena wewe ni andazi tena la mama ntilie wa kwa mtogole anaekanda unga huku akipenga kamasi na mkono huo huo anao kandia unga.

Andazi linalotoka ndio wewe hapo,Jinga La mwisho kitumbua wewe.

Kumbe hoja zako ili uweze kumshawishi mtu unatukana sana,😂

Dunia haiko hivyo bahati mbaya, Gardener kasema huo unaosema utumbo na wako wanao msupport

Dunia ya sasa hatuna jamii ya vijana ambayo inafanya mapenzi baada ya kuoana tu! Yaani i am sure hata mama yako kabla ya kuolewa baba yako alipata honjo, kisha baada ya honjo angeweza kuamua kumuacha mama yako na kukutelekeza wewe....

GF and BF thing and Fiancee hizi bado ni kama betting tu kwa vijana wa siku hizi!!! sijajua jinsia yako lakini nina hakika umeachwa sana, na umeacha sana na SIDHANI KAMA HIZO NI HEALTHY AU ACCEPTABLE BEHAVIOR kwenye society ila kwa sababu UMEONA anaongea utumbo, umesahau kujua kuwa sio makusudio ya Mungu KUWA vijana walalane na kuachana, ulitakiwa ulale na binti uliyeoa na au ulalwe ukiwa umeolewa!!! jamii nzima akiwemo wewe haujawahi kutukana binadamu na dunia kwa hizi tabia ambazo ni sehemu ya maisha

Kibaya zaidi tabia hizi za kulalana na kuachana hovyo kuanzia teenagers, 20s, 30s, hazijawahi kupatiea ufumbuzi na jamii na WEWE GENIUS haujawahi kukemea hata siku moja...........ila tuna watoto yatima, watoto wanatupwa, mimba zaina choroporewa na yote haya ni WRONG RELATIONSHIPS

Huyu Gardner kawa selfish tu na kaongea out of desperate as parents kwa kuona hayo ni JAMBO GANI linaweza kuzuia hayo? yeye anaona solution ni sugar daddy ambao nao wengi wahuni tu!!! kwa hiyon mtazamo wako ni kuwa kaoa bora mwanawe atunzwe na atulie na mtu mmoja.....ni wa kike yule anatakiwa kutunzwa nina hakika hata wewe unatunzwa

GARDNER hana hela? mwanawe hana hela? are you sure?

siku ingine jaribu kuwaza kila angle, kila aspects, kila kona, jaribu kujiulza why mtu mzima aongee kama vile tena kwenye media!!!! ni mtu wa media yule

sasa mzee baba au dada mama genious na unayejua ethics, tabia nzuri ANZA Na kuleta solution UNAONDOAJE huu uozo wa jamii za kulalana na kuachana tu?? ukiweza kujibu njoo kwenye solution , usikimbilie dini hapa!! be practical


Halafu, mbona matusi yako yanatamanisha sana? unatukana andazi, kitumbua; tukana matusi mazito mazito ya kuudhi bwana, mwenzio kwa uzoefu wangu wa miaka 13 humu, sijaona wenye akili za kujenga hoja kama wewe wanaweza ishi humu, utaishia kukimbia na kuihsia instagram

Pili matusi hayaumi kwa mtu ambaye haumfahamu na ana ID ya uongo, so jenga HOJA , NA SHAWISHI
 
  • Thanks
Reactions: amu
Kumbe hoja zako ili uweze kumshawishi mtu unatukana sana,😂

Dunia haiko hivyo bahati mbaya, Gardener kasema huo unaosema utumbo na wako wanao msupport

Dunia ya sasa hatuna jamii ya vijana ambayo inafanya mapenzi baada ya kuoana tu! Yaani i am sure hata mama yako kabla ya kuolewa baba yako alipata honjo, kisha baada ya honjo angeweza kuamua kumuacha mama yako na kukutelekeza wewe....

GF and BF thing and Fiancee hizi bado ni kama betting tu kwa vijana wa siku hizi!!! sijajua jinsia yako lakini nina hakika umeachwa sana, na umeacha sana na SIDHANI KAMA HIZO NI HEALTHY AU ACCEPTABLE BEHAVIOR kwenye society ila kwa sababu UMEONA anaongea utumbo, umesahau kujua kuwa sio makusudio ya Mungu KUWA vijana walalane na kuachana, ulitakiwa ulale na binti uliyeoa na au ulalwe ukiwa umeolewa!!! jamii nzima akiwemo wewe haujawahi kutukana binadamu na dunia kwa hizi tabia ambazo ni sehemu ya maisha

Kibaya zaidi tabia hizi za kulalana na kuachana hovyo kuanzia teenagers, 20s, 30s, hazijawahi kupatiea ufumbuzi na jamii na WEWE GENIUS haujawahi kukemea hata siku moja...........ila tuna watoto yatima, watoto wanatupwa, mimba zaina choroporewa na yote haya ni WRONG RELATIONSHIPS

Huyu Gardner kawa selfish tu na kaongea out of desperate as parents kwa kuona hayo ni JAMBO GANI linaweza kuzuia hayo? yeye anaona solution ni sugar daddy ambao nao wengi wahuni tu!!! kwa hiyon mtazamo wako ni kuwa kaoa bora mwanawe atunzwe na atulie na mtu mmoja.....ni wa kike yule anatakiwa kutunzwa nina hakika hata wewe unatunzwa

GARDNER hana hela? mwanawe hana hela? are you sure?

siku ingine jaribu kuwaza kila angle, kila aspects, kila kona, jaribu kujiulza why mtu mzima aongee kama vile tena kwenye media!!!! ni mtu wa media yule

sasa mzee baba au dada mama genious na unayejua ethics, tabia nzuri ANZA Na kuleta solution UNAONDOAJE huu uozo wa jamii za kulalana na kuachana tu?? ukiweza kujibu njoo kwenye solution , usikimbilie dini hapa!! be practical


Halafu, mbona matusi yako yanatamanisha sana? unatukana andazi, kitumbua; tukana matusi mazito mazito ya kuudhi bwana, mwenzio kwa uzoefu wangu wa miaka 13 humu, sijaona wenye akili za kujenga hoja kama wewe wanaweza ishi humu, utaishia kukimbia na kuihsia instagram

Pili matusi hayaumi kwa mtu ambaye haumfahamu na ana ID ya uongo, so jenga HOJA , NA SHAWISHI
sina muda wa kupoteza sana kwako kukuelewesha kubwa jinga
 
sina muda wa kupoteza sana kwako kukuelewesha kubwa jinga

Sawa dogo janja, imeuma najua

Ukijibu hiyo hoja uwe na degree 5, div 0 halafu certificate ya cooking, unajibu nini?
 
Back
Top Bottom