hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Jamaa yako kachemka alafu unakuja kutetea upumbavu hapa, sawa msemaji wa Gardner ndege wafananao huruka pamoja.
Ww mtoto wako wa kike mpeleke kwa boda boda kupanga ni kuchagua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa yako kachemka alafu unakuja kutetea upumbavu hapa, sawa msemaji wa Gardner ndege wafananao huruka pamoja.
Hiyo ni wewe. Wapo wenye hela zao na wanapenda kwa dhati, wanaona raha kutumia pesa zao kwa wake zao huku wakiwapenda. Uzuri ni kwamba wanaume hamfanani..sio kila mtu atapata kama wewe ulivyoNi kweli,na je muda wote huo mshkaji/huyo mzee alipokua anatafuta hizo pesa alikua hana wanawake huko alipo sio?Au alikua anasubiri apate hizo pesa ndio aje akamuoe binti yenu sio?
Uzuri sisi wanaume sio mafala hua tunajua kabisa huyu kanipenda sababu niko njema,na siku njemba ikilewa inatoa shit tu, kwani we si umenipendea hela zangu tu.
Wengine waliopinda wao wanataka kufukua mitaro tu,binti akibisha anaambiwa kama umenipendea hela zangu utafanya nnachotaka kama hutaki njia nyeupee,binti inabidi awe mpole tu ukizingatia baba/mama mkwe/shemeji wote macho yako kwa mmewe.
dodge
Hiyo ni wewe. Wapo wenye hela zao na wanapenda kwa dhati, wanaona raha kutumia pesa zao kwa wake zao huku wakiwapenda. Uzuri ni kwamba wanaume hamfanani..sio kila mtu atapata kama wewe ulivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeemkulima asipokuwa makini anaweza kula mbeguView attachment 1315365View attachment 1315366
Sent using Jamii Forums mobile app
Amewapa dongo nyie vijana msiotaka kutafuta kwa jasho muone wazazi hawawish binti zao waolewe na wavivu wasijua kutunza.Jamaa yako kachemka alafu unakuja kutetea upumbavu hapa, sawa msemaji wa Gardner ndege wafananao huruka pamoja.
Baelezee! baelezee! Baba Mukuru! Mario ni neno linalo wakaa sana maskini hivi, eti mke akiwa mwalimu na Vi-sofa vya keko! ni tajiri tayari! jamani! ukioa huyo wewe ni mariooo! heee! nyie watu!Hakuwa na kipato chochote cha kumuwezesha kuishi unamaanisha hivyo?
Kuzidiwa kipato na mwanamke ndio kulelewa?
Acheni unafiki wabongo.
Sasa analelewa na nani baada ya kuachwa na huyo JD?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila Gardner Binti yako mzuri bana huo ndo ukweli kama Kanyarwanda fulani hivi! au kachukua kwa Mama yake? ungeweka na picha ya ***** ingekuwa vizuri zaidi, wewe hunapua hiyo!Mitandao ya Kijamii na watu mbalimbali zikiwepo Asasi za Kijamii zimemshika pabaya kama siyo kumchakaza kwa comments mtangazaji Gardner baada ya kutoa kauli isiyo na chembe ya utu uzima.
Nisikuchoshe endelea...
Kati ya kauli iliyoibua mijabara mikubwa kwa sasa ni hii ya kijana mwenzenu Gardner Habash kuwa;
View attachment 1314983
"Natamani mwanangu Karen awe na mahusiano na mtu mkubwa mwenye umri kama wa wangu 'Sugar daddy' ili amtunze, kwasababu watu wa umri wake hawawezi kumuelewa wala kumsaidia chochote, wao wenyewe wanatafuta maisha, alafu umpe mzigo kama huu ataweza kulipa bill zake?"Moja ya komenti hii hapa: 👇
View attachment 1314984
Mchango:
Soma:Gardner G. Habash: Sina ugomvi na Jaydee, nimemkojoza miaka 15, Naibu waziri aingilia kati..
mkulima asipokuwa makini anaweza kula mbeguView attachment 1315365View attachment 1315366
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo vizuri kumkisia mwenzenu! Mungu anawaona!
Hiyo kauli inaonyesha baba anamtamani bintiye kimtindo!Mitandao ya Kijamii na watu mbalimbali zikiwepo Asasi za Kijamii zimemshika pabaya kama siyo kumchakaza kwa comments mtangazaji Gardner baada ya kutoa kauli isiyo na chembe ya utu uzima.
Nisikuchoshe endelea...
Kati ya kauli iliyoibua mijabara mikubwa kwa sasa ni hii ya kijana mwenzenu Gardner Habash kuwa;
View attachment 1314983
"Natamani mwanangu Karen awe na mahusiano na mtu mkubwa mwenye umri kama wa wangu 'Sugar daddy' ili amtunze, kwasababu watu wa umri wake hawawezi kumuelewa wala kumsaidia chochote, wao wenyewe wanatafuta maisha, alafu umpe mzigo kama huu ataweza kulipa bill zake?"Moja ya komenti hii hapa: 👇
View attachment 1314984
Mchango:
Soma:Gardner G. Habash: Sina ugomvi na Jaydee, nimemkojoza miaka 15, Naibu waziri aingilia kati..
Ndio maana walishindwana na Jide mtafutaji mwanaume kuwa na mawazo Kama haya Bora uwe unafanya blowjob kwa wanaume wenzako umtunze mwanao cc Gardener mfyuuuuuuuuuuuuuuuuhh
Ndio maana walishindwana na Jide mtafutaji mwanaume kuwa na mawazo Kama haya Bora uwe unafanya blowjob kwa wanaume wenzako umtunze mwanao cc Gardener mfyuuuuuuuuuuuuuuuuhh