muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,539
- 3,551
Bila kuwasahau Mwabaluhi!bila shaka ww ni msengerema....wasalimie ibisabhageni na kwamakonge!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kuwasahau Mwabaluhi!bila shaka ww ni msengerema....wasalimie ibisabhageni na kwamakonge!!!
Dogo mmoja alikuwa anamega sista duu flani anakabendi kake kanaitwa tearfulGardner ndio nani tenaa....aaa
Hii imetokea jana katika tamasha maalum la kituo kipya cha kazi cha Gardner E.FM ambapo Gardner alipanda jukwaani kujitambulisha mashabiki waliokuwepo wakamuuliza shemeji Jaydee yuko wapi? Akawajibu i am single boy now kisha akaomba awekewe nyimbo ya Single boy ya Ali Kiba na kuicheza jukwaani huku akimpandisha jukwaani shabiki wa kike na kumwambia amvue tishet yake kimahaba kuthibitisha usingo boy wake ambapo demu huyo alimvua kwa staili hiyo gardner huku ukumbi ukilipuka kwa shangwe.
Bila kuwasahau Mwabaluhi!
Na hao sawa, Je Nyamazugo?Je Nyantakubwa
Na hao sawa, Je Nyamazugo?
Bila kuwasahau Mwabaluhi!
Je Nyantakubwa
Na hao sawa, Je Nyamazugo?
Nyakalilo, itabagumba,Chifumfu hhhhhhhaaaaa
na jirani zao Balatogwa.
Je gerezani Kasungamile
Na Nyamizeze
Na Nyehunge na Kahunda
Yaan ni nye nye nye tu
Kama NyegeZI
Kwani ameshachukua Talaka??
Hahahahaaa, mnanikumbusha miaka mingi sana Sengerema nikiwa A-Level, dah! I really miss Mwabaluhi kwa sababu tulikuwa tunaenda kwa mama ntilie kula ubwabwa usiku! Hii bila kusahau SM (Soko Mjinga)!na jirani zao Balatogwa.
Je gerezani Kasungamile
Na Nyamizeze
Na Nyehunge na Kahunda
Tumemchoka wapo kina Vanessa Mdee wanaimba nyimbo kali haingii hata robo. Asepe akauze maandazi kwenye kimgahawa chake awe mama ntilie maisha yaendelee she can make à better mama ntilie after all.
hahahaaaaa daaah hii ni kweli tupu imenifurahisha sana
Ni Mgombea uenyekiti wa kitongoji Kitongoji cha Isunganholo kupitia chama cha PPT-Maendeleo