Gardner achakazwa baada ya kumkuwadia mwanae

Hiyo ni wewe. Wapo wenye hela zao na wanapenda kwa dhati, wanaona raha kutumia pesa zao kwa wake zao huku wakiwapenda. Uzuri ni kwamba wanaume hamfanani..sio kila mtu atapata kama wewe ulivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzuri ni kwamba sisi wanaume tunapenda kutumia hela zetu na tulio okota nao kuni na tunawajua ni wakina nani.

Hawa wengine tuliokutana nao kivulini/tumeshatoboa tunawajua vzr pia,intentions zao na namna ya ku deal nao,easy as that.
Hiyo ni wewe. Wapo wenye hela zao na wanapenda kwa dhati, wanaona raha kutumia pesa zao kwa wake zao huku wakiwapenda. Uzuri ni kwamba wanaume hamfanani..sio kila mtu atapata kama wewe ulivyo

Sent using Jamii Forums mobile app

dodge
 
Hakuwa na kipato chochote cha kumuwezesha kuishi unamaanisha hivyo?
Kuzidiwa kipato na mwanamke ndio kulelewa?
Acheni unafiki wabongo.
Sasa analelewa na nani baada ya kuachwa na huyo JD?

Sent using Jamii Forums mobile app
Baelezee! baelezee! Baba Mukuru! Mario ni neno linalo wakaa sana maskini hivi, eti mke akiwa mwalimu na Vi-sofa vya keko! ni tajiri tayari! jamani! ukioa huyo wewe ni mariooo! heee! nyie watu!

Hata Gardner ana hela amesoma, familia zote za pande mbili zina hela, hivo wamekutana wenye nazo! mlie tu!

Nyie mnaosota Kwenye mikoko ya kwa Azizi Ally Bondeni, oaneni hukohuko! tuacheni sisi wa Oyster Bay tuishi kivyetu! Jide hana mali ya kutisha mtu ni maisha ya kawaida, au huto tu gari ndo mnatetemeka?

Ukiishi Bongo utakuwa mjinga sana,Maskini, bora uishi na ujichanganye mbele huko! hawa wajinga wakuone kwa msimu! yaani eti kighorofa kimoja cha mawazo wewe tayari ni tajiri, unaogopwaaa!

Wakati Uganda ukiwa na Lunch + Farm-Estate la maana unaitwa ''kanjanja mkanja Bhuro''
 
Ila Gardner Binti yako mzuri bana huo ndo ukweli kama Kanyarwanda fulani hivi! au kachukua kwa Mama yake? ungeweka na picha ya ***** ingekuwa vizuri zaidi, wewe hunapua hiyo!
 
Hiyo kauli inaonyesha baba anamtamani bintiye kimtindo!
 
Bira shaka Gadna ana kura mwanae amini
 
Hii comment yako inaonyesha unamfaham huyu jamaa na aliwahi kufanya broken unayo ifaham eeh..!
Ndio maana walishindwana na Jide mtafutaji mwanaume kuwa na mawazo Kama haya Bora uwe unafanya blowjob kwa wanaume wenzako umtunze mwanao cc Gardener mfyuuuuuuuuuuuuuuuuhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…