Gardner adaiwa kumpandisha Jide kortini

Hapa wala hatujadili uhalali wa kuachana kwao tunachojadili ni ikiwa ni haki kwa Gardner kudai mgawanyo wa mali kama kweli watakuwa wameachana (ingawaje dalili ndivyo zinavyoonesha).
 
Thubutu... kuchapiwa? Nani kasema! Kabla sijatoka asubuhi lazima nikuchoshe kwanza, baada ya hapo ukitaka kwingine basi utakuwa na mapepo labda kama kwa lengo la kunikomoa!

Siku za mwanzo mwanzo utafanya hivyo ila ukishazoea we ukija ni kulala na kukoroma juu asubuhi.. Morning glory utakua unaitoa huku waitizama saa muda umefika wa mie kutoka mmh hayo mambo hapana.. achiloa hivyo mkiwa na watoto muda wa kuspend na wewe baba hamna
 
Huko ulikokwenda siko.
Nilikuquote kwa mujibu wa hizo sababu zako ulizokuwa unaziainisha i.e umanager na uproducer.
Na maana yangu ndiyo hiyo hiyo... kwamba, in other way, Gardner angekuwa ndie mwanamuziki mwenyewe na Jide ndie manager wa Gardner... je, Jide angekuwa na haki ya kudai mgao?
 
Thubutu... kuchapiwa? Nani kasema! Kabla sijatoka asubuhi lazima nikuchoshe kwanza, baada ya hapo ukitaka kwingine basi utakuwa na mapepo labda kama kwa lengo la kunikomoa!

We unaweza kushindia breakfast? Kwa hali ya kawaida? Lol
 
Labda aliona hawezi....
Aliimbaga nyimbo gani Fina hata sikumbuki vizuri

Alifanyaga remix ya wimbo wa zilipendwa . ....shooga utanionea buure ...shooga sina kosa naww ....ushoga wetu ulianza tangu utoto ...tulichezea vifuu ..na sasa tuna wajukuu ....oooh sipendi matata ... Remember?
 
Ulishawahi kusikia mtu anazoea kula na kuaamu kupiga ndefu? Labda kama ulioa kwa fasheni otherwise, utataka kula kila siku... hilo la watoto, ndo maana nasema nasubiri nizeeke zeeke kwanza... halafu we HOE inaelekea bado upo under age... wenzako wanavyopenda hizo za alfajiri afu we unasema hutaki!!! Mi mwenyewe, usiku niwe nimepiga menu hadi kuvimbiwa, lakini alfajiri LAZIMA tuhitimishe karamu!
 
We unaweza kushindia breakfast? Kwa hali ya kawaida? Lol
Asikuambie mtu aisee, asubuhi subuhi ni full flavor... manake mwili unakua umepoa bariiiiiidi mara ghafla unaupiga shoti za umeme... e bwana en; utasema kumbe maisha si ndo haya! Utashangaa mnakubaliana kuweka alarm ili isitokee siku ya kupitwa!
 

Kwa hiyo tuseme Jide alikuwa selfish kiasi kwamba mambo mengi alikuwa anajilimbikizia yeye tu?

Btw: ungekuwa wewe ungefanya hivyo? Once again!!!
 

Hahahaaaaaah....lol mbona nipo jamani...sijakukimbia hata...
 
Last edited by a moderator:
Na maana yangu ndiyo hiyo hiyo... kwamba, in other way, Gardner angekuwa ndie mwanamuziki mwenyewe na Jide ndie manager wa Gardner... je, Jide angekuwa na haki ya kudai mgao?

Hili swali ungeniuliza endapo tu ningekuwa nimekubishia kuwa Gadner hayuko entitled kwenye mgao!
 
Kwa hiyo tuseme Jide alikuwa selfish kiasi kwamba mambo mengi alikuwa anajilimbikizia yeye tu?

Btw: ungekuwa wewe ungefanya hivyo? Once again!!!
No... Jide hakuwa selfish wala Gardener hakuwa selfish... ni basi tu shetani kawazidi nguvu! Kuhusu kama ingekuwa mimi ningefanya hivyo, nimeshakupa jibu kwamba ningefanya coz' nisipomuamini wife nitamuamini nani tena?! Wife is the only person next to my mum lakini kwavile siwezi kushirikiana na my mom basi wife ndie best suit! Sasa kama humuamini mke au mumeo wako kwanini unaoa au kuolewa? Kama shida ni kufungua zipu, unaweza kufungua zipu bila kuoa! Kama shida ni watoto unaweza kupata watoto bila kuoa! Kwangu mimi ndoa ni kutafuta mshirika wa kuaminika! Ndugu yako anaweza kuwa mshirika wako lakini ndugu yako hawezi kuwa na uchungu na wanao wakati na yeye anao wake kama ambavyo mke au mme wako anavyoweza kuwa na uchungu! Mwanamke mpumbavu na mwanaume mpumbavu ni yule hata mnaposhirikiana anaamua kukuibia ili awe na cha kwake peke yake simply because s/he feels so insecure lakini ndugu yako anaweza kukuibia kwavile ni kweli anahitaji kuwa na chake kv chako si chake!
 
Hili swali ungeniuliza endapo tu ningekuwa nimekubishia kuwa Gadner hayuko entitled kwenye mgao!
Kumbe sasa tunapishana wapi?! manake ni kweli nakumbuka kwamba you've no problem kwa Gardner ku-claim anachostahili.... sasa tunapishana wapi?
 
Hahahaaaaaah....lol mbona nipo jamani...sijakukimbia hata...
Ah! We bhana tangu utangaziwe uchumba na Le Mutuz wala huaminiki tena... Le Mutuz akiongea kitu kidogo tu, unajichekesha hadi unadondosha hand bag, aaaaargh... mambo gani hayo!
 
Asikuambie mtu aisee, asubuhi subuhi ni full flavor... manake mwili unakua umepoa bariiiiiidi mara ghafla unaupiga shoti za umeme... e bwana en; utasema kumbe maisha si ndo haya! Utashangaa mnakubaliana kuweka alarm ili isitokee siku ya kupitwa!

Aaaah wapiii!!!
Breakfast ni breakfast tu....and it is meant to be simple......ni nzuri kupashia viungo tu ili kuchangamsha mwili!
 
Mwanaume ana haki ya kudai talaka na Mahakama ikijiridhisha ndoa hiyo haiwezi kusimama tena mahakama inaivunja ndoa rasmi with divorce decree.

Mahakama haina haki ya kuvunja ndoa iliyofungwa kanisani/ msikitini. Mfano ndoa za kikristu haswa katholic ni ngumu kuvinjwa hadi kibali kitoke vatican.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…